Yanga yatoa msimamo mkali: Yadai pointi 3 kwa Simba, yakataa mechi ya marudio na kutaka Kamati ya Ligi Kuvunjwa!

Yanga yatoa msimamo mkali: Yadai pointi 3 kwa Simba, yakataa mechi ya marudio na kutaka Kamati ya Ligi Kuvunjwa!

Ieleweke kwamba simba hakugoma ila mechi ndo imeahirishwa

Screenshot_20250310_101205_Instagram.jpg

Kwa hiyo walio andika hii barua ni vichaa.
 
Salam wanamichezo.

Tukio la kuahirishwa kwa dabi ya kariakoo halikutokea bahati mbaya ila ilikua "script" na "mamlaka"(sio mamlaka ya soka).

Mechi itapangiwa tarehe nyingine itachezwa bila shida yoyote.

Hii nchi ni mabingwa wa kutengeneza matukio ili kufunika matukio fulani kwa manufaa ya "wenye mamlaka"
 
Salam wanamichezo.

Tukio la kuahirishwa kwa dabi ya kariakoo halikutokea bahati mbaya ila ilikua "script" na "mamlaka"(sio mamlaka ya soka).

Mechi itapangiwa tarehe nyingine itachezwa bila shida yoyote.

Hii nchi ni mabingwa wa kutengeneza matukio ili kufunika matukio fulani kwa manufaa ya "wenye mamlaka"
Iko wazi kabisa.Watu wana kaza tu vichwa
 
Salam wanamichezo.

Tukio la kuahirishwa kwa dabi ya kariakoo halikutokea bahati mbaya ila ilikua "script" na "mamlaka"(sio mamlaka ya soka).

Mechi itapangiwa tarehe nyingine itachezwa bila shida yoyote.

Hii nchi ni mabingwa wa kutengeneza matukio ili kufunika matukio fulani kwa manufaa ya "wenye mamlaka"
Una hoja nasikia usalama wote walikuwa arusha
 
Utadhani wqnaongea jambo la maana watu wazima kumbe Utopolo mtupu.

Bodi ivunjwe kwa utopolo wenu?

Hebu acheni ujinga bhana. Hiyo imetoka subirini ratiba mpya itoke muache kupeleka timu ndio mtajua pointi zinakoelekea bila hata mhusika kuzidai
Screenshot_20250310_135345.jpg
 
Ukimwaga mboga, watu wanamwaga ugali, pumbaf.

Simba walikimbia fehdheha ya kuchapwa ila bado point 3 wamezipoteza.
Sasa mchezo utapangiwa tarehe nyingine ole wenu msipeleke timu uwanjani mtakatwa point 3 goli 3 pamoja na kushushwa daraja utopolo wakubwa nyie mmezoea kubembelezwa?

Asee mtu akikuita wewe yanga usikubali pigana ni tusi kubwa
 
Kukujibu nini?Umekiri hujaa uwanjani sasa kama umesusa huoni tayari umekosea tena umesema huji na kanuni zipo wazi asiye kuja hastahili point tatu.

Halafu hiyo comment sijareply kwako kama vip msaidie kujibu?Huo nimeanza kumjibu mda mrefu au ulitaka ni mwache.....?
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama wewe sio CHIZI.
 
Simba hawana mamlaka au kanuni za kuhairisha mechi, hayo mamlaka ni ya TFF.

Kugomea mechi maana yake hujaleta timu uwanjani na sio umeandika kuwa hutacheza mechi.

TFF isingehairisha mechi kisha Simba wasitokee hapo ndo ingekuwa rasmi kuwa Simba haikuleta timu na p3 halali zingepelekwa kwa Yanga.

Binafsi ndo nililotegemea, then TFF akaja akasema hakuna mechi kabla ya muda wa mechi, ikawa imeisha hiyo. Kuanzia hapo, vita vyenu si na Simba, sasa hivi mnapigana na Serikali yaani TFF.
😃😃Sasa umeandika nini? Sema kutoa tamko kuwa hawatacheza mechi sio kugomea?.
 
Back
Top Bottom