Yanga yamtaka Fei Toto arudi klabuni haraka na pia klabu ipo tayari kumuuza

Yanga yamtaka Fei Toto arudi klabuni haraka na pia klabu ipo tayari kumuuza

Hakuna cha usawa hapo kuna ubabaishaji.

Feisal kama alikosea alipaswa kuadhibiwa na sio kurudishwa kambini
Kwa akili yako wewe unaweza kumshauri Feisal afungue shauri la kudai adhabu
 
Kwa akili yako wewe unaweza kumshauri Feisal afungue shauri la kudai adhabu
Sio kwa akili yangu bali kwa mujibu wa sheria iliyowekwa inazitaka mamlaka zilizohukumu kesi yake apewe adhabu

Kutopewa adhabu ni ishara kuwa dogo hakukiuia sheria
 
Hakuna cha usawa hapo kuna ubabaishaji.

Feisal kama alikosea alipaswa kuadhibiwa na sio kurudishwa kambini
Akisha adhibiwa, nini kifatie? Aruhusiwe aondoke au?
 
Kama alikua sahihi katika kuvunja mkataba kwa vipengele alivotumia angeenda CAS sasa maana so TFF waliamua bado ni mchezaji wa Yanga
Huyu nae haelewi Ila zamani nilikuwa nikiingia kusoma nyuzi humu nilikuwa napata madini Sana Ila siku hizi vilaza wengi wa FB wamehamia humu Jf imepoteza ubora wake kabisa???
 
Ni bora tu arudi kumalizia mkataba wake ukiisha atajua la kufanya
 
Eti anasema sipendi kuichezea Yanga kama vile kucheza ni swala la Mapenzi wakati ni swala la Mkataba. Hutaki kuendelea na timu, basi maliza mktaba halafu ukatae kuongezea, siyo tu kulala na kuamka kuwa hutaki kucheza. Mtot alikuwa na nafasi kubwa sana ya kumfuata Samatta ulaya lakini nadhani amejiharibia sana kwani timu za nje zitaanza kumwogopa kama siyo mtu anyeheshimu mikataba; yuko kama Putin. Hajui kama scouts wa timu za nje wanafuatilia mambo haya kwa karibu pia. Ni mambo ambayo alitakiwa ayamalize chini ya kapeti lakini yeye anapiga kelel kila sehemu.
Angalia huyu boya ulaya IPI unayoizungumzia??? Kwa umri Wake mazembe tu walimhitaji mkamgomea ety 1b hivi hapa Tanzania Kuna mchezaji wa billion Moja???
 
Akisha adhibiwa, nini kifatie? Aruhusiwe aondoke au?
Kuna faini ya kulipishwa hela na kuna adhabu ya kufungiwa

Hivyo vyote vikitekelezwa, mchezaji hawezi kuhudumu kwenye hiyo Club tena
 
Kuna faini ya kulipishwa hela na kuna adhabu ya kufungiwa

Hivyo vyote vikitekelezwa, mchezaji hawezi kuhudumu kwenye hiyo Club tena?
Umetoa wapi hayo maneno?

Kwamba mchezaji akizingua na kuadhibiwa na timu, basi ahudumu tena kwenye hiyo timu?
 
Umetoa wapi hayo maneno?

Kwamba mchezaji akizingua na kuadhibiwa na timu, basi ahudumu tena kwenye hiyo timu?
For the avoidance of doubt the Committee was not entitled to order specific perfor Contract. Page 139 of the Commentary states as follows:

iii) Player has no obligation or automatic right to remain employed by the club

When considering the consequences of terminating a contract, a player cannot remain employed by the club with which the contractual relationship has been term any circumstances (whether the termination was with just cause or without just co the club be obliged to (re)employ the player. If one party decides unilaterally to contract prematurely, the contractual relationship between the parties ends. In t dispute, the party in breach will be liable to pay compensation and sporting sand imposed on it, but no request for reinstatement of employment can be made, or co principle has been confirmed by CAS."
 
Hili suala la Fei nimegundua watu wengi akili hawana wameendekeza ushabiki hasa wachambuzi
 
For the avoidance of doubt the Committee was not entitled to order specific perfor Contract. Page 139 of the Commentary states as follows:

iii) Player has no obligation or automatic right to remain employed by the club

When considering the consequences of terminating a contract, a player cannot remain employed by the club with which the contractual relationship has been term any circumstances (whether the termination was with just cause or without just co the club be obliged to (re)employ the player. If one party decides unilaterally to contract prematurely, the contractual relationship between the parties ends. In t dispute, the party in breach will be liable to pay compensation and sporting sand imposed on it, but no request for reinstatement of employment can be made, or co principle has been confirmed by CAS."
Safi mkuu. Hii article inazungumzia termination ya mkataba, na automatically mkataba ukivunjwa hustaili kuendelea kuwepo klabuni.

Ila kwenye hoja zetu za mwanzo ulikuwa inazungumzia adhabu, na sio kuvunja mkataba. Adhabu zipo za aina nyingi, ikiwemo kulipishwa hela, au kutolewa nje ya kikosi kwa muda fulani
 
Halafu kuna watu bado watasema Yanga inamng'ang'ania huyo mchezaji! Tamko limejitosheleza kabisa.
Tamko lina kipengele cha kumuhitaji iwapo ataridhia. Hujakiona? Au kuna tamko lingine?
 
Safi mkuu. Hii article inazungumzia termination ya mkataba, na automatically mkataba ukivunjwa hustaili kuendelea kuwepo klabuni.

Ila kwenye hoja zetu za mwanzo ulikuwa inazungumzia adhabu, na sio kuvunja mkataba. Adhabu zipo za aina nyingi, ikiwemo kulipishwa hela, au kutolewa nje ya kikosi kwa muda fulani
Ndio ni kweli kuwa kuna adhabu baada ya kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu na hizo adhabu ni kifungo pamoja na faini na baada ya hapo mchezaji hatohesabika kuwa ni mchezaji wa hiyo timu


Kwenye mjadala nililenga namna Yanga ilivyowasilisha case kwa madai ya kuvinjika kwa mkataba katika namna isiyo ya kisheria

Kwa maana hiyo uamuzi wa kumrudisha Feisal kambini ni illegal.
 
Mchezaji na familia yake hawaitaki timu,timu bado inampenda...demu king'ang'anizi sana huyu
 
Yanga anatoa fundisho zuri sana hapa Tanzania. Safi sana uyo feitoto lazima afundishwe awe mfano ili lisitokee tena kwa timu nyingine
Mngetoa somo kwa morisson kwanza,kinyesi fc kichwani sidhani kama mna ubongo
 
Si yupo Aziz Ki? Yanga waachane nae tu huyo dogo. Maana hata akirudi hatakuwa na moyo wa kuitumikia klabu
Hawataki kuonekana wameshindwa,viongozi wa yanga wanapenda battle wakati wanajua hawana uwezo.
 
Simba walishindwa kumsajili manzoki aliebakiza mwezi kama mmoja tu. Sijui wanapata wapi nguvu yakukomalia hii ishu
Ni kichaa tu angeweza kutoa mil 400 kwa mchezaji aliyebakiza mwezi mmoja mkataba uishe,viongozi wenye akili huwa hawakurupuki tu coz usajili wenyewe ni kamari.Suala hapa ni kwanini mumlazimishe kila siku akati jamaa na mama yake HAWATAKI KUSKIA KUHUSU UTOPOLO
 
Back
Top Bottom