Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa wana muhitaji mnoo feisal.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msingi wa barua upo hapa wasijifanye kuvimba wanamuhitaji sana huyu dogo mengine ni umbea tu.
"Aidha, Klabu ya Yanga iko tayari kumpokea Feisal Salum na kumjumuisha kwenye kikosi, na kwa kuzingatia sera na utaratibu wa Klabu ya Yanga katika kuwaongezea mikataba wachezai wake wanaofanya vizuri, Uongozi wa Yanga uko tayari kuendelea na mazungumzo na Feisal Salum Abdallah na wawakilishi wake juu ya kuboresha mkataba wake, kama wataridhia"[emoji1787]
Mkuu, tofautisha kuvunja mkataba na kutaka kuvunja mkataba.Ndio ni kweli kuwa kuna adhabu baada ya kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu na hizo adhabu ni kifungo pamoja na faini na baada ya hapo mchezaji hatohesabika kuwa ni mchezaji wa hiyo timu
Kwenye mjadala nililenga namna Yanga ilivyowasilisha case kwa madai ya kuvinjika kwa mkataba katika namna isiyo ya kisheria
Kwa maana hiyo uamuzi wa kumrudisha Feisal kambini ni illegal.
Sasa si wavunje mkatabaaa, Fei haitaki Yanga.Halafu kuna watu bado watasema Yanga inamng'ang'ania huyo mchezaji! Tamko limejitosheleza kabisa.
Unaeza mpa adhabu mume ambaye bado unampenda??cha zaidi utampa uroda tuKumbe Yanga ni waungwana sana, kumbe walipaswa kumpa adhabu - wao wakasamehe wakasema arudi kambini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya hapo anakuja kuuliza tena "Kwahiyo ulitaka achukuliwe hatua katika lipi sasa"
Huyu mtu sijui kama anaelewa nachomuandikia
Morisson aliwaburuza kihalali.Nyie bado saaana. Mnasumbuliwa na mchezaji mmoja tena mla urojo! Wanasheria wenu kila siku wako Karume jasho linawatiririka kisa mchezaji mliyeletewa kwenye mfuko wa zawadi.
Je mngekuwa na wachezaji wakubwa kama Chama, Inonga, Kapombe au Phiri, mngeweza kweli kuwasimamia nyie?
Sasa unalia nn?? Feisal haitaki yanga.Na yanga hawamtaki tena sijui sisi simba tumchukue liwe kombe letu mwaka huu
Sasa wao Yanga wanashindwa nn kumuacha fei?? Mbna sure boy walimpata kwa njia hyo. KhaaaaahTimu ambayo mchezaji anaweza kuvunja mkataba wake bila shuruti ni Simba na Azam tu.
Simba walimwacha lete Mzungu Dejani alipotaka tu mwenyewe kuvunja mkataba.
Azam walimwacha Sure Boy alipotaka mwenyewe kuvunja mkataba.
Yanga hawajawahi na hawatawahi kumkubalia mchezaji anayetaka mwenyewe kuvunja mkataba.
Yanga ni king'ang'anizi kweli na hawakubali kushindwa.
Fei arudi tu Yanga na kama haitaki ategee mazoezi na mechi hadi wenyewe wamfukuze au hadi mkataba wake uishe.
Yanga ni kinga'ng'anizi haijawahi kutokea.
Utopolo mmeshasahau zile milioni 100 alizowapa mkazikataa zilikuwa za kazi gani[emoji1787][emoji1787] hamna kumbukumbu kabisa🫣🫣Na kama alikua sawa mbona anaomba tena kuvunja mkataba kwanini asimame na aliloanza nalo mwanzo?
Kwahyo kumbe Fei Yuko sahihi kuvunja mkataba, ila Yanga hawataki atoke km free agent, ila wanataka kumuuza?Shida wahuni walitaka wampate kwa bei chee ndiyo maana walipita mlango wa nyuma kumbe wamekuta Yanga wapo smart sana, walijua Yanga wangekurupuka kwa kumuadhibu Fei ili wapitie njia hiyo, sasa matarajio yao yamekwenda Rijojo.
Njia pekee iliyobaki kwao ni kukaa mezani na Yanga, njia waliikataa awali, mezani ndiyo njia pekee itakayo wafikisha kwenye neema, lakini swali linalowafunika kichwa je watakuwa tayari kutoa offer ambayo Yanga wanaitaka?
Wahuni sio watu wazuri.
Fei hana team inayotaka, yeye anataka kuwa free agent afanye mambo yake mengine. Ndo maan anataka kuvunja mkatabaa.Nyuma ya pazia kuna kitu. Kuna timu inaogopa kujitokeza moja kwa moja kwa kuwa ikibainika ndio waliongea na Fei wakati bado ana mkataba na Yanga (zingatia suala la miezi 6) basi rungu la sheria likitua kwa hiyo timu watajuta. Na hakuna aliye tayari kufanya hivyo.
Ila kwa sasa kama kuna timu ijitikeze maana Yanga wamesema kama kuna timu ije mezani ufuate utaratibu
Yanga haikupeleka malalamiko ya kusema "Mchezaji kataka kuvunja mkataba" Yanga imepeleka malalamiko kuwa "mchezaji kavunja mkataba kinyume na sheria"Mkuu, tofautisha kuvunja mkataba na kutaka kuvunja mkataba.
Tokea ili sakata limeanza, hakuna Sehemu Yanga wakisema kuwa Fei amevunja mkataba, hakuna. Wao wanasema Fei haonekani kambini., It means hawajakubaliana na uvunjwaji wa namna hiyo.
Kuhusu adhabu ya kifungo au faini, hizobni hatua zingine za mbeleni kadiri kesi inavyozidi kwenda.
Alaf Fei kama anataka kuondoka, amepewa option kuwa timu inayomtaka iende kuzungumza na Yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kikwete:haloo we kijana karia, hakikisha huyu mtoto hachezi soka hapa nchini hawezi kutudhalilisha wananchi hivi.
Karia:haina shida mkuu,msimamo ni ule ule(ila kwanini mnamlazimisha akati hawataki?)akitamka kimoyo moyo .
Mkuu, tofautisha kuvunja mkataba na kutaka kuvunja mkataba.
Tokea ili sakata limeanza, hakuna Sehemu Yanga wakisema kuwa Fei amevunja mkataba, hakuna. Wao wanasema Fei haonekani kambini., It means hawajakubaliana na uvunjwaji wa namna hiyo.
Kuhusu adhabu ya kifungo au faini, hizobni hatua zingine za mbeleni kadiri kesi inavyozidi kwenda.
Alaf Fei kama anataka kuondoka, amepewa option kuwa timu inayomtaka iende kuzungumza na Yanga
Hivi wewe huwaga una akili timamu kweli?Utopolo mmeshasahau zile milioni 100 alizowapa mkazikataa zilikuwa za kazi gani[emoji1787][emoji1787] hamna kumbukumbu kabisa🫣🫣
Jibu kama mtu mwenye akili kuliko kuandika pumba hivi. Unaposema Mazembe walimtaka mkamgomea unamwambia nani kama siyo uandishi wa kipumbavu huo.Angalia huyu boya ulaya IPI unayoizungumzia??? Kwa umri Wake mazembe tu walimhitaji mkamgomea ety 1b hivi hapa Tanzania Kuna mchezaji wa billion Moja???