Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mwezi june umeona perfomance ya Mamelod wapi?, unajua Mamelod mara ya mwisho ilicheza lini?, na kama hawajacheza hiyo perfomance ya mwezi june kwa nini wazihusishe timu ambazo hazikucheza kwa mwezi huo?Kuna vitu namna watu hujipofua pasipokujua. Mleta uzi ameleta taarifa na chanzo, na taarifa yake ni kuhusiana na viwango vya mwezi June.
Ikumbukwe mwezi Mei pia Yanga ilipanda, hivyo viwango hivi ni vile vya kila mwezi na mechi ambazo Yanga imecheza ni mechi zinazotambulika kwenye calendar ya CAF siyo majumuisho.
Hata hivyo, kwamba timu iliwahi kuingia 10 bora, haimaanishi kuwa hairuhusiwi kushuka, na kushuka kwake kutategemea mechi matokeo kutokana na mashindano hayahaya.
Haishangazi sana maana mshindi wa pili alishangilia medali zake akamfunika hadi aliyechukua kombe 🤣😂🤣Inakuwaje aliyechukua kombe mshindi wa kwanza awe no 12, mshindi wa pili no 6?
Chukua hiyo...Kuna namna watu hujipofua pasipokujua. Mleta uzi ameleta taarifa na chanzo, na taarifa yake ni kuhusiana na viwango vya mwezi June.
Ikumbukwe mwezi Mei pia Yanga ilipanda, hivyo viwango hivi ni vile vya kila mwezi na mechi ambazo Yanga imecheza ni mechi zinazotambulika kwenye calendar ya CAF, viwango hivi siyo majumuisho kwamba wanashindana na rekodi ambazo vilabu vilijiwekea kwa miaka miwili au mitatu.
Hata hivyo, kwamba timu iliwahi kuingia 10 bora, haimaanishi kuwa hairuhusiwi kushuka, na kushuka kwake kutategemea mechi matokeo kutokana na mashindano hayahaya.
Na kuna vinyesi wamekuamini na kukushangilia. Yanga ina hazina kubwa sana ya wapumbavuKwa mujibu wa mtandao wa IFFS Inayojihusisha na takwimu za vilabu vya soka ulimwenguni, imeonyasha Yanga kupanda kufikia nafasi ya 6 kwa ubora barani Afrika.
Africa Club Ranking by IFFHS (Ist June 2022
- 31st May 2023)
1. Al Ahly [emoji1093]
2. Wydad [emoji1173]
3. Zamalek [emoji1093]
4. Pyramids [emoji1093]
5. Sundowns [emoji1221]
6. Young Africans [emoji1241]
7. Raja [emoji1173]
8. AS FAR [emoji1173]
9. Future FC [emoji1093]
10. CR Belouizdad [emoji1026]
11. Al-Hilal [emoji1232]
12. USM Alger [emoji1026]
13. Simba SC [emoji1241]
Na mods wanakenua tu Jukwaa kudhalilishwaNyuzi kama hizi zinadhalilisha Jukwaa
Kupata hivyo vichekesho unabonyeza ngapi🤣 🤣 🤣 Inachekesha
Wewe mwenyewe ni kiazi kitamu. Piga hesabu wewe utuambie Yanga wana point ngapi?Kuna namna watu hujipofua pasipokujua. Mleta uzi ameleta taarifa na chanzo, na taarifa yake ni kuhusiana na viwango vya mwezi June.
Ikumbukwe mwezi Mei pia Yanga ilipanda, hivyo viwango hivi ni vile vya kila mwezi na mechi ambazo Yanga imecheza ni mechi zinazotambulika kwenye calendar ya CAF, viwango hivi siyo majumuisho kwamba wanashindana na rekodi ambazo vilabu vilijiwekea kwa miaka miwili au mitatu.
Hata hivyo, kwamba timu iliwahi kuingia 10 bora, haimaanishi kuwa hairuhusiwi kushuka, na kushuka kwake kutategemea mechi matokeo kutokana na mashindano hayahaya.
Sikuwahi kujua kuwa kuna siku utatoka hadharani hata kwa fake ID na kukiri kuwa hakika kwako mimi ni kiazi halafu ni kitamuWewe mwenyewe ni kiazi kitamu. Piga hesabu wewe utuambie Yanga wana point ngapi?
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Huo mtandao ni mali ya CAF?Kwa mujibu wa mtandao wa IFFS Inayojihusisha na takwimu za vilabu vya soka ulimwenguni, imeonyasha Yanga kupanda kufikia nafasi ya 6 kwa ubora barani Afrika.
Africa Club Ranking by IFFHS (Ist June 2022
- 31st May 2023)
1. Al Ahly [emoji1093]
2. Wydad [emoji1173]
3. Zamalek [emoji1093]
4. Pyramids [emoji1093]
5. Sundowns [emoji1221]
6. Young Africans [emoji1241]
7. Raja [emoji1173]
8. AS FAR [emoji1173]
9. Future FC [emoji1093]
10. CR Belouizdad [emoji1026]
11. Al-Hilal [emoji1232]
12. USM Alger [emoji1026]
13. Simba SC [emoji1241]
Bado unaendelea kuleta hadithi za Kitopolo tu.Kuna namna watu hujipofua pasipokujua. Mleta uzi ameleta taarifa na chanzo, na taarifa yake ni kuhusiana na viwango vya mwezi June.
Ikumbukwe mwezi Mei pia Yanga ilipanda, hivyo viwango hivi ni vile vya kila mwezi na mechi ambazo Yanga imecheza ni mechi zinazotambulika kwenye calendar ya CAF, viwango hivi siyo majumuisho kwamba wanashindana na rekodi ambazo vilabu vilijiwekea kwa miaka miwili au mitatu.
Hata hivyo, kwamba timu iliwahi kuingia 10 bora, haimaanishi kuwa hairuhusiwi kushuka, na kushuka kwake kutategemea mechi matokeo kutokana na mashindano hayahaya.
Ni hadithi za kikolo ma ndiyo hadithi unazozipendaBado unaendelea kuleta hadithi za Kitopolo tu.
Mnapenda kujidanganya sana ndugu zetuNi hadithi za kikolo ma ndiyo hadithi unazozipenda
Acha kuomba omba undugu weweMnapenda kujidanganya sana ndugu zetu
Takwimu za Yanga zinapanda na kushuka kama presha.Kuna namna watu hujipofua pasipokujua. Mleta uzi ameleta taarifa na chanzo, na taarifa yake ni kuhusiana na viwango vya mwezi June.
Ikumbukwe mwezi Mei pia Yanga ilipanda, hivyo viwango hivi ni vile vya kila mwezi na mechi ambazo Yanga imecheza ni mechi zinazotambulika kwenye calendar ya CAF, viwango hivi siyo majumuisho kwamba wanashindana na rekodi ambazo vilabu vilijiwekea kwa miaka miwili au mitatu.
Hata hivyo, kwamba timu iliwahi kuingia 10 bora, haimaanishi kuwa hairuhusiwi kushuka, na kushuka kwake kutategemea mechi matokeo kutokana na mashindano hayahaya.