Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Hili goli ni faulo mkuu ni makosa tu ya kibinadamu ya mwamuzi na kama ndio angefungwa yanga goli Kama hili usinge sema hivo hapa.Bila ya ushabiki Lile Ni goli dhahiri kabisa Wao Walivyomsukuma mwanzo hukuona na Refa akapiga kimya