Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Stroke ndio uwezo wako wa kuwaza umeishia hapa kabisa?Fei apambane.
TFF na Yanga ni wababaishaji.
Huwezi mlazimisha mtu kufanya jambo asilolitaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stroke ndio uwezo wako wa kuwaza umeishia hapa kabisa?Fei apambane.
TFF na Yanga ni wababaishaji.
Huwezi mlazimisha mtu kufanya jambo asilolitaka.
Kitu umeshindwa kutambua pale Yanga kuna watu wenye elimu kubwa ( Hakuna Mbumbumbu) wanaijua mchezo ya mjini, wana jua mipango yote ilioko nyuma ya pazia, njia walioifikiria wangenufaika nayo hao wahuni wameshitukiwa.Hakuna cha usawa hapo kuna ubabaishaji, Feisal kama alikosea alipaswa kuadhibiwa na sio kurudishwa kambini
Shida wahuni walitaka wampate kwa bei chee ndiyo maana walipita mlango wa nyuma kumbe wamekuta Yanga wapo smart sana, walijua Yanga wangekurupuka kwa kumuadhibu Fei ili wapitie njia hiyo, sasa matarajio yao yamekwenda Rijojo.Nidhamu wanamuita wakae waangalie namna ya kuvunja huo mkataba kumbe ngoma bado mbichi
Ila huyu Feisal kwanini asiende na Crew yake Yanga kuomba kuvunja mkataba kuliko kuzunguka tu TFF!
Utopolo ni madomo zege demu hakutaki unazidi kumungangania
Maswali yangu yametoka kwenye maelezo yako ulisema kavunja mkataba huu ano omba ni upi?Yanga walivyopeleka shauri TFF kulalamika Feisal amevunja mkataba walikuwa wanakusudia mkataba upi?
Wa fremu?
Mama MorrisonMorrison hakuwahi kusaini kabisa Yanga.
Mkataba wake wa kwanza walifoji saini yake.
Yaani Morrison alikuja Yanga wakati dilisha la usajiri lishafungwa.
Mkataba wa pili walifoji tena saini yake katika hicho kipande cha karatasi kilicho potezwa kwa makusudi.
Mkataba pekee alio tia saini yake ni huu wa sasa.
Yanga wana figisu sana wakisaidiwa na mstaafu.
Kama maswali yako yametoka kwenye maelezo yangu, unapaswa utambue kuwa maelezo yangu yametoka kwenye shauri lililowasilishwa na Yanga kwenda TFFMaswali yangu yametoka kwenye maelezo yako ulisema kavunja mkataba huu ano omba ni upi?
Kwahiyo Feisal ni demu?Utopolo ni madomo zege demu hakutaki unazidi kumungangania
Faisal amekuuma mno sizani kama umekula jana siku nzima 😂TFF wametumia kesi ya Feisal ku restore mahusiano yao na Yanga
Kumbe Yanga ni waungwana sana, kumbe walipaswa kumpa adhabu - wao wakasamehe wakasema arudi kambiniHakuna cha usawa hapo kuna ubabaishaji.
Feisal kama alikosea alipaswa kuadhibiwa na sio kurudishwa kambini
Nyuma ya pazia kuna kitu. Kuna timu inaogopa kujitokeza moja kwa moja kwa kuwa ikibainika ndio waliongea na Fei wakati bado ana mkataba na Yanga (zingatia suala la miezi 6) basi rungu la sheria likitua kwa hiyo timu watajuta. Na hakuna aliye tayari kufanya hivyo.Fei anachotaka mpaka sasa ni mkataba uvunjike na hakuna timu iliyosema inamtaka.
Makolo walivamia mtumbwi wa vibwengo WAMEYAKANYAGA ,wamemuingiza mkenge feisal kwa vipande 112 vya fedha.Shida wahuni walitaka wampate kwa bei chee ndiyo maana walipita mlango wa nyuma kumbe wamekuta Yanga wapo smart sana, walijua Yanga wangekurupuka kwa kumuadhibu Fei ili wapitie njia hiyo, sasa matarajio yao yamekwenda Rijojo.
Njia pekee iliyobaki kwao ni kukaa mezani na Yanga, njia waliikataa awali, mezani ndiyo njia pekee itakayo wafikisha kwenye neema, lakini swali linalowafunika kichwa je watakuwa tayari kutoa offer ambayo Yanga wanaitaka?
Wahuni sio watu wazuri.
Kaa ujifunze kwa wakubwa zako, acha wivuHizo taka taka ulizo taja hapo kuna hata mmoja mwenye medali ya CAF?
Ubabaishaji mwingiFaisal amekuuma mno sizani kama umekula jana siku nzima 😂
Ndiyo uhalisia wenyewe huo. Wakubaliane na hali na wajifunze kutoka kwenye hili ili siku za mbele waepuke makosa hayo.Sio kweli
Kwasababu wanaelewa kuwa hakuna sheria aliyoivunjaKumbe Yanga ni waungwana sana, kumbe walipaswa kumpa adhabu - wao wakasamehe wakasema arudi kambini