Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hata Kmc utasikia kapigwa 4 na ihefuHawa Coastal Union Wangekuwa Wanakamia hivi kila mechi si wangekuwa mbali, af mechi ijayo utaskia kapigwa nne na KMC [emoji23][emoji23][emoji23]
Wamekamia nini hapo? Mbona wamekoswakoswa sana. Sema forward ya Yanga full utopolo.Hawa Coastal Union Wangekuwa Wanakamia hivi kila mechi si wangekuwa mbali, af mechi ijayo utaskia kapigwa nne na KMC [emoji23][emoji23][emoji23]
Amesukumwa beki wa Coastal akaanguka ni faulo ya wazi na bado mpira umedunda ameushika Kisinda, refa ameacha tu, wangekuwa wao kesho Press Conference.Ila tuseme tu ukweli bila ushabiki hili goli la Kisinda lina utata ni dhahili kabisa Kisinda alicheza Faulo kwa beki Cost kabla ya Kufunga goli.
Hili halikustahili kuwa goli ni makosa tu ya mwamuzi.
utakiEndelea kuota
UtoooCoastal Union Amfunge Nan Bhn [emoji57][emoji57]
Kwani KMC ni timu nyepesi kwa Yanga?Hawa Coastal Union Wangekuwa Wanakamia hivi kila mechi si wangekuwa mbali, af mechi ijayo utaskia kapigwa nne na KMC [emoji23][emoji23][emoji23]
Matokeo ya leo ndio matokeo atakayopata Simba nchini SudanYanga anafungwa 2-1
Nishukuruni baadaye
Nilimpigia simu mjukuu wa bamchawi akanambia nisihofu,anabadili upepo muda si mrefu.39' Coastal Goooooooooooooooal
Coastal Union 2-1 Yanga SC
Hahahaha wamelalala hahahahahaHahaha hahaha la pili Coast 2 utopolo de la vyura moja.