Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Umedanganyika bossShish ish Shimba, wacha waendelee kuhenya na michina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umedanganyika bossShish ish Shimba, wacha waendelee kuhenya na michina
Wenzenu wana rekodi ya "mataji" ya kimataifa. MTAJILINGANISHAJE?????Baada ya GSM kushusha Bus aina ya Scania, klabu ya Yanga imeingia kwenye orodha ya klabu zinazotumia mabasi aina ya Scannia duniani
Basi hilo ambalo tayari limetoka bandarini, ni aina ya SCANIA IRIZA 16 ambayo thamani yake ni zaidi ya Tsh Milion 900 hadi Tsh Bilioni moja pamoja na ushuru
Yanga inaungana na klabu matajiri duniani kama Real Madrid na Liverpool ambazo zinatumia mabasi ya aina hiyo
Kwa hakika 'Sisi tuna watu'
View attachment 1849703
Sisi tuna tata yetu inayoingiliana spea na cherehani
"msimu huu kama yanga itakosa ubingwa basi tuulizeni sisi GSM"
Yalivyo mapunga, yameshasahau kuhusu ubingwa yapo hapa yanabishana kuhusu basi ambalo imetolewa tu picha mtandaoni na kudanganywa kuwa ni la yanga .. hivi viongozi wenu wanawachukuliaje nyinyi utopolo FC ..
TUNAENDESHA BASI MOJA NA TIMU YA REAL MADRID HUKU WENZENU KILA MSIMU WANANYANYUA MAKWAPA TU [emoji23][emoji23]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Tata IndiaUmedanganyika boss
Tata India
Yutong China ongeza lingine Kama mnalo
Kumbe tulieni
Wanawachukulia kama utopolo, na kweli uto ni utopolo sana [emoji23][emoji23]"msimu huu kama yanga itakosa ubingwa basi tuulizeni sisi GSM"
Yalivyo mapunga, yameshasahau kuhusu ubingwa yapo hapa yanabishana kuhusu basi ambalo imetolewa tu picha mtandaoni na kudanganywa kuwa ni la yanga .. hivi viongozi wenu wanawachukuliaje nyinyi utopolo FC ..
TUNAENDESHA BASI MOJA NA TIMU YA REAL MADRID HUKU WENZENU KILA MSIMU WANANYANYUA MAKWAPA TU [emoji23][emoji23]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Eicher yenyewe tu ni 135Jina tu TATA Linakera. Basi hata milioni 100 halifiki. Tata ni saizi ya timu kama ihefu au transit camp
Tatizo watopolo wote akili zao ziko kama za Mzee Mpili.Eicher yenyewe tu ni 135
Hilo basi ni bei kubwa, kaangalie TATA ni nani duniani
Mara ya mwisho zile daladala za tata zilikua zinauzwa 100.........wakati zinaingia ilikua 70 tuEicher yenyewe tu ni 135
Hilo basi ni bei kubwa, kaangalie TATA ni nani duniani