Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Small mind hawezi kuielewa big mindNakuelewa Mkuu, si kazi rahisi kupaka rangi upepo[emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Small mind hawezi kuielewa big mindNakuelewa Mkuu, si kazi rahisi kupaka rangi upepo[emoji3][emoji3][emoji3]
Rudia kusoma ulichoandika na utagundua kuwa wewe ni mbumbumbu mkubwaMashabiki wa yanga wote uji uji tu.
Timu ilijua kuna wiki la mwananchi mlikuwa na sababu zipi za kwenda Morocco kama si tabia za kuiga kunya kwa tembo.
Halafu baadae muanze kulaumu TFF mara bodi ya ligi kuwa wanawaingilia kinyume na kauli mbiu yenu?
Mbumbumbu at your own peak, mkuu mazingira sio mandhari tu, ila kuna mazingira ya kiakili, kimwili, kisaikolojia na mambo mengine mengi
Hao unaowatolea mfano si kama wanakaa kambi wiki hapana ila wao wanatembea mfano wik moja anakaa kambi Sydney ,anapga mechi ata moja baada ya apo anaenda sehem nyingine nako ivyo ivyo anapga game moja au mbil kambi inaweza kuchukua ata mwez lakin unakuta wanakaa sehem tofaut tofaut ,ww unatetea ila kishabik tu ukwel ata wenyewe walishapanga lengo wakakae kambi kuanzia siku 10 kwenda mbele aya yaliyotokea kuna shida tu sehem ukiniambia sababu ni siku ya wananchi au kuitwa wachezaji timu ya taifa ni sababu kwa sababu washaamuaKambi huwa ni mkakati tu wa kuijenga timu kisaikolojia, unaweza ukakaa hata mwaka huko ila ukaja kwenye pitch ukafanya vibaya pia, rejea kambi za timu za Ulaya zikienda kuweka Marekani wanatumia muda gani kama sio wiki moja tu
Mkuu ukizidiwa kausha. Unajiabisha sana, eti kisakolojia!Mbumbumbu at your own peak, mkuu mazingira sio mandhari tu, ila kuna mazingira ya kiakili, kimwili, kisaikolojia na mambo mengine mengi
Huyu mwenzetu ushabiki wake sio wa kutumia akiliHao unaowatolea mfano si kama wanakaa kambi wiki hapana ila wao wanatembea mfano wik moja anakaa kambi Sydney ,anapga mechi ata moja baada ya apo anaenda sehem nyingine nako ivyo ivyo anapga game moja au mbil kambi inaweza kuchukua ata mwez lakin unakuta wanakaa sehem tofaut tofaut ,ww unatetea ila kishabik tu ukwel ata wenyewe walishapanga lengo wakakae kambi kuanzia siku 10 kwenda mbele aya yaliyotokea kuna shida tu sehem ukiniambia sababu ni siku ya wananchi au kuitwa wachezaji timu ya taifa ni sababu kwa sababu washaamua
Hujajibu swali langu la msingi haya yote hayakujulikana,,Mkuu katika jambo lolote lile hata kama ulijiandaa namna gani ila huwa kuna changes zinatokea, So ni issue ya kawaida sana kutokea hata hivyo hakuna ubaya tar 29 Jumapili na mwisho wa wiki hii ndo siku ya mwananchi, Je unataka timu irudi lini ndugu mwandishi
Wewe una umia nini!?1) Eti sababu wachezaji kama nane wataitwa kwenye nchi zao kwa michezo ya kimataifa hivyo timu itameguka
2) Eti sababu kule kambi iliko joto Sana.
3) Eti tuna mechi wiki ya mwananchi na wale wanigeria pia.
My take:::
Waseme tu pesa imekata.
kwani walipoenda au kupanga kwenda huko hayo mambo hawakuya consider?!
Jiisiiem mbona mnawatapeli uto jamani. Wameshaanza kushindwa kabla ya kushindana!
Kuna sehem ambayo nimetumia lugha kama unayotumia ww labda na ww useme unalipa,kama hauna hoja ni bora ukae kimya tukianza lugha kali itakua hakuna faida ya kujadili jambo lolote kama unaweza kutumia lugha za utan sawa ila sio lugha kali au matusi
Small mind hawezi kuielewa big mind
Nchi hii watu wanaoenda sana umbea na kujadili mambo ya wengine bila sababu,mbumbumbu wa Rage buana1) Eti sababu wachezaji kama nane wataitwa kwenye nchi zao kwa michezo ya kimataifa hivyo timu itameguka
2) Eti sababu kule kambi iliko joto Sana.
3) Eti tuna mechi wiki ya mwananchi na wale wanigeria pia.
My take:::
Waseme tu pesa imekata.
kwani walipoenda au kupanga kwenda huko hayo mambo hawakuya consider?!
Jiisiiem mbona mnawatapeli uto jamani. Wameshaanza kushindwa kabla ya kushindana!
kifurushi alicholipia Mwarabu kimekwishaaaa
Muda utaongea utasikia TFFHawa jamaa ligi ukianza watapoteana
Hayatuhusu kivipi. Fanyieni mambo yenu uvunguni uone kama tutajadiliNchi hii watu wanaoenda sana umbea na kujadili mambo ya wengine bila sababu,mbumbumbu wa Rage buana
TFFSimba ni kama wanabebwa tangu mapemaaa!
Mbumbumbu at your own peak, kambi nje ya nchi huwa ni ya kimkakati zaidi mkuu huwa hazichukui hata mwezi mmoja, angalia kambi za Ulaya hasa timu Ikitoka nje ya nchi yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa kweli ni nyani hii kauli nimeona umemulza mdau mmoja tena umeambatanisha na picha ukimulza kuwa team inarud leo hiyo tareh 27 yy kaitoa wap? Sasa na ww tujibu umeitoa wap hiyo tarehe 27?Hapo hesabu zipo vizuri tu mkuu, tar 27 jioni msafara unatoka Morroco na kufika Dubai na tar 28 mapema tu timu inakuwa Imefika kambini na jioni yake yatafanyika mazoezi ya viungo ili kuweka mwili sawa na tar 29 asubuhi yatafanyika mazoezi ya mwisho na jioni timu itaingia kwenye mechi coz sio mechi ya kimashindano ila ni mechi ya kuwatambulisha wachezaji wapya na muhimu katika hilo wote watakuwepo
Ahsante