Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap ni muendelezo wa ukengeukaji walliopata mashabiki wa Yanga baada ya kupata ushindi wa ngekewa
Tukirejea kauli ya Manara basi kwa ukubwa huo huo litakuwa ni Kubwa jingaYanga Ni litimu likuuuuuuuubwa Sana
[emoji172][emoji169][emoji16]
Historia ni wakati uiliopo, uliopita na ujao. Kuwa mabingwa wa kihistoria wala si ajabu lwa yangaKama hauna historia mbona mnajiita mabingwa wa kihistoria ,sijui nyie viumbe wa yanga mpoje ,Yan mnajigeuza geuza km maharage ya songea
Kivipi????Tukirejea kauli ya Manara basi kwa ukubwa huo huo litakuwa ni Kubwa jinga
Kombe linakuja ondoa mashakaTulishakubaliana mafanikio pekee ni kuchukua kombe hayo mambo ya nafasi mlisema tusiseme sio mafanikio mkileta kombe hapo sawa.
Nenda kwenye website ya cafUngetuwekea basi hata kaushahidi ka mchongo tuone mlivyojiweka hiyo nafasi ya 46.
Kama yanga ni ya 46 Simba ya ngapi?Baada ya ushindi wa jumatano kwa Kasi Sana yanga imetoka nafasi ya 75 mpaka nafasi ya 46 africa na kuifanya Ligi ya Tanzania kutoka nafasi ya 11 mpaka nafasi ya 9.
Haya ni mafanikio ya Yanga wachambuzi uchwara hawasemi mpaka Sasa wapo kimya Ila yanga ikifungwa tu kelele zinaanza.
Yanga ndio habari ya mjini nimetazama wiki hii vyombo vya habari vya waarabu kule Egypt, Morroco,Aligeria na tunisia Wana discuss yanga .
Na kutoa tahadhari kwa timu ambazo bado zipo shirikisho kutoka kwenye nchi zao huenda zikakumbana na alichokumbana nacho club Africain
Nenda kwenye website ya caf
Yaani utufuate kisha ututume,weka ushahidi hapa.Nenda kwenye website ya caf
Hivi mtu na akili zako kweli unaweza kumtumia mtu kama Haji Manara, kama rejea yako!Tukirejea kauli ya Manara basi kwa ukubwa huo huo litakuwa ni Kubwa jinga
Kama sio mtu wa maana kwanini mlimsajili?Hivi mtu na akili zako kweli unaweza kumtumia mtu kama Haji Manara, kama rejea yako!
Tumlisajili wapi? Aliajiriwa na GSM kwa lengo la kuwakera tu. Na malengo yametimia.Kama sio mtu wa maana kwanini mlimsajili?
Na anakera pande zote mbili ikiwemo na nyinyiTumlisajili wapi? Aliajiriwa na GSM kwa lengo la kuwakera tu. Na malengo yametimia.
Duh!...Yanga ndio habari ya mjini nimetazama wiki hii vyombo vya habari vya waarabu kule Egypt, Morocco,Algeria na Tunisia Wana discuss Yanga .
Imebidi nicheke tu, sijui kitu gani kimemshinda kutoa huko atuletee hapa.Yaani utufuate kisha ututume,weka ushahidi hapa.