Wakishikwa haja wamalizie humohumo?Ni selfcontainer?
Shish ish Shimba, wacha waendelee kuhenya na michinaBaada ya GSM kushusha Bus aina ya Scania, klabu ya Yanga imeingia kwenye orodha ya klabu zinazotumia mabasi aina ya Scannia duniani...
Simba wana basi lao jipya na kifahari! Aina ya TATA!! 🙄Lazima simba watasema baya
Ni kuhama tu mji kwakweli[emoji16]Hii timu inazungumzwa kila kona hadi kero wakati sio hata mabingwa.
Mbona halijaandikwa UTO FC sasaBaada ya GSM kushusha Bus aina ya Scania, klabu ya Yanga imeingia kwenye orodha ya klabu zinazotumia mabasi aina ya Scannia duniani...
Yeah lina choo cha shimo ndaniNi selfcontainer?