Yanga yasitisha pre-season yao huko Morocco kurejea nchini kwa mafungu

Yanga yasitisha pre-season yao huko Morocco kurejea nchini kwa mafungu

Mashabiki wa yanga wote uji uji tu.
Timu ilijua kuna wiki la mwananchi mlikuwa na sababu zipi za kwenda Morocco kama si tabia za kuiga kunya kwa tembo.

Halafu baadae muanze kulaumu TFF mara bodi ya ligi kuwa wanawaingilia kinyume na kauli mbiu yenu?
Rudia kusoma ulichoandika na utagundua kuwa wewe ni mbumbumbu mkubwa
 
Subirini mpigwe na Rivers halafu mulaumu TFF.Bora binadamu mbumbumbu kuliko kuwa na akili za nyani
Mbumbumbu at your own peak, mkuu mazingira sio mandhari tu, ila kuna mazingira ya kiakili, kimwili, kisaikolojia na mambo mengine mengi
 
Kambi huwa ni mkakati tu wa kuijenga timu kisaikolojia, unaweza ukakaa hata mwaka huko ila ukaja kwenye pitch ukafanya vibaya pia, rejea kambi za timu za Ulaya zikienda kuweka Marekani wanatumia muda gani kama sio wiki moja tu
Hao unaowatolea mfano si kama wanakaa kambi wiki hapana ila wao wanatembea mfano wik moja anakaa kambi Sydney ,anapga mechi ata moja baada ya apo anaenda sehem nyingine nako ivyo ivyo anapga game moja au mbil kambi inaweza kuchukua ata mwez lakin unakuta wanakaa sehem tofaut tofaut ,ww unatetea ila kishabik tu ukwel ata wenyewe walishapanga lengo wakakae kambi kuanzia siku 10 kwenda mbele aya yaliyotokea kuna shida tu sehem ukiniambia sababu ni siku ya wananchi au kuitwa wachezaji timu ya taifa ni sababu kwa sababu washaamua
 
Hao unaowatolea mfano si kama wanakaa kambi wiki hapana ila wao wanatembea mfano wik moja anakaa kambi Sydney ,anapga mechi ata moja baada ya apo anaenda sehem nyingine nako ivyo ivyo anapga game moja au mbil kambi inaweza kuchukua ata mwez lakin unakuta wanakaa sehem tofaut tofaut ,ww unatetea ila kishabik tu ukwel ata wenyewe walishapanga lengo wakakae kambi kuanzia siku 10 kwenda mbele aya yaliyotokea kuna shida tu sehem ukiniambia sababu ni siku ya wananchi au kuitwa wachezaji timu ya taifa ni sababu kwa sababu washaamua
Huyu mwenzetu ushabiki wake sio wa kutumia akili
 
Mkuu katika jambo lolote lile hata kama ulijiandaa namna gani ila huwa kuna changes zinatokea, So ni issue ya kawaida sana kutokea hata hivyo hakuna ubaya tar 29 Jumapili na mwisho wa wiki hii ndo siku ya mwananchi, Je unataka timu irudi lini ndugu mwandishi
Hujajibu swali langu la msingi haya yote hayakujulikana,,
1)Nini maana ya uongozi wa team..
2)hakuna ratiba maalum ya msimu kwa team mambo yanaenda enda tu
3) au ratiba ipo ila kuna watu wenye influence nje ya uongozi wanaendesha team kwa agenda zao tofaut na za viongozi..

Kubali ukatae yanga kuna tatizo kubwa la kiungozi wako dis organized kabisa na hawajui wanataka nini..
Kuna jambo la ajabu ambalo lishakua kama la kawaida bwana hersi kua ndo mzungumzaji mkuu wa team na planner wa kila kitu sidhani hata kama kina msola wanafurahia hili.
Hersi ni nan yanga na mamlaka ya kuongelea mambo ya yanga anayatoa wapi..
Hata kina mzee wangu msolla nikuambie sasa hawafurahi hili swala ila wakiongea wanaonekana hawaitaki yanga mazuri wanamkera mdhamini..
Hersi na gsm yake wamekua ni viongozi nje ya uongozi halali wa yanga na hapa ndo mambo yote yanapotinginywa..
 
1) Eti sababu wachezaji kama nane wataitwa kwenye nchi zao kwa michezo ya kimataifa hivyo timu itameguka

2) Eti sababu kule kambi iliko joto Sana.

3) Eti tuna mechi wiki ya mwananchi na wale wanigeria pia.

My take:::
Waseme tu pesa imekata.
kwani walipoenda au kupanga kwenda huko hayo mambo hawakuya consider?!
Jiisiiem mbona mnawatapeli uto jamani. Wameshaanza kushindwa kabla ya kushindana!
Wewe una umia nini!?

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Kuna sehem ambayo nimetumia lugha kama unayotumia ww labda na ww useme unalipa,kama hauna hoja ni bora ukae kimya tukianza lugha kali itakua hakuna faida ya kujadili jambo lolote kama unaweza kutumia lugha za utan sawa ila sio lugha kali au matusi

Mkuu unahangaika na huyu ana hasira tayari,mtu anaulizwa tena kwa lugha ya kistaarabu anakimbilia kutoa lugha yenye ukakasi na wakati huo anajiona yeye ni smart kuliko wengine.Hapa unamuuliza maswali magumu ambayo hana majibu,sishangai kuona anakimbilia kutukana.
 
1) Eti sababu wachezaji kama nane wataitwa kwenye nchi zao kwa michezo ya kimataifa hivyo timu itameguka

2) Eti sababu kule kambi iliko joto Sana.

3) Eti tuna mechi wiki ya mwananchi na wale wanigeria pia.

My take:::
Waseme tu pesa imekata.
kwani walipoenda au kupanga kwenda huko hayo mambo hawakuya consider?!
Jiisiiem mbona mnawatapeli uto jamani. Wameshaanza kushindwa kabla ya kushindana!
Nchi hii watu wanaoenda sana umbea na kujadili mambo ya wengine bila sababu,mbumbumbu wa Rage buana
 
Mbumbumbu at your own peak, kambi nje ya nchi huwa ni ya kimkakati zaidi mkuu huwa hazichukui hata mwezi mmoja, angalia kambi za Ulaya hasa timu Ikitoka nje ya nchi yake

Wewe nae na kingereza chako cha kukalili! Jibu hoja za watu usituletee hapa ngonjera zako utadhani umegundua leo huo msemo wa “at your own peak” .Tunakuuliza ni nini hasa kilikupelekeni huko Morroco kama mlijua ratiba inawabana? Unaondoka hapa tar 17 unafika tar 19,unakaa siku 4 unavunja kambi,ukiulizwa unajibu ratiba inabana,wakati unafanya maamuzi ya kwenda huko,hukujua kama ratiba itabana?
 
Habari za hovyo kuwahi kutokea zisizo na uthibitisho wowote, sio taarifa rasmi

Ukiwa na smartphone unajikuta mwandishi wa habari
 
Hapo hesabu zipo vizuri tu mkuu, tar 27 jioni msafara unatoka Morroco na kufika Dubai na tar 28 mapema tu timu inakuwa Imefika kambini na jioni yake yatafanyika mazoezi ya viungo ili kuweka mwili sawa na tar 29 asubuhi yatafanyika mazoezi ya mwisho na jioni timu itaingia kwenye mechi coz sio mechi ya kimashindano ila ni mechi ya kuwatambulisha wachezaji wapya na muhimu katika hilo wote watakuwepo
Ahsante
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa kweli ni nyani hii kauli nimeona umemulza mdau mmoja tena umeambatanisha na picha ukimulza kuwa team inarud leo hiyo tareh 27 yy kaitoa wap? Sasa na ww tujibu umeitoa wap hiyo tarehe 27?
 
Back
Top Bottom