Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Haitapenda kivipi?Yanga wanajua sana kukera.
Bango hili limenipa mfadhaiko sana wa moyo kwa vile nina wasi wasi Simba haitapenda kupambana na Yanga tena na hivyo kunikosesha uhondo wa mpira
Utoto wa kina Ali Kamwe.Liver alimpiga man u 7 lakini sikuona bango
Hapana mimi sijaongelea kukera wala kukerwa, soma comment yangu ya kwanza kabisa, nilisema yanga wanashangilia hivi sababu kuifunga simba magoli mengi ni ajabu na ndoto kwao karne hii hawajawahiHizi tambo zinakera ikiwa wewe ndiye unayekerwa. Kila jambo lipe muda lina mwisho wake.
Ushamba tu ndio shida.Kwani shida nini hapo?
Simba waliifunga Yanga magoli 5-0 mwaka 2012 uliona bango lolote lile katikati ya jiji la Dar?.Hapana mimi sijaongelea kukera wala kukerwa, soma comment yangu ya kwanza kabisa, nilisema yanga wanashangilia hivi sababu kuifunga simba magoli mengi ni ajabu na ndoto kwao hawajawahi
Bila shaka umekosea kuniquote mkuu, nimeshalisema hilo huko juu, wanasema eti hiyo ilikuwa zamani sanaSimba waliifunga Yanga magoli 5-0 mwaka 2012 uliona bango lolote lile katikati ya jiji la Dar?.
Ni ushamba tu, mwaka 1968 walipotufunga 5-0 ni miaka 56 iliyopita, zamani zaidi.Bila shaka umekosea kuniquote mkuu, nimeshalisema hilo huko juu, wanasema eti hiyo ilikuwa zamani sana
Si ndio hapo sasa tungekumbushia na zile 6..0 tulizowafunga mwaka 1977, hapo kweli wangekuwa sahihi kusema ni zamani maana kwanza ni karne ya 20 huko, ila 2012 karne hii hii juzi tu hapo useme eti ni zamaniNi ushamba tu, mwaka 1968 walipotufunga 5-0 ni miaka 56 iliyopita, zamani zaidi.
Umefufuka baada ya kipigoHii mi utopolo ni mijingaaa...
Kipigo gani sasa? Mm nishawahi kukimbia kipigo yani tena kipigo hicho cha2 kwa 1? Sikua hewani tuu jirani...sio kila siku unakua hewani kuna majukumu ya kufanya hutakiwi hekaheka za mitandaoni...Umefufuka baada ya kipigo
ushamba tu na ulimbukeniTimu ya Yanga imeweka bango kubwa maeneo ya Fire jijini Dar es Salaam linaloonesha matokeo ya jumla ya kipigo walichotoa kwa mnyama msimu huu.
Kwa mechi zote mbili za msimu huu klabu ya Yanga Afrika imeisulubu Simba jumla ya magoli 7-2 kama inavyoonekana kwenye bango hapo..
Vipi maoni yako? Je Yanga wako sahihi kuwafanyia Simba hivi? Au huu ni udhalilishaji?
View attachment 2971704
[emoji23][emoji23][emoji23] kipigo cha Al Ahly ulitowekaKipigo gani sasa? Mm nishawahi kukimbia kipigo yani tena kipigo hicho cha2 kwa 1? Sikua hewani tuu jirani...sio kila siku unakua hewani kuna majukumu ya kufanya hutakiwi hekaheka za mitandaoni...
Aaah wapi sijawahi.. π π π π π[emoji23][emoji23][emoji23] kipigo cha Al Ahly ulitoweka
Leo mpo dimbani nusu fainali mshindwe wenyeweAaah wapi sijawahi.. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mm nasubiria msimu ujao kwa hamu..Leo mpo dimbani nusu fainali mshindwe wenyewe View attachment 2972943
Msimu hauja isha huu utopolo wameanza Ku draw komaeni ubingwa ni wenuMm nasubiria msimu ujao kwa hamu..