Yanga yatoka rasmi mashindano ya CAF, hakuna muujiza utaweza kuwasaidia

Wahuni wakijua kuandika majina ya Timu tu wanageuka kuwa Wachambuzi mwenye uzi kaukimbia uzi wake kama yule jamaa mwingine alianzisha nyuzi saba jana za Yanga kufungwa...
 
Vp una Hali Gani saiv hapo??? Msiwe wajinga kwenye maisha . Kamwe usimkatie tamaa binadamu
 
Unatesekea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…