Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
ππππ π²π π€π°ππ§πππ ππ‘π¨π¨π§π’?Utopolo hawanaga akili ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ π²π π€π°ππ§πππ ππ‘π¨π¨π§π’?Utopolo hawanaga akili ππ
utelembwe bana kweli wanatawaliwa na wivu mkubwa mno! hilo gari limepelekwa kwny gerej ya azam kupigwa rangi.., tulieni na tata lenu, mbna mlitamba sana na kejeli kibao? sasa kinawauma nini? nyie si matajiri? mnamuoneaje wivu masikini aliyetembeza bakuli mpaka kapata kilicho bora zaidi yenu?
Wanazo za kwendea chooni na kuvukia barabara tu si zaidi ya hapo.ππππ π²π π€π°ππ§πππ ππ‘π¨π¨π§π’?
Basi la timu siti zote za nini hizo? bora lingekuwa 2*1 ili siti ziwe pana, halafu hawa yanga waliwacheka simba kumiliki TATA mbona hilo nalo ni TATA?Ficha upumbavu wako,mtu ametoa picha kwenye mtandao anawachezesha akili kuwa basi limeshafika nanyi mnaingia kichwa kichwa, ndiyo maana mnadanganywa kuandamana kwenda kupokea wachezaji wa kuokoteza. Basi lenu hili sema sasaView attachment 1852621
GSM wanawaona watopolo kama hiviKwahiyo wakuu sio Scania Irizi tena la Real Madrid ni TATA za kina mwamedii? Hivi GSM wanatuonajee sisi wananchiii
Haa ππ πππππLinacheza number ngapi?