Yanga yanunua Bus Aina ya Scania kama ya Madrid yenye thamani ya Tshs Bilion Moja, sio TATA kama ya Mtani

Yanga yanunua Bus Aina ya Scania kama ya Madrid yenye thamani ya Tshs Bilion Moja, sio TATA kama ya Mtani

utelembwe bana kweli wanatawaliwa na wivu mkubwa mno! hilo gari limepelekwa kwny gerej ya azam kupigwa rangi.., tulieni na tata lenu, mbna mlitamba sana na kejeli kibao? sasa kinawauma nini? nyie si matajiri? mnamuoneaje wivu masikini aliyetembeza bakuli mpaka kapata kilicho bora zaidi yenu?

We Pimbi la Utopoloni vipi Scania Irizi Lenu mumeamua kutufanyia Ujanja kwa kuliandika TATA?
KUNEED HUNTER anawasalimia ameamua kuchukua Scania lake.
 
π‡πšπ­πš 𝐲𝐚 𝐀𝐰𝐞𝐧𝐝𝐞𝐚 𝐜𝐑𝐨𝐨𝐧𝐒?
Wanazo za kwendea chooni na kuvukia barabara tu si zaidi ya hapo.
 
Kwahiyo wakuu sio Scania Irizi tena la Real Madrid ni TATA za kina mwamedii? Hivi GSM wanatuonajee sisi wananchiii
 
Scania yenu
FB_IMG_16265158132387742.jpg

Inaitwa TATA MAGMA
 
Ficha upumbavu wako,mtu ametoa picha kwenye mtandao anawachezesha akili kuwa basi limeshafika nanyi mnaingia kichwa kichwa, ndiyo maana mnadanganywa kuandamana kwenda kupokea wachezaji wa kuokoteza. Basi lenu hili sema sasaView attachment 1852621
Basi la timu siti zote za nini hizo? bora lingekuwa 2*1 ili siti ziwe pana, halafu hawa yanga waliwacheka simba kumiliki TATA mbona hilo nalo ni TATA?
 
Back
Top Bottom