Yanga yaipeleka ligi kuu Tanzania Top Ten Africa

Yanga Ni litimu likuuuuuuuubwa Sana
[emoji172][emoji169][emoji16]
 
Kama hauna historia mbona mnajiita mabingwa wa kihistoria ,sijui nyie viumbe wa yanga mpoje ,Yan mnajigeuza geuza km maharage ya songea
Historia ni wakati uiliopo, uliopita na ujao. Kuwa mabingwa wa kihistoria wala si ajabu lwa yanga
 
Kama yanga ni ya 46 Simba ya ngapi?
 
Wazee wa zamani hawakusoma lakini hekima zao zinadumu.WALIWAHI KUNENA matako yakipata masikini hulia mbwata.
 
Utopolo bana... Yani nimeamini ule usemi wa masikini akipata matakao hulia....

Mpaka aibu naona mimi...
 
Aisee Yanga inaogopesha! Ukija kwenye ligi nako, haifungiki!! Hii Yanga hii, we acha tu.
 
Thread imekaa kimbwa mbwa na kunuka kinyesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…