Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 434
- 1,126
Boss, anazipata wapi hizo 4? Kuna wakati mkubali ukweli usemwe. Nitakurudia trh 24 baada ya matchNdio madhara ya kupenda midako na rede halafu mpira mnalazimisha kuupenda ukubwani.
Yanga anahitaji kushinda hata goli moja tu dhidi ya CRB na atoe sare mechi na Al Ahly moja kwa moja anafuzu kwasababu hatolingana point na CRB. Yanga inahitaji point 4 tu anafuzu moja kwa moja haijalishi kafunga magoli mangapi bali itamfanya awe na point 9 zisizoweza kufikiwa na CRB
Soma uelewe ili Yanga afuzu anatakiwa amfunge CRB haijalishi goli ngapi na kisha mechi yake ya mwisho anatakiwa apate sare tu inamtosha kwenda hatua inayofuataUkitoa sare na CRB na mechi zenu za mwisho mkashinda ,Yanga na CRB si wote mtafikisha points 9 . Au points 9 zenu zitakuwa na nguvu za majini ?
JF ya Sasa imejaa vichaa, nimefunguwa Uzi nione matokeo ya mechi ya Jana sioni kitu naona mauzauza tu ya mtu anayejamba mashuzi tu hata anachokiandika hakieleweki.View attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Kama unaamini utatoa sare Cairo kwa vile Dar mlitoa sare basi CRB nae ataendeleza alipoishia.Mechi ya Dar sare ilitolewa kwa msaada wa Majini?
Sawa shekh YahayaKama unaamini utatoa sare Cairo kwa vile Dar mlitoa sare basi CRB nae ataendeleza alipoishia.
Jiandae kupingwa na Mazuzu ya Jangwani..View attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
sawa apostle 🐒View attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Mtakufa kiume kule Cairo.Sawa shekh Yahaya
Hivi kwa nini watu wa upande wa pili wanaanzisha thread za Yanga kika siku? Angalau wangekuwa wanatoa analysis ya kwa nini Yanga hawatafuzu lakini thread zao zimejaa hisia na dua mbaya kwa adui yao.View attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Simba?!Umerogwa weweWatoke..
Na simba nao watoke
Wewe utashindwa?Sare na Al Ahly ni mutual exclusive ni sawa na mtu aliyeambiwa avae boxer kisha avuke maji ya shingo bila pumb kulowa.
WE utaweza?
sema wewe mwenyewe unachukulia mpira as if unaokota tu unafunga, unafikiri hata hiyo cr belouzidad mtaifunga ?Ndio madhara ya kupenda midako na rede halafu mpira mnalazimisha kuupenda ukubwani.
Yanga anahitaji kushinda hata goli moja tu dhidi ya CRB na atoe sare mechi na Al Ahly moja kwa moja anafuzu kwasababu hatolingana point na CRB. Yanga inahitaji point 4 tu ambazo katika hizo point 4, point 3 azichukulie kwa CRB anafuzu moja kwa moja haijalishi kafunga magoli mangapi bali itamfanya awe na point 9 zisizoweza kufikiwa na CRB
Ujinga mwingine wa mifugo ya mangungu ndio hii, Yanga akimpiga Belouzdad ata kwa ushindi wa goli moja na akapata point moja kwa Aly ahly Anakuwa amepita moja kwa moja aijalishi magoli ya kufungwa na kufunga yako je, Belouzdad ata akishinda goli 100 dhidi ya medeama Anakuwa ametolewa na yanga anasonga robo fainali,Ili Yanga ifuzu inabidi waipige CR Belouzidad kono la nyani (bao tano) maana kuna dozi inawasubiri Misri kwa Al Ahly, na hapo waombee Belouzidad akiwa nyumbani kwao dhidi ya vibonde wa kundi ashinde goli mbili tu.