Ko nyie furaha yenu ni kufurahisha biashara ya GSM uku timu yenu ikiendelea kufanya viby?Wengi wao wajinga ndo maana waliitwa mbumbumbu na Ismail Aden Rage coz Ishu iko wazi kabisa siku ya mwananchi ni tar 29, wanataka timu ikae huko mpaka lini sasa?
Azam fc wenye akili wameona bora kusitisha Azam festival ili kujiandaa na mashindano. Afu nyie mnaongea utopolo wenu