Yanga yamtaka Fei Toto arudi klabuni haraka na pia klabu ipo tayari kumuuza

Yanga yamtaka Fei Toto arudi klabuni haraka na pia klabu ipo tayari kumuuza

Msingi wa barua upo hapa wasijifanye kuvimba wanamuhitaji sana huyu dogo mengine ni umbea tu.

"Aidha, Klabu ya Yanga iko tayari kumpokea Feisal Salum na kumjumuisha kwenye kikosi, na kwa kuzingatia sera na utaratibu wa Klabu ya Yanga katika kuwaongezea mikataba wachezai wake wanaofanya vizuri, Uongozi wa Yanga uko tayari kuendelea na mazungumzo na Feisal Salum Abdallah na wawakilishi wake juu ya kuboresha mkataba wake, kama wataridhia"🤣
 
Sasa wewe umekua nani unawapangia TFF mda wa kutoa adhabu. umejuaje kwamba hataadhibiwa?
Kwasababu adhabu ni pamoja na mkataba kuvunjika na sio kurudishwa tena kwenye Club

Yani mchezaji aliyevunja mkataba bila kufuata utaratibu atahesabiwa kuwa mkataba umevunjwa ila amekiuka sheria

Hivyo adhabu ni kulipishwa faini pamoja na kufungiwa

Sasa Feisal ndio kwanza tunaona na barua ya wito kutoka kwa Club ikimtaka Feisal arejee kambini

Sheria hiyo haipo
 
Alikuwa sawa lakini anachokifanya saizi kimeegemea kwenye maamuzi ya TFF kwenye review iliyofanyika last Friday

Kwa maana ya kwamba yeye yupo kwenye msimamo wake ule ule wa kwamba hataki kuichezea Yanga, ila TFF kwasababu imemtambua kuwa ni mchezaji halali wa Yanga

Basi ameona aifate hiyo hiyo TFF kuachana na Yanga
Poor, kwanini asiende juu zaidi kama ana uhakika yupo sahihi Kwa alichokifanya??
 
Wapo tayari kuboresha maslahi yake. Mpira umerudi kwa Fei, kama ishu ni maslahi anaboreshewa pamoja na yote yaliyotokea.

Fei anachotaka mpaka sasa ni mkataba uvunjike na hakuna timu iliyosema inamtaka.
Anaweza kua free agent, sio lazima timu imtake mkataba kuvunjika.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Klabu ya Yanga inapenda kuutaarifu umma kuwa imepokea maamuzi ya marejeo ya Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji kuhusu suala la mchezaji wetu Feisal Salum Abdallah.

Baada ya kupokea maamuzi hayo, Klabu ya Yang imemwandikia barua Feisal Salum kumtaka aripoti kambini haraka iwezekanavvo na kuendelea kuutumikia mkataba wake kama mchezaii halali wa Yanga mpaka tarehe 30, Mei 2024, kama ilivyoamuliwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF.

Aidha, Klabu ya Yanga iko tayari kumpokea Feisal Salum na kumjumuisha kwenye kikosi, na kwa kuzingatia sera na utaratibu wa Klabu ya Yanga katika kuwaongezea mikataba wachezai wake wanaofanya vizuri, Uongozi wa Yanga uko tayari kuendelea na mazungumzo na Feisal Salum Abdallah na wawakilishi wake juu ya kuboresha mkataba wake, kama wataridhia.

Mwisho, Klabu ya Yanga inapenda kuutaarifu umma kwamba iko tavari kumruhusu Feisal Salum Abdallah kuondoka klabuni kwa kuzingatia matakwa ya mkataba na utaratibu wa sheria za uhamisho wa wachezait zinazotambulika na TFF pamoja na FIFA. Ikiwa pia kuna klabu yoyote inahitaji huduma ya mchezaji huyu, klabu ya Yanga iko tayari kufanya mazungumzo wakati wowote.

View attachment 2539612
Halafu kuna watu bado watasema Yanga inamng'ang'ania huyo mchezaji! Tamko limejitosheleza kabisa.
 
Klabu ya Yanga inapenda kuutaarifu umma kuwa imepokea maamuzi ya marejeo ya Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji kuhusu suala la mchezaji wetu Feisal Salum Abdallah.

Baada ya kupokea maamuzi hayo, Klabu ya Yang imemwandikia barua Feisal Salum kumtaka aripoti kambini haraka iwezekanavvo na kuendelea kuutumikia mkataba wake kama mchezaii halali wa Yanga mpaka tarehe 30, Mei 2024, kama ilivyoamuliwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF.

Aidha, Klabu ya Yanga iko tayari kumpokea Feisal Salum na kumjumuisha kwenye kikosi, na kwa kuzingatia sera na utaratibu wa Klabu ya Yanga katika kuwaongezea mikataba wachezai wake wanaofanya vizuri, Uongozi wa Yanga uko tayari kuendelea na mazungumzo na Feisal Salum Abdallah na wawakilishi wake juu ya kuboresha mkataba wake, kama wataridhia.

Mwisho, Klabu ya Yanga inapenda kuutaarifu umma kwamba iko tavari kumruhusu Feisal Salum Abdallah kuondoka klabuni kwa kuzingatia matakwa ya mkataba na utaratibu wa sheria za uhamisho wa wachezait zinazotambulika na TFF pamoja na FIFA. Ikiwa pia kuna klabu yoyote inahitaji huduma ya mchezaji huyu, klabu ya Yanga iko tayari kufanya mazungumzo wakati wowote.

View attachment 2539612
Wamechelewa kufanya haya maamuzi, hawatafanikiwa kumuuza fei, fei atavunja mkataba wataishia kupata fidia ambayo ni kidogo kuliko matarajio yao.
 
Msingi wa barua upo hapa wasijifanye kuvimba wanamuhitaji sana huyu dogo mengine ni umbea tu.

"Aidha, Klabu ya Yanga iko tayari kumpokea Feisal Salum na kumjumuisha kwenye kikosi, na kwa kuzingatia sera na utaratibu wa Klabu ya Yanga katika kuwaongezea mikataba wachezai wake wanaofanya vizuri, Uongozi wa Yanga uko tayari kuendelea na mazungumzo na Feisal Salum Abdallah na wawakilishi wake juu ya kuboresha mkataba wake, kama wataridhia"[emoji1787]
Hataki kuboresha hayo maslahi
 
Waache waendelee kumlazimisha kurudi kambini. Atarudi halafu ataenda kukojolea sufuria la maharagwe. Famasihara nini.
 
Kwahiyo ulitaka achukuliwe hatua katika lipi sasa
Nimesema "Hazijatoa maamuzi kwenye barua aliyoiwasilisha leo kuhusu kuvunja mkataba"

Sijui unaelewa nilichokiandika hapo?
 
Ngazi za chini tayari sasa zishatoa maamuzi ambayo inaonekana hajatidhika nayo kwanini sasa asiende huko?
Mimi nakwambiaga sana una kichwa kigumu. Scars Amesema tena na tena kuwa suala lililokuwa TFF na maamuzi yaliyofanyiwa review jana yalikuwa ni kumtambua Feisal kama mchezaji wa Yanga. TFF wameepuka kutoa maelezo in public kwa nini wameamua hivyo kwa sababu ni wazi ingegusia uamuzi wa Feisal kurudisha zile pesa.

Sasa Feisal anaona ok, yoyote yaliyopita fresh tu kama nilikosea poa ila sasa anawarudia TFF kuwaambia anavunja mkataba. Tunarudi kulekule kwamba sasa Yanga na Feisal watakaa chini huku TFF akiwa msuluhishi ili kuvunja mkataba huo kwa jinsi mkataba unavyosema inatakiwa kufanyika. Hapa Feisal ni dhahiri harudi nyuma, piga ua.
 
Mimi nakwambiaga sana una kichwa kigumu. Scars Amesema tena na tena kuwa suala lililokuwa TFF na maamuzi yaliyofanyiwa review jana yalikuwa ni kumtambua Feisal kama mchezaji wa Yanga. TFF wameepuka kutoa maelezo in public kwa nini wameamua hivyo kwa sababu ni wazi ingegusia uamuzi wa Feisal kurudisha zile pesa.

Sasa Feisal anaona ok, yoyote yaliyopita fresh tu kama nilikosea poa ila sasa anawarudia TFF kuwaambia anavunja mkataba. Tunarudi kulekule kwamba sasa Yanga na Feisal watakaa chini huku TFF akiwa msuluhishi ili kuvunja mkataba huo kwa jinsi mkataba unavyosema inatakiwa kufanyika. Hapa Feisal ni dhahiri harudi nyuma, piga ua.
Baada ya hapo anakuja kuuliza tena "Kwahiyo ulitaka achukuliwe hatua katika lipi sasa"

Huyu mtu sijui kama anaelewa nachomuandikia
 
Back
Top Bottom