Yanga yanunua Bus Aina ya Scania kama ya Madrid yenye thamani ya Tshs Bilion Moja, sio TATA kama ya Mtani

Yanga yanunua Bus Aina ya Scania kama ya Madrid yenye thamani ya Tshs Bilion Moja, sio TATA kama ya Mtani

Habari za mitandaoni sio za kuziamini sana, uzushi ni mwingi. Hilo bus limepost na kampuni ya usafirishaji ya Hunters inayofanya safari zake Dar-Mwanza
IMG_20210711_173242.jpg
 
Ok, naona mmenunua mtumba bora mfanane na Real Madrid sio mbaya sana
 
Basi kitu gani,yani kununua basi la mtumba ndo kelele mji mzima!
 
Baada ya GSM kushusha Bus aina ya Scania, klabu ya Yanga imeingia kwenye orodha ya klabu zinazotumia mabasi aina ya Scannia duniani

Basi hilo ambalo tayari limetoka bandarini, ni aina ya SCANIA IRIZA 16 ambayo thamani yake ni zaidi ya Tsh Milion 900 hadi Tsh Bilioni moja pamoja na ushuru

Yanga inaungana na klabu matajiri duniani kama Real Madrid na Liverpool ambazo zinatumia mabasi ya aina hiyo

Kwa hakika 'Sisi tuna watu'...

View attachment 1849703
Aibu naona Mimi [emoji116]
Habari za mitandaoni sio za kuziamini sana, uzushi ni mwingi. Hilo bus limepost na kampuni ya usafirishaji ya Hunters inayofanya safari zake Dar-MwanzaView attachment 1849740
 
Baada ya GSM kushusha Bus aina ya Scania, klabu ya Yanga imeingia kwenye orodha ya klabu zinazotumia mabasi aina ya Scannia duniani

Basi hilo ambalo tayari limetoka bandarini, ni aina ya SCANIA IRIZA 16 ambayo thamani yake ni zaidi ya Tsh Milion 900 hadi Tsh Bilioni moja pamoja na ushuru

Yanga inaungana na klabu matajiri duniani kama Real Madrid na Liverpool ambazo zinatumia mabasi ya aina hiyo

Kwa hakika 'Sisi tuna watu'...

View attachment 1849703
hii chai
 
Baada ya GSM kushusha Bus aina ya Scania, klabu ya Yanga imeingia kwenye orodha ya klabu zinazotumia mabasi aina ya Scannia duniani

Basi hilo ambalo tayari limetoka bandarini, ni aina ya SCANIA IRIZA 16 ambayo thamani yake ni zaidi ya Tsh Milion 900 hadi Tsh Bilioni moja pamoja na ushuru

Yanga inaungana na klabu matajiri duniani kama Real Madrid na Liverpool ambazo zinatumia mabasi ya aina hiyo

Kwa hakika 'Sisi tuna watu'...

View attachment 1849703
Nyie wapuuzi mnauziwa mbuzi kwenye kiroba. Hivi HSC waliwaahidi ubingwa wa VPL au bus?
 
Back
Top Bottom