Yanga yaweka Bango tena baada ya kuwafunga Simba 7-2 kwa msimu 2023/2024

Vunja Bei

NGURUWE FC
 
Sasa hii kero hata kama utani huu n utani WA ngumi
 
Hiyo inadhihirisha yanga kuifunga simba Goli nyingi kwao ni ajabu na ndoto, mwaka 2012 simba ilipoifunga yanga 5-0 kwenye VPL, sidhani kama simba waliweka bango au mbwembwe zozote zile
 
Makolokolo yakiteseka hivi ni raha tupu kwetu Utopolo, na bado [emoji28]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Hiyo inadhihirisha yanga kuifunga simba Goli nyingi kwao ni ajabu na ndoto, mwaka 2012 simba ilipoifunga yanga 5-0 kwenye VPL, sidhani kama simba waliweka bango au mbwembwe zozote zile
Mbumbumbu hawana akili za ubunifu kama huo [emoji4]

Hata highlights za 5-0 hazinogi sababu kadi nyekundu 2, penati 1, ulinganishe na Utopolo wakiwa 11 Players kwa Makolokolo 11 [emoji848][emoji2]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Hiyo inadhihirisha yanga kuifunga simba Goli nyingi kwao ni ajabu na ndoto, mwaka 2012 simba ilipoifunga yanga 5-0 kwenye VPL, sidhani kama simba waliweka bango au mbwembwe zozote zile
Jinga kabisa, kama ulisoma ulishindwa kufuta ujinga wako.

Mfano mwaka 2012 vita vikikuwa vinapiganwa kwa mabomu ya ndege zenye rubani, vifaru na wanajeshi wa nchi kavu, sasa hivi zinatumika drones.
 
Mbumbumbu hawana akili za ubunifu kama huo [emoji4]

Hata highlights za 5-0 hazinogi sababu kadi nyekundu 2, penati 1, ulinganishe na Utopolo wakiwa 11 Players kwa Makolokolo 11 [emoji848][emoji2]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Siyo ubunifu ni ushamba tu halafu hata penati nayo ni goli kwani ninyi kwenye zile tano zenu hakukuwa na penati, na pia red card siyo tiketi ya moja kwa moja ya timu kufungwa kwani timu ngapi zimewafunga wapinzani zikiwa na red cards, kikubwa ni ubao ulisomekaje hayo ya kunoga au kutokunoga ni porojo kama porojo nyingine
 
Jinga kabisa, kama ulisoma ulishindwa kufuta ujinga wako.

Mfano mwaka 2012 vita vikikuwa vinapiganwa kwa mabomu ya ndege zenye rubani, vifaru na wanajeshi wa nchi kavu, sasa hivi zinatumika drones.
Mjomba mpira ni rekodi na rekodi ni historia, ingekuwa hivyo basi watu kama kina Pele wasingekuwa wanatajwa hadi leo maana mpira waliocheza wao haukuwa na sheria kama mpira wa sasa, kwanza unaishi sayari gani hiyo ambayo huo mwaka Drones zilikuwa bado hazijaanza kutumika vitani
 
Kichwa Maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…