denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kwa zile penati za faulo ya nje ya box kweli haifungiki.Aisee Yanga inaogopesha! Ukija kwenye ligi nako, haifungiki!! Hii Yanga hii, we acha tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa zile penati za faulo ya nje ya box kweli haifungiki.Aisee Yanga inaogopesha! Ukija kwenye ligi nako, haifungiki!! Hii Yanga hii, we acha tu.
Hao wamelewa ushindi.Imebidi nicheke tu, sijui kitu gani kimemshinda kutoa huko atuletee hapa.
Nani aliyeiweka nafasi ya 11 kwanza ulipaswa useme kabla ya hilo la piliBaada ya ushindi wa Jumatano kwa kasi sana Yanga imetoka nafasi ya 75 mpaka nafasi ya 46 Afrika na kuifanya Ligi ya Tanzania kutoka nafasi ya 11 mpaka nafasi ya 9.
Haya ni mafanikio ya Yanga wachambuzi uchwara hawasemi mpaka Sasa wapo kimya Ila Yanga ikifungwa tu kelele zinaanza.
Yanga ndio habari ya mjini nimetazama wiki hii vyombo vya habari vya waarabu kule Egypt, Morocco,Algeria na Tunisia Wana discuss Yanga .
Na kutoa tahadhari kwa timu ambazo bado zipo shirikisho kutoka kwenye nchi zao huenda zikakumbana na alichokumbana nacho Club Africain
Baada ya ushindi wa Jumatano kwa kasi sana Yanga imetoka nafasi ya 75 mpaka nafasi ya 46 Afrika na kuifanya Ligi ya Tanzania kutoka nafasi ya 11 mpaka nafasi ya 9.
Haya ni mafanikio ya Yanga wachambuzi uchwara hawasemi mpaka Sasa wapo kimya Ila Yanga ikifungwa tu kelele zinaanza.
Yanga ndio habari ya mjini nimetazama wiki hii vyombo vya habari vya waarabu kule Egypt, Morocco,Algeria na Tunisia Wana discuss Yanga .
Na kutoa tahadhari kwa timu ambazo bado zipo shirikisho kutoka kwenye nchi zao huenda zikakumbana na alichokumbana nacho Club Africain
Nafasi ya 46 ameanza kelele mwenye nafasi ya 11 yupo kimya ametulia anakunywa juiceUngetuwekea basi hata kaushahidi ka mchongo tuone mlivyojiweka hiyo nafasi ya 46.
Wakikujibu nitagSasa kama yanga kuingia tu makundi shirikisho ligi yetu imepanda kwa kasi kiasi hicho vipi kwa simba aliyeingia makundi ligi ya mabingwa barani Africa kwa kushinda mechi zote?
Wamesha chachawa na kuingia makundi, wamesahau yote, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulishakubaliana mafanikio pekee ni kuchukua kombe hayo mambo ya nafasi mlisema tusiseme sio mafanikio mkileta kombe hapo sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machozi.Huu uzi unafurahisha,
Yaani anayeshiriki KLABU BINGWA AFRIKA(KOMBE LA MABINGWA WA BARA LA AFRIKA) ametulia ila kina dada wanaoshiriki LOSER'S CUP (KOMBE LA WALIOFELI AU WALIOSHINDWA) kutwa chupi mkononi na vijora vyao wanabwabwaja na kudai wanaipandisha PL kimataifa ....khaaaaaView attachment 2416256
Kolo tutaelewana tu😄Kama hauna historia mbona mnajiita mabingwa wa kihistoria ,sijui nyie viumbe wa yanga mpoje ,Yan mnajigeuza geuza km maharage ya songea
Hayo ni maneno ya makoloYanga yanga na vitimu vingine vya nchi hii vinatuchelewesha sana. Kama nchi tungekuwa mbali sasa. Kazi midomo tu.
Mara "mabingwa wa kihistoria,"
mara "unbeaten "
mara "utopolo"
mara "wala mihogo"
Wenzetu wanatuacha huko duniani.
Kwani Haji Manara chio ntu? Nauliza tu njomba!Hivi mtu na akili zako kweli unaweza kumtumia mtu kama Haji Manara, kama rejea yako!
Utaumiza tu kichwa chako, ukitilia maanani mambo ya hawa HAMNAZO, ukiondoa wale wawili!Sasa kama yanga kuingia tu makundi shirikisho ligi yetu imepanda kwa kasi kiasi hicho vipi kwa simba aliyeingia makundi ligi ya mabingwa barani Africa kwa kushinda mechi zote?
Yaani kuna mada nyingine unazisoma kisha unabaki kucheka tu hata kukomenti unashindwa Maana hazina kichwa wala miguu.Huu uzi unafurahisha,
Yaani anayeshiriki KLABU BINGWA AFRIKA(KOMBE LA MABINGWA WA BARA LA AFRIKA) ametulia ila kina dada wanaoshiriki LOSER'S CUP (KOMBE LA WALIOFELI AU WALIOSHINDWA) kutwa chupi mkononi na vijora vyao wanabwabwaja na kudai wanaipandisha PL kimataifa ....khaaaaaView attachment 2416256