Yanga yapanda nafasi ya 6 kwa ubora Afrika

Yanga yapanda nafasi ya 6 kwa ubora Afrika

Kuna vitu namna watu hujipofua pasipokujua. Mleta uzi ameleta taarifa na chanzo, na taarifa yake ni kuhusiana na viwango vya mwezi June.
Ikumbukwe mwezi Mei pia Yanga ilipanda, hivyo viwango hivi ni vile vya kila mwezi na mechi ambazo Yanga imecheza ni mechi zinazotambulika kwenye calendar ya CAF siyo majumuisho.
Hata hivyo, kwamba timu iliwahi kuingia 10 bora, haimaanishi kuwa hairuhusiwi kushuka, na kushuka kwake kutategemea mechi matokeo kutokana na mashindano hayahaya.
Kwa hiyo mwezi june umeona perfomance ya Mamelod wapi?, unajua Mamelod mara ya mwisho ilicheza lini?, na kama hawajacheza hiyo perfomance ya mwezi june kwa nini wazihusishe timu ambazo hazikucheza kwa mwezi huo?
 
Kuna namna watu hujipofua pasipokujua. Mleta uzi ameleta taarifa na chanzo, na taarifa yake ni kuhusiana na viwango vya mwezi June.
Ikumbukwe mwezi Mei pia Yanga ilipanda, hivyo viwango hivi ni vile vya kila mwezi na mechi ambazo Yanga imecheza ni mechi zinazotambulika kwenye calendar ya CAF, viwango hivi siyo majumuisho kwamba wanashindana na rekodi ambazo vilabu vilijiwekea kwa miaka miwili au mitatu.
Hata hivyo, kwamba timu iliwahi kuingia 10 bora, haimaanishi kuwa hairuhusiwi kushuka, na kushuka kwake kutategemea mechi matokeo kutokana na mashindano hayahaya.
Chukua hiyo...

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwa mujibu wa mtandao wa IFFS Inayojihusisha na takwimu za vilabu vya soka ulimwenguni, imeonyasha Yanga kupanda kufikia nafasi ya 6 kwa ubora barani Afrika.

Africa Club Ranking by IFFHS (Ist June 2022
- 31st May 2023)

1. Al Ahly [emoji1093]
2. Wydad [emoji1173]
3. Zamalek [emoji1093]
4. Pyramids [emoji1093]
5. Sundowns [emoji1221]
6. Young Africans [emoji1241]
7. Raja [emoji1173]
8. AS FAR [emoji1173]
9. Future FC [emoji1093]
10. CR Belouizdad [emoji1026]
11. Al-Hilal [emoji1232]
12. USM Alger [emoji1026]
13. Simba SC [emoji1241]
Na kuna vinyesi wamekuamini na kukushangilia. Yanga ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
 
Kuna namna watu hujipofua pasipokujua. Mleta uzi ameleta taarifa na chanzo, na taarifa yake ni kuhusiana na viwango vya mwezi June.
Ikumbukwe mwezi Mei pia Yanga ilipanda, hivyo viwango hivi ni vile vya kila mwezi na mechi ambazo Yanga imecheza ni mechi zinazotambulika kwenye calendar ya CAF, viwango hivi siyo majumuisho kwamba wanashindana na rekodi ambazo vilabu vilijiwekea kwa miaka miwili au mitatu.
Hata hivyo, kwamba timu iliwahi kuingia 10 bora, haimaanishi kuwa hairuhusiwi kushuka, na kushuka kwake kutategemea mechi matokeo kutokana na mashindano hayahaya.
Wewe mwenyewe ni kiazi kitamu. Piga hesabu wewe utuambie Yanga wana point ngapi?

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mujibu wa mtandao wa IFFS Inayojihusisha na takwimu za vilabu vya soka ulimwenguni, imeonyasha Yanga kupanda kufikia nafasi ya 6 kwa ubora barani Afrika.

Africa Club Ranking by IFFHS (Ist June 2022
- 31st May 2023)

1. Al Ahly [emoji1093]
2. Wydad [emoji1173]
3. Zamalek [emoji1093]
4. Pyramids [emoji1093]
5. Sundowns [emoji1221]
6. Young Africans [emoji1241]
7. Raja [emoji1173]
8. AS FAR [emoji1173]
9. Future FC [emoji1093]
10. CR Belouizdad [emoji1026]
11. Al-Hilal [emoji1232]
12. USM Alger [emoji1026]
13. Simba SC [emoji1241]
Huo mtandao ni mali ya CAF?

Kama sio takwimu halisi za CAF zinasemaje?

Au usinijibu kausha tu
 
Kuna namna watu hujipofua pasipokujua. Mleta uzi ameleta taarifa na chanzo, na taarifa yake ni kuhusiana na viwango vya mwezi June.
Ikumbukwe mwezi Mei pia Yanga ilipanda, hivyo viwango hivi ni vile vya kila mwezi na mechi ambazo Yanga imecheza ni mechi zinazotambulika kwenye calendar ya CAF, viwango hivi siyo majumuisho kwamba wanashindana na rekodi ambazo vilabu vilijiwekea kwa miaka miwili au mitatu.
Hata hivyo, kwamba timu iliwahi kuingia 10 bora, haimaanishi kuwa hairuhusiwi kushuka, na kushuka kwake kutategemea mechi matokeo kutokana na mashindano hayahaya.
Bado unaendelea kuleta hadithi za Kitopolo tu.
 
Kuna namna watu hujipofua pasipokujua. Mleta uzi ameleta taarifa na chanzo, na taarifa yake ni kuhusiana na viwango vya mwezi June.
Ikumbukwe mwezi Mei pia Yanga ilipanda, hivyo viwango hivi ni vile vya kila mwezi na mechi ambazo Yanga imecheza ni mechi zinazotambulika kwenye calendar ya CAF, viwango hivi siyo majumuisho kwamba wanashindana na rekodi ambazo vilabu vilijiwekea kwa miaka miwili au mitatu.
Hata hivyo, kwamba timu iliwahi kuingia 10 bora, haimaanishi kuwa hairuhusiwi kushuka, na kushuka kwake kutategemea mechi matokeo kutokana na mashindano hayahaya.
Takwimu za Yanga zinapanda na kushuka kama presha.
 
Back
Top Bottom