adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Makolo huwa hayana jema.Daah! Usimba na Uyanga unatumaliza. Lol.
😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makolo huwa hayana jema.Daah! Usimba na Uyanga unatumaliza. Lol.
😅😅😅
Au kakuomba Hifadhi ya moyo wake umemtolea nje. Mana kuna watu tukizielezea hisia zetu usipojali tunaliamsha bifu. Muulize Ms R alivyonikataaa atakuambiaMods wamefuta uzi wake ila simjui vizuri Rabbon sijui nilimkwaza wapi maskini.!!
Aje aninunulie jezi kwanza
Nitakufungulia uzi wewe jichanganye tu,,,ila jamaa sjui katumwa na nani aseeee,,kumchukia mtu na humjuiAu kakuomba Hifadhi ya moyo wake umemtolea nje. Mana kuna watu tukizielezea hisia zetu usipojali tunaliamsha bifu. Muulize Ms R alivyonikataaa atakuambia
Nongwa tuNitakufungulia uzi wewe jichanganye tu,,,ila jamaa sjui katumwa na nani aseeee,,kumchukia mtu na humjui
Kalaga bahoNongwa tu
Dume la picha za kudownload?Mods wamefuta uzi wake ila simjui vizuri Rabbon sijui nilimkwaza wapi maskini.!!
Aje aninunulie jezi kwanza
Sanda nzuri katika historia za mazishiJezi mbovu katika historia ya soka
View attachment 3053880
Huu wa juu nimeukubali (kuna watu wamekasirika........huu uzi unawakumbusha maumivu.......ila huo ndio ubunifu........) na huu tarehe nane tunaingia nao huu huu.
Halafu huu hapa, hata material yapo vizuri.
View attachment 3053881
Inatakiwa kesho na Kaizer tuzitumie jezi hizi.