Yanga yazidi kuwakaba kooni Viongozi wa TFF wenye Husda

Yanga yazidi kuwakaba kooni Viongozi wa TFF wenye Husda

Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!


Ni kama vile Young Africans ni fupa la Sangara ambalo limenasa kwenye kolomeo la zee lenye husda liitwalo "TFF".

Kibaya zaidi fupa hilo limekwama na halimezeki wala halitoleki iwe kwa winchi ama kamba za chuma! Fupa hilo la Sangara linaendelea kuwaumiza viongozi wa TFF na hawana cha kufanya zaidi ya kuendelea kugugumia maumivu!

Miaka 2 ya Ubingwa wa Yanga viongozi wenye chuki na husda ya waziwazi kwa Yanga tumeshuhudia wakifanya fitina za kila namna ili Yanga aside Bingwa lakini imeshindikana.

1. Miaka 2 mfululizo wamekuwa wakimpangia Yanga ratiba ambayo si rafiki, mechi za mwisho za Yanga kwa misimu 2 mfululizo amekuwa akimalizia kule mkoani Mbeya, hii si bahati mbaya, tunajua ni uhuni na fitina ili kuihujumu Yanga lakini bahati Nzuri Yanga amekuwa akichukua Ubingwa Mapema na akifika huko ni kukalimilisha ratiba tu!

2. Mwaka huu wakaona waanzishe mfumo wa timu 4 zitakazocheza kwenye ngao ya Hisani (Ngao ya Jamii) ili kipenzi Chao Madunduka aweze kubebwa awezavyo achukue ngao hiyo, huu mfumo ni mfumo wa kihuni kwasababu ngao ya Hisani huwa inachezwa mechi moja tu!

Lengo lao lilifanikiwa kwasababu kila mmoja ni shahidi ile fainali namna refa alivyoamua waziwazi kumbeba Dunduka.

3. Haikuishia hapo, mwaka huu wameamua kabisa Yanga acheze mechi ngumu mfululizo ili adondoshe point kusudi kipenzi chao Dunduka aweze kuongoza ligi kwa tofauti ya pointi nyingi.

Azam vs Yanga
Yanga vs Singida
Simba vs Yanga

Walijua kabisa hapo Yanga hachomoki na ndipo mahali ambapo Dunduka angemzidi Yanga Pointi, lakini hadi sasa hawaamini wanachokiona!

Baada ya Dunduka kukandwa ki kwelikweli wakaamua mechi ya Dunduka na Azam waisogeze mbele hadi Januari bila sababu ya Msingi ili kumbeba Dunduka.

Labda tu niaambie TFF ya Kwamba mtaionea Yanga kwenye mambo mengine lakini kwenye uwanja atawaahibisha tu, dadeeeeeeki!

The Greatest Umughaka A.K.A "River Mbaji".
Kuna matukio yanatia Shaka lakini la ratiba ngumu nadhani kilikuwa kipimo kizuri Kwa timu inayojinasibu kuwa Bora Kwa Sasa. Sir Alex Ferguson (2009) alikumbana na ratiba ngumu mfululizo lakini alipoulizwa na Waandishi wa habari anajisikiaje baada ya kuona ratiba inayomkutanisha na vigogo wenzie mfululizo? Alijibu; "Safari ya kwenda paradiso ni Kufa ama kupona" hivyo ukitaka ubingwa sharti umshinde bingwa mwenzio.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!


Ni kama vile Young Africans ni fupa la Sangara ambalo limenasa kwenye kolomeo la zee lenye husda liitwalo "TFF".

Kibaya zaidi fupa hilo limekwama na halimezeki wala halitoleki iwe kwa winchi ama kamba za chuma! Fupa hilo la Sangara linaendelea kuwaumiza viongozi wa TFF na hawana cha kufanya zaidi ya kuendelea kugugumia maumivu!

Miaka 2 ya Ubingwa wa Yanga viongozi wenye chuki na husda ya waziwazi kwa Yanga tumeshuhudia wakifanya fitina za kila namna ili Yanga aside Bingwa lakini imeshindikana.

1. Miaka 2 mfululizo wamekuwa wakimpangia Yanga ratiba ambayo si rafiki, mechi za mwisho za Yanga kwa misimu 2 mfululizo amekuwa akimalizia kule mkoani Mbeya, hii si bahati mbaya, tunajua ni uhuni na fitina ili kuihujumu Yanga lakini bahati Nzuri Yanga amekuwa akichukua Ubingwa Mapema na akifika huko ni kukalimilisha ratiba tu!

2. Mwaka huu wakaona waanzishe mfumo wa timu 4 zitakazocheza kwenye ngao ya Hisani (Ngao ya Jamii) ili kipenzi Chao Madunduka aweze kubebwa awezavyo achukue ngao hiyo, huu mfumo ni mfumo wa kihuni kwasababu ngao ya Hisani huwa inachezwa mechi moja tu!

Lengo lao lilifanikiwa kwasababu kila mmoja ni shahidi ile fainali namna refa alivyoamua waziwazi kumbeba Dunduka.

3. Haikuishia hapo, mwaka huu wameamua kabisa Yanga acheze mechi ngumu mfululizo ili adondoshe point kusudi kipenzi chao Dunduka aweze kuongoza ligi kwa tofauti ya pointi nyingi.

Azam vs Yanga
Yanga vs Singida
Simba vs Yanga

Walijua kabisa hapo Yanga hachomoki na ndipo mahali ambapo Dunduka angemzidi Yanga Pointi, lakini hadi sasa hawaamini wanachokiona!

Baada ya Dunduka kukandwa ki kwelikweli wakaamua mechi ya Dunduka na Azam waisogeze mbele hadi Januari bila sababu ya Msingi ili kumbeba Dunduka.

Labda tu niaambie TFF ya Kwamba mtaionea Yanga kwenye mambo mengine lakini kwenye uwanja atawaahibisha tu, dadeeeeeeki!

The Greatest Umughaka A.K.A "River Mbaji".
Mura weito huu Uzi nilitaka niufungue sema shukurani Kwa kuuanzisha...
Baada ya hayo yote wamechungulia wakajua kua Aucho ndio engine ya Yanga pale Kati wameamua wamfungie mechi tatu kibabe... Lakini Mungu sio Athumani wala James najua Yanga itashinda Kwa kishindo...

Nimpe Tu taarifa Mr. Kario na genge lake kua watapambana lakini hawataweza.... Hii Yanga ni Moto wa tipa ulishawaka hakuna na kuzima...
Ubingwa ni lazima
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!


Ni kama vile Young Africans ni fupa la Sangara ambalo limenasa kwenye kolomeo la zee lenye husda liitwalo "TFF".

Kibaya zaidi fupa hilo limekwama na halimezeki wala halitoleki iwe kwa winchi ama kamba za chuma! Fupa hilo la Sangara linaendelea kuwaumiza viongozi wa TFF na hawana cha kufanya zaidi ya kuendelea kugugumia maumivu!

Miaka 2 ya Ubingwa wa Yanga viongozi wenye chuki na husda ya waziwazi kwa Yanga tumeshuhudia wakifanya fitina za kila namna ili Yanga aside Bingwa lakini imeshindikana.

1. Miaka 2 mfululizo wamekuwa wakimpangia Yanga ratiba ambayo si rafiki, mechi za mwisho za Yanga kwa misimu 2 mfululizo amekuwa akimalizia kule mkoani Mbeya, hii si bahati mbaya, tunajua ni uhuni na fitina ili kuihujumu Yanga lakini bahati Nzuri Yanga amekuwa akichukua Ubingwa Mapema na akifika huko ni kukalimilisha ratiba tu!

2. Mwaka huu wakaona waanzishe mfumo wa timu 4 zitakazocheza kwenye ngao ya Hisani (Ngao ya Jamii) ili kipenzi Chao Madunduka aweze kubebwa awezavyo achukue ngao hiyo, huu mfumo ni mfumo wa kihuni kwasababu ngao ya Hisani huwa inachezwa mechi moja tu!

Lengo lao lilifanikiwa kwasababu kila mmoja ni shahidi ile fainali namna refa alivyoamua waziwazi kumbeba Dunduka.

3. Haikuishia hapo, mwaka huu wameamua kabisa Yanga acheze mechi ngumu mfululizo ili adondoshe point kusudi kipenzi chao Dunduka aweze kuongoza ligi kwa tofauti ya pointi nyingi.

Azam vs Yanga
Yanga vs Singida
Simba vs Yanga

Walijua kabisa hapo Yanga hachomoki na ndipo mahali ambapo Dunduka angemzidi Yanga Pointi, lakini hadi sasa hawaamini wanachokiona!

Baada ya Dunduka kukandwa ki kwelikweli wakaamua mechi ya Dunduka na Azam waisogeze mbele hadi Januari bila sababu ya Msingi ili kumbeba Dunduka.

Labda tu niaambie TFF ya Kwamba mtaionea Yanga kwenye mambo mengine lakini kwenye uwanja atawaahibisha tu, dadeeeeeeki!

The Greatest Umughaka A.K.A "River Mbaji".
Ukiwa yanga kweli akili zinahamia kwenye mkia msimu uliopita mlikuwa mechi nyingi mnashinda kidhulma ikiwemo ile ya AZAM lomalisa alipiga cross mpira ukiwa nje nani alilamika mkapewa penalty nje ya box nani alilamika yaani shida inakuja simba akishinda tu mnaanza fujo mwaka jana wakati marefa wana wabeba ulimsik
 
Mura weito huu Uzi nilitaka niufungue sema shukurani Kwa kuuanzisha...
Baada ya hayo yote wamechungulia wakajua kua Aucho ndio engine ya Yanga pale Kati wameamua wamfungie mechi tatu kibabe... Lakini Mungu sio Athumani wala James najua Yanga itashinda Kwa kishindo...

Nimpe Tu taarifa Mr. Kario na genge lake kua watapambana lakini hawataweza.... Hii Yanga ni Moto wa tipa ulishawaka hakuna na kuzima...
Ubingwa ni lazima
Mudathir na feisal walipewa adhabu gani maana angefungiwa mngelalamikia kwasababu ya derby busara ilitumika kaachwa kwa hyo ww alichokifanya aucho unaona ni sahihi.
 
Watu mnaongoza ligi
Mnatimu kali
Mna kiongozi kijana mwenye brain kuliko wote
mna mdhamini asiye na uchungu na mihela yake anamwaga tu minoti
Mna washabiki wanaoipenda timu yao kuliko ndoa zao
Mna mganga mkuu wa wachawi anayewalogea mechi zenu zote
Mna backup ya rais wa nchi
Mnafanya usajiri wa kueleweka ndio mana hamkujali hata kumpoteza feitoto
Mmeweka mabango dunia nzima
Mna mashabiki kindaki ndaki mpaka Kongo huko
Nyie ni mabingwa wa muda wooote utafikiri mpira wa miguu tayari umeshakufa duniani
Mna kikosi kipana kinachoweza kucheza mechi tatu za barcelona, aseno na simba na zote mkashinda
Kifupi mna kila kitu

CHA AJABU KUTWA KULIA LIA KISA MAMBO MADOGO MADOGO. NI KWAMBA HAMJIAMINI AU MMEZOEA KUDEKA. SHWAIN KABISA UTOPOLO
Aisee yaani nilishangaa ali kamwe kupost kile kipande cha maokoto akimaanisha simba inabebwa wakati kwa misimu miwili hii hakuna aliyeshinda goal za fluku kama yanga kwenye league kuu na bado analalamika jamal malinzi kipindi ni raisi wa TFF alisema hadharani kwamba katika kipindi chake simba wasitarajie kuwa mabingwa na kweli hawakuambulia kitu karia ambaye ni simba mmeshachukua premier league 2 na wanaongoza league ila wanaongoza kwa kulalamika.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!


Ni kama vile Young Africans ni fupa la Sangara ambalo limenasa kwenye kolomeo la zee lenye husda liitwalo "TFF".

Kibaya zaidi fupa hilo limekwama na halimezeki wala halitoleki iwe kwa winchi ama kamba za chuma! Fupa hilo la Sangara linaendelea kuwaumiza viongozi wa TFF na hawana cha kufanya zaidi ya kuendelea kugugumia maumivu!

Miaka 2 ya Ubingwa wa Yanga viongozi wenye chuki na husda ya waziwazi kwa Yanga tumeshuhudia wakifanya fitina za kila namna ili Yanga aside Bingwa lakini imeshindikana.

1. Miaka 2 mfululizo wamekuwa wakimpangia Yanga ratiba ambayo si rafiki, mechi za mwisho za Yanga kwa misimu 2 mfululizo amekuwa akimalizia kule mkoani Mbeya, hii si bahati mbaya, tunajua ni uhuni na fitina ili kuihujumu Yanga lakini bahati Nzuri Yanga amekuwa akichukua Ubingwa Mapema na akifika huko ni kukalimilisha ratiba tu!

2. Mwaka huu wakaona waanzishe mfumo wa timu 4 zitakazocheza kwenye ngao ya Hisani (Ngao ya Jamii) ili kipenzi Chao Madunduka aweze kubebwa awezavyo achukue ngao hiyo, huu mfumo ni mfumo wa kihuni kwasababu ngao ya Hisani huwa inachezwa mechi moja tu!

Lengo lao lilifanikiwa kwasababu kila mmoja ni shahidi ile fainali namna refa alivyoamua waziwazi kumbeba Dunduka.

3. Haikuishia hapo, mwaka huu wameamua kabisa Yanga acheze mechi ngumu mfululizo ili adondoshe point kusudi kipenzi chao Dunduka aweze kuongoza ligi kwa tofauti ya pointi nyingi.

Azam vs Yanga
Yanga vs Singida
Simba vs Yanga

Walijua kabisa hapo Yanga hachomoki na ndipo mahali ambapo Dunduka angemzidi Yanga Pointi, lakini hadi sasa hawaamini wanachokiona!

Baada ya Dunduka kukandwa ki kwelikweli wakaamua mechi ya Dunduka na Azam waisogeze mbele hadi Januari bila sababu ya Msingi ili kumbeba Dunduka.

Labda tu niaambie TFF ya Kwamba mtaionea Yanga kwenye mambo mengine lakini kwenye uwanja atawaahibisha tu, dadeeeeeeki!

The Greatest Umughaka A.K.A "River Mbaji".

Unaweza kuta hata huyu shoga wa jf [mention]Ritz [/mention] nae n mwana yanga[emoji15]
mashoga sikuizi yanacheza had mpira
 
Ukiwa yanga kweli akili zinahamia kwenye mkia msimu uliopita mlikuwa mechi nyingi mnashinda kidhulma ikiwemo ile ya AZAM lomalisa alipiga cross mpira ukiwa nje nani alilamika mkapewa penalty nje ya box nani alilamika yaani shida inakuja simba akishinda tu mnaanza fujo mwaka jana wakati marefa wana wabeba ulimsik


Dunduka a.k.a Kolo

Ok lete maneno!
 
Huyo Karia akimaliza muda wake wa awamu ya pili, atembee zake. Ni wakati sasa mpira wa miguu kurudi mikononi mwa wenyewe kama ilivyokuwa enzi za Leodgar Chilla Tenga.

Nisingependa kuona tena wanasiasa vilaza wa CCM wakiendelea kuongoza TFF.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!


Ni kama vile Young Africans ni fupa la Sangara ambalo limenasa kwenye kolomeo la zee lenye husda liitwalo "TFF".

Kibaya zaidi fupa hilo limekwama na halimezeki wala halitoleki iwe kwa winchi ama kamba za chuma! Fupa hilo la Sangara linaendelea kuwaumiza viongozi wa TFF na hawana cha kufanya zaidi ya kuendelea kugugumia maumivu!

Miaka 2 ya Ubingwa wa Yanga viongozi wenye chuki na husda ya waziwazi kwa Yanga tumeshuhudia wakifanya fitina za kila namna ili Yanga aside Bingwa lakini imeshindikana.

1. Miaka 2 mfululizo wamekuwa wakimpangia Yanga ratiba ambayo si rafiki, mechi za mwisho za Yanga kwa misimu 2 mfululizo amekuwa akimalizia kule mkoani Mbeya, hii si bahati mbaya, tunajua ni uhuni na fitina ili kuihujumu Yanga lakini bahati Nzuri Yanga amekuwa akichukua Ubingwa Mapema na akifika huko ni kukalimilisha ratiba tu!

2. Mwaka huu wakaona waanzishe mfumo wa timu 4 zitakazocheza kwenye ngao ya Hisani (Ngao ya Jamii) ili kipenzi Chao Madunduka aweze kubebwa awezavyo achukue ngao hiyo, huu mfumo ni mfumo wa kihuni kwasababu ngao ya Hisani huwa inachezwa mechi moja tu!

Lengo lao lilifanikiwa kwasababu kila mmoja ni shahidi ile fainali namna refa alivyoamua waziwazi kumbeba Dunduka.

3. Haikuishia hapo, mwaka huu wameamua kabisa Yanga acheze mechi ngumu mfululizo ili adondoshe point kusudi kipenzi chao Dunduka aweze kuongoza ligi kwa tofauti ya pointi nyingi.

Azam vs Yanga
Yanga vs Singida
Simba vs Yanga

Walijua kabisa hapo Yanga hachomoki na ndipo mahali ambapo Dunduka angemzidi Yanga Pointi, lakini hadi sasa hawaamini wanachokiona!

Baada ya Dunduka kukandwa ki kwelikweli wakaamua mechi ya Dunduka na Azam waisogeze mbele hadi Januari bila sababu ya Msingi ili kumbeba Dunduka.

Labda tu niaambie TFF ya Kwamba mtaionea Yanga kwenye mambo mengine lakini kwenye uwanja atawaahibisha tu, dadeeeeeeki!

The Greatest Umughaka A.K.A "River Mbaji".
HUNA AKILI.

Ngao ya jamii unayolalamikia simba walicheza na ihefu au majimaji...

AKILIMALI.
 
Huyo Karia akimaliza muda wake wa awamu ya pili, atembee zake. Ni wakati sasa mpira wa miguu kurudi mikononi mwa wenyewe kama ilivyokuwa enzi za Leodgar Chilla Tenga.

Nisingependa kuona tena wanasiasa vilaza wa CCM wakiendelea kuongoza TFF.
Kuna raisi Tanzania mwenye mafanikio katika uongozi wake kuliko karia?
 
Kuna raisi Tanzania mwenye mafanikio katika uongozi wake kuliko karia?
Kwa upande wangu, Leodgar Chilla Tenga ndiye rais wa TFF mwenye mafanikio bora kabisa. Na sidhani kama kuna mtu anaweza kunishawishi kuamini vinginevyo.
 
Back
Top Bottom