Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimewauma mnoLazima simba watasema baya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii timu inazungumzwa kila kona hadi kero wakati sio hata mabingwa.
Mwamedi ni mchumi kweri kweri, kawapa wahindi wenzao dili la tata busWana Tata la kihindi. Spea wanachangia na mafundi cherehani
Hata mawenzi fc mbona wanaloJina tu TATA Linakera. Basi hata milioni 100 halifiki. Tata ni saizi ya timu kama ihefu au transit camp
Hawa jamaa walistahili kabisa kuitwa mbumbumbu! Yaani wananunuliwa TATA, eti wanafurahia! Yaani gari la safari za vijijini!!Mwamedi ni mchumi kweri kweri, kawapa wahindi wenzao dili la tata bus
Ilo basi la juu ni la kampuni ya kureed hunters wanaofanya safari zao dar mwanza......pumbavu weweBaada ya GSM kushusha Bus aina ya Scania, klabu ya Yanga imeingia kwenye orodha ya klabu zinazotumia mabasi aina ya Scannia duniani
Basi hilo ambalo tayari limetoka bandarini, ni aina ya SCANIA IRIZA 16 ambayo thamani yake ni zaidi ya Tsh Milion 900 hadi Tsh Bilioni moja pamoja na ushuru
Yanga inaungana na klabu matajiri duniani kama Real Madrid na Liverpool ambazo zinatumia mabasi ya aina hiyo
Kwa hakika 'Sisi tuna watu'
View attachment 1849703
Team kuzungumuzwa kila kona ni moja wapo ya njia za kibiashara na kuteka uchumi wa soka.Team maarufu duniani ndizo hata kwenye usajili zinakimbiliwa na wachezaji,wawekezaji n.kHii timu inazungumzwa kila kona hadi kero wakati sio hata mabingwa.
Mkia ile timu yenu mnayosema ni kubwa ndo yakununua TATA kweli? mohammed anawaonaje nyie mbumbumbu?Ilo basi la juu ni la kampuni ya kureed hunters wanaofanya safari zao dar mwanza......pumbavu wewe
Timu kubwa inatumia bus ambalo hata timu yangu ya mtaani apa hatuwezi nunuaIli mkimbie vizuri team ikichelewa kufika uwanjani
Ficha upumbavu wako,mtu ametoa picha kwenye mtandao anawachezesha akili kuwa basi limeshafika nanyi mnaingia kichwa kichwa, ndiyo maana mnadanganywa kuandamana kwenda kupokea wachezaji wa kuokoteza. Basi lenu hili sema sasaMkia ile timu yenu mnayosema ni kubwa ndo yakununua TATA kweli? mohammed anawaonaje nyie mbumbumbu?
Basi tufanye kanunua ndege kabisaBaada ya GSM kushusha Bus aina ya Scania, klabu ya Yanga imeingia kwenye orodha ya klabu zinazotumia mabasi aina ya Scannia duniani
Basi hilo ambalo tayari limetoka bandarini, ni aina ya SCANIA IRIZA 16 ambayo thamani yake ni zaidi ya Tsh Milion 900 hadi Tsh Bilioni moja pamoja na ushuru
Yanga inaungana na klabu matajiri duniani kama Real Madrid na Liverpool ambazo zinatumia mabasi ya aina hiyo
Kwa hakika 'Sisi tuna watu'
View attachment 1849703
We UTOPOLO nyie TATA mmechukua la nini?Mkia ile timu yenu mnayosema ni kubwa ndo yakununua TATA kweli? mohammed anawaonaje nyie mbumbumbu?
Hii ndo maana ya Utopolo, kushangilia kitu kabla ya kukiona, kuanzia wachezaji mpaka vyombo vya usafiri.Hawa jamaa walistahili kabisa kuitwa mbumbumbu! Yaani wananunuliwa TATA, eti wanafurahia! Yaani gari la safari za vijijini!!
Mpaka leo wanaishi kwa kumlamba miguu Mwamedi ambaye amegoma katu katu kutoa zile bilioni 20 alizo waahidi!