Yanga yasitisha pre-season yao huko Morocco kurejea nchini kwa mafungu

Yanga yasitisha pre-season yao huko Morocco kurejea nchini kwa mafungu

Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Mashindano wa klabu ya Yanga Sc Eng Hersi Said amethibitisha kuwa timu hiyo imesitisha kambi nchini Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ na sasa itarejea nchini kwa mafungu mawili tayari kwa kumalizia maandalizi ya msimu mpya kabla ya kuanza msimu rasmi

Eng amesema sababu za kuvunja kambi hiyo ni timu kumeguka kutokana na wachezaji nane kuitwa timu zao za Taifa lakini pia ukaribu wa mechi zao ikiwemo ile ya Siku ya Mwananchi pamoja na mechi ya kwanza ya Kimataifa ambazo zote zitapigwa jijini Dar Es Salaam

Hersi ameongeza kuwa hali ya joto ya Morocco ni kubwa sana tofauti na ya jiji la Dar Es Salaam hivyo kwasasa ni wakati sahihi kwa wachezaji wao kuzoea hali ya joto la nyumbani kuelekea kwenye mchezo wa kwanza wa Kimataifa

Chanzo: Mwanaspoti

Tatizo nikurud mafungu mafungu hapa ndo wasi wasi unazid inatufanye tuamin mpunga umekata afu machezaji walingwazwa week 3 zilizo pita kama mantiki hiyo kulikua na haja gani ya kwenda kuweka kambi siku5 si bora mgebaki bongo tu
Yaah wapo sahihi kabisa wananchi ratiba yao haipo rafiki hivyo kwa vyovyote hawezi kukaa mpk mwisho wa wiki kule Morroco kama watani wao ambao ratiba yao ipo rafiki sana kwani wao mashindano yao yaanza mwezi wa tisa mwishoni kabisa na ndio maana hata simba day wamesogeza mbele kutoka na urafiki huo wa ratiba

Tafadhali sana naomba msiendeleee kuishikilia laana ya UMBUMBUMBU kwenye vichwa na maisha yenu enyi vizazi vya Mo dewji
 
Mbumbumbu wengi hawana reasoning

1.Kilele cha wiki ya mwananchi ni tar.29/8/2021 na leo ni ni tar. 23,kwa hesabu hapo zimebaki siku sita mpaka siku hiyo kufika na timu ipo Morroco na safari yake inachukua siku mbili mpaka kufika Dar es Salaam, kwahyo hapo zinabaki siku nne pia kuna uchovu wa safari na kuendelea na mazoezi kwa ajili ya mtanange wa wiki hiyo ya mwananchi
Tupo mule mule tu.

Wachezaji wanatakiwa timu ya Taifa
1.Kabwili
2.Feisal
3.Mauya
4.Job
5.Mwamnyeto
6.Yacouba
7.Mokoko Tonombe
8.Djagui Diarra

Kimsingi hapo kwa tuliosomea coaching hasa ukiwa kambi ya maandalizi ya msimu bila kuwa key players wako, hapo huwa tunahesabu hakuna maana ya kuwa na kambi hiyo, automatically kuna mbinu ulikuwa uzitoe lakini utashindwa kutokana na kukosekana kwa baadhi ya wachezaji wako muhimu

Na isitoshe wiki ya mwananchi ipo ukingoni sina shaka kumuelewa Coach Nabi na Eng. Hersi said
Kama ndio ivyo mbumbumbu wewe na yanga,kati ya izo sababu ipi ambayo ilikuja gafla baada ya kufika Morocco ?
 
TUNARUDI KUJIANDAA NA SIKU YA WALANANCHI SASA.

Siku ya Mwananchi ni tar 29 sasa mnataka tuendelee kukaa. Kule turudi lini ?

Hapa katika kuna kutambulisha jezi mpya za wananchi ambao inabidi ufanyike Dar es Salaam na mzigo wa jezi kali sana kutoka Turkey umefika jijini tayari

Mazoezi ya timu baada ya uchovu wa safari ya siku mbili kutoka Morroco kujiandaa na mechi ya siku ya mwananchi.

Ebu tupeni laana ya UMBUMBUMBU mliyopewa na Aden Rage kwani ndio inayo athiri maisha yenu
 
TUNARUDI KUJIANDAA NA SIKU YA WALANANCHI SASA.

Siku ya Mwananchi ni tar 29 sasa mnataka tuendelee kukaa. Kule turudi lini ?

Hapa katika kuna kutambulisha jezi mpya za wananchi ambao inabidi ufanyike Dar es Salaam na mzigo wa jezi kali sana kutoka Turkey umefika jijini tayari

Mazoezi ya timu baada ya uchovu wa safari ya siku mbili kutoka Morroco kujiandaa na mechi ya siku ya mwananchi.

Ebu tupeni laana ya UMBUMBUMBU mliyopewa na Aden Rage kwani ndio inayo athiri maisha yenu
Haya yote hayakujulikana before?

Sent from my Redmi 7A using JamiiForums mobile app
 
Kama ndio ivyo mbumbumbu wewe na yanga,kati ya izo sababu ipi ambayo ilikuja gafla baada ya kufika Morocco ?
Timu ya Taifa imeitwa katikati na tena ni juzi kati wakati timu za Taifa zipo kambini nchini Morroco na sisi tu ni nchi zote za Africa katika kufuzu kombe la dunia
 
Hata huku kwa watani kinachowapa nguvu ni kwamba mechi zao za kimataifa zitaanza mwezi wa 10 na mechi yao ya kwanza kimashindano itakuwa itakuwa September mwishoni kabisa ikiwa ni ya Ngao ya hisani wakicheza na wapinzani wao Yanga, hivyo wana faida kubwa kimaandalizi

Na ndio maana hata simba day wamesogeza mbele na hii ni kutokana na urafiki wa ratiba walio nayo na hilo halina shaka

Hii ni tofauti kwa watani wao Yanga ambapo kabla ya kukutana kwenye ngao ya hisani watakuwa wamesha cheza almost mechi mbili tena za kimataifa tena zenye kuamua hatima hatma yao kwenye yao kwenye CAF Champions league

Hivyo basi kama usipokuwa mbumbumbu utakuwa unaelewa nini Yanga wanakifanya
Acha kujitariji wewe na hekaya ndefu ambazo hazina maana. Ratiba ya Timu ya Taifa, pamoja na Yanga Day ilifahamika kabla ya Yanga kwenye Morocco.

Kama ni sababu ni hizo kwanini sasa timu unarudi kwa mafungu, ambapo la kwanza linaondoka leo na lingine litaondoka tarehe 27 kurudi Dar.

Je hawa wengine wa mwisho kurudi Maandalizi hayawahusu? Hapa Ofa imekwisha.
 
Haya yote hayakujulikana before?

Sent from my Redmi 7A using JamiiForums mobile app
Timu ya taifa mkuu imeitwa katikati wakati tayari timu zipo kambini nchini Morroco na hata bila timu ya taifa siku ya mwananchi ipo tar 29 na timu ilipanga kutoka kule tar 25. Na maandalizi mengine yaendelee
Hakuna la ajabu hapo Tupo mulemule
 
Acha kujitariji wewe na hekaya ndefu ambazo hazina maana. Ratiba ya Timu ya Taifa, pamoja na Yanga Day ilifahamika kabla ya Yanga kwenye Morocco.

Kama ni sababu ni hizo kwanini sasa timu unarudi kwa mafungu, ambapo la kwanza linaondoka leo na lingine litaondoka tarehe 27 kurudi Dar.

Je hawa wengine wa mwisho kurudi Maandalizi hayawahusu? Hapa Ofa imekwisha.
Wanaondoka kwa mafungu coz wanaanza walioitwa timu ya Taifa kwanza ili wawahi kambi ya timu ya taifa inayoanza kesho na kundi lingine ndo hilo litaondoka baadae kwa ajili ya wiki ya mwananchi

Ok, siku ya mwananchi ni tar 29, mnataka tukae huko mpk lini labda?
 
Wanaondoka kwa mafungu coz wanaanza walioitwa timu ya Taifa kwanza ili wawahi kambi ya timu ya taifa inayoanza kesho na kundi lingine ndo hilo litaondoka baadae kwa ajili ya wiki ya mwananchi

Ok, siku ya mwananchi ni tar 29, mnataka tukae huko mpk lini labda?
bro naomba nikuulize swali inaamana Kuna baadhi ya wachezaji hawatokuwepo sehemu ya wiki ya wananchi tarehe 29??
 
Yanga wanapenda kuigaiga vitu sana,Hawawezi kufanya vitu kutokana na hali halisi ya timu yao kufatafata mkumbo na kufanya vitu kwa kukurupuka mlidhani Morocco ni Morogoro [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14].
 
1) Eti sababu wachezaji kama nane wataitwa kwenye nchi zao kwa michezo ya kimataifa hivyo timu itameguka

2) Eti sababu kule kambi iliko joto Sana.

3) Eti tuna mechi wiki ya mwananchi na wale wanigeria pia.

My take:::
Waseme tu pesa imekata.
kwani walipoenda au kupanga kwenda huko hayo mambo hawakuya consider?!
Jiisiiem mbona mnawatapeli uto jamani. Wameshaanza kushindwa kabla ya kushindana!


Swali moja tu kwa wana Utopolo.

Why Simba walipoenda kupiga kambi Morocco na wao wakaenda huko huko?

Hawajiamini?
 
Wanaondoka kwa mafungu coz wanaanza walioitwa timu ya Taifa kwanza ili wawahi kambi ya timu ya taifa inayoanza kesho na kundi lingine ndo hilo litaondoka baadae kwa ajili ya wiki ya mwananchi

Ok, siku ya mwananchi ni tar 29, mnataka tukae huko mpk lini labda?
Mkuu umesema kuwa wanawahi kwa ajili ya maandalizi ya mwananchi day na ili wapate kupumzika kabla ya tarehe 29, vipi kuhusu wanaorudi tarehe 27 wao hawahusiki na mwananchi day, au wao mapumziko ya uchovu wa safari kabla ya mwananchi day sio ishu kwao
 
Mbumbumbu wengi hawana reasoning

1.Kilele cha wiki ya mwananchi ni tar.29/8/2021 na leo ni ni tar. 23,kwa hesabu hapo zimebaki siku sita mpaka siku hiyo kufika na timu ipo Morroco na safari yake inachukua siku mbili mpaka kufika Dar es Salaam, kwahyo hapo zinabaki siku nne pia kuna uchovu wa safari na kuendelea na mazoezi kwa ajili ya mtanange wa wiki hiyo ya mwananchi
Tupo mule mule tu.

Wachezaji wanatakiwa timu ya Taifa
1.Kabwili
2.Feisal
3.Mauya
4.Job
5.Mwamnyeto
6.Yacouba
7.Mokoko Tonombe
8.Djagui Diarra

Kimsingi hapo kwa tuliosomea coaching hasa ukiwa kambi ya maandalizi ya msimu bila kuwa key players wako, hapo huwa tunahesabu hakuna maana ya kuwa na kambi hiyo, automatically kuna mbinu ulikuwa uzitoe lakini utashindwa kutokana na kukosekana kwa baadhi ya wachezaji wako muhimu

Na isitoshe wiki ya mwananchi ipo ukingoni sina shaka kumuelewa Coach Nabi na Eng. Hersi said
Kwa akili yko mwenyewe unahic umetoa hoja. Ndio mana LUC aliwaita mbwa na NGURUWE
 
Mkuu umesema kuwa wanawahi kwa ajili ya maandalizi ya mwananchi day na ili wapate kupumzika kabla ya tarehe 29, vipi kuhusu wanaorudi tarehe 27 wao hawahusiki na mwananchi day, au wao mapumziko ya uchovu wa safari kabla ya mwananchi day sio ishu kwao
Hapo hesabu zipo vizuri tu mkuu, tar 27 jioni msafara unatoka Morroco na kufika Dubai na tar 28 mapema tu timu inakuwa Imefika kambini na jioni yake yatafanyika mazoezi ya viungo ili kuweka mwili sawa na tar 29 asubuhi yatafanyika mazoezi ya mwisho na jioni timu itaingia kwenye mechi coz sio mechi ya kimashindano ila ni mechi ya kuwatambulisha wachezaji wapya na muhimu katika hilo wote watakuwepo
Ahsante
 
Back
Top Bottom