Yanga yakubali kichapo cha kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara

Yanga yakubali kichapo cha kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara

Kwani kuna habari gani?
IMG_7345.jpg
 
[emoji23][emoji23]
Hata ivyo hii mechi yanga wamebebwa sana,tena sana tu.
Saana mkuu, mimi hilo goli lao nitapinga hadi kesho hilo sio goli Kisinda amecheza faulo kabla ya Kufunga.

Fiston kapiga mtu ngumi live refa kapeta tu.

Ningekuwa kocha wa Yanga basi huu mchezo ningemtoa Lamine Moro mapema kabisaa aingie Makapu, leo Lamine hakuwa kwenye form kabisaa. Hata kumaliza tu huu mchezo bila kadi nyekundu ni huruma tu za refa.
 
Back
Top Bottom