Yanga yakubali kichapo cha kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara

TANGAZO KWA MASHABIKI WA UTO

ninauza dawa yakuhama yanga, ukiitumia ndani ya 24hrs utajikuta mwanasimba na maisha ya furaha yataendelea.
Hatuhami YANGA... tumeipenda wenyewe
 
Amesukumwa beki wa Coastal akaanguka ni faulo ya wazi na bado mpira umedunda ameushika Kisinda, refa ameacha tu, wangekuwa wao kesho Press Conference.

Mwamuzi ameamua kuwapa bao Uto
Kabisaa mkuu huo ndio ukweli hili sio goli sio goli kabisaa.

Mbeleko imechanika hii, sasa sijui watasingizia nini leo mana na penalt wamepewa.

Haya tambo za unbeaten zimekwisha rasmi nchi itakuwa na amani sasa
 
Kusema ukweli mie kwa Yanga huwa sioni futiboli zaidi ya mbio tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…