Dah. Sasa si waseme ukweli Tu. Kuiga tembo msamba ukoKuna tetesi kuwa Waliahidiwa kulipiwa kilakitu na wenyeji wao, sasa walivyofika kule wakahama mji ili kambi isiwe karibu na Simba. Hivyo wenyeji wao wamegoma kuwalipia kambi ya mji mwingine.
Yanga wameshindwa kujilipia wenyewe, wameona Bora warudi Nyumbani.
Mwarabu mkwepa kodi anawageuza geuza uto kama samaki1) Eti sababu wachezaji kama nane wataitwa kwenye nchi zao kwa michezo ya kimataifa hivyo timu itameguka
2) Eti sababu kule kambi iliko joto San...
Halafu waarabu walivyo na roho mbaya hawatumii vilainishiYanga wachoka kuliwa viboga huko morocco waamua kurudi bongo
Wachezaji wamechoka kuingiliwa kinyume cha maumbile hukoMbumbumbu at your own peak
Kwahiyo na Edo kumwembe atarudi na mwanasporti yake.?Mwarabu mkwepa kodi anawageuza geuza uto kama samaki
Hizo mbinu angetoa kwa wachezaji 22 waliobakiMbumbumbu wengi hawana reasoning
1.Kilele cha wiki ya mwananchi ni tar.29/8/2021 na leo ni ni tar. 23,kwa hesabu hapo zimebaki siku sita mpaka siku hiyo kufika na timu ipo Morroco na safari yake inachukua siku mbili mpaka kufika Dar es Salaam...
Eeeh kumbe akina Kabwili ni Key players[emoji23][emoji23][emoji23]Mbumbumbu wengi hawana reasoning
1.Kilele cha wiki ya mwananchi ni tar.29/8/2021 na leo ni ni tar. 23,kwa hesabu hapo zimebaki siku sita mpaka siku hiyo kufika na timu ipo Morroco na safari yake inachukua siku mbili mpaka kufika Dar es Salaam
Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Mashindano wa klabu ya Yanga Sc Eng Hersi Said amethibitisha kuwa timu hiyo imesitisha kambi nchini Morocco 🇲🇦 na sasa itarejea nchini kwa mafungu mawili tayari kwa kumalizia maandalizi ya msimu mpya kabla ya kuanza msimu rasmiMbumbumbu wengi hawana reasoning
1.Kilele cha wiki ya mwananchi ni tar.29/8/2021 na leo ni ni tar. 23,kwa hesabu hapo zimebaki siku sita mpaka siku hiyo kufika na timu ipo Morroco na safari yake inachukua siku mbili mpaka kufika Dar es Salaam
Kumbuka na kilele cha wananchi kipo mwisho wa wiki hii yaani Jumapili, Je utasafiri lini na kufika Dar es Salaam na pia uzinduzi wa jezi za wananchi lazima ufanyike Dar es Salaam kwa wachezaji woteHizo mbinu angetoa kwa wachezaji 22 waliobaki