Yanga yamtaka Fei Toto arudi klabuni haraka na pia klabu ipo tayari kumuuza

Yanga yamtaka Fei Toto arudi klabuni haraka na pia klabu ipo tayari kumuuza

Fei hana team inayotaka, yeye anataka kuwa free agent afanye mambo yake mengine. Ndo maan anataka kuvunja mkatabaa.

Kwahyo kumbe Fei Yuko sahihi kuvunja mkataba, ila Yanga hawataki atoke km free agent, ila wanataka kumuuza?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnajivua nguo wazi wazi lol
Free agent ndio Nini we kolo?does it applies here?
 
Back
Top Bottom