Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hiyo ndio angalau inafaaila tatizo ina rangi nyeupe ambazo katiba ya Yanga imeipiga marufuku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio angalau inafaaila tatizo ina rangi nyeupe ambazo katiba ya Yanga imeipiga marufuku
Umeiona hiyo 5-1? 😂Uzi umenyoooookaaa!! nimependa rangi yake💚💛
Guede angevaa ungemkaa angewaka Kinyama..!☺️
Nimeiona mkuu😂Umeiona hiyo 5-1? 😂
Kolo5 watateseka msimu mzima 😂Nimeiona mkuu😂
Kwa ninjHatimae baada ya Simba kuzindua jezi zake, leo Yanga wameachia jezi zao. Je unaonaje ubora na ubunifu uliotumika msimu huu? Home, Away and 3rd kit.
View attachment 3053874View attachment 3053879View attachment 3053883View attachment 3053884View attachment 3053908View attachment 3053909
Mimi ni yanga .Hii mijezi ya ovyo.Ubunifu umekosekana .Kwa nini jezi inakuwa na michoro kibao isiyo eleweka?.Rangi za club zinafahamika hizi rangi nyingine zinatoka wapi?Namba tano kwenye Jezi ya Nini?Kama uyo mbunifu kazi imemshinda aachie ngazi.Nitanunua jezi kwa kuwa ni ya Timu yangu pendwa.Ila kuhusu uzuri na ubunifu kwenye jezi hizi mpya(2024/2025) ni sifuri.Nimeboreka kweli tena sana sana .Uzi nitanunua kwa kinyongo sana.Hatimae baada ya Simba kuzindua jezi zake, leo Yanga wameachia jezi zao. Je unaonaje ubora na ubunifu uliotumika msimu huu? Home, Away and 3rd kit.
View attachment 3053874View attachment 3053879View attachment 3053883View attachment 3053884View attachment 3053908View attachment 3053909
Bora mademu wametambulisha S^ND^, kuliko hao wenu wametambulisha vitenge .. Huo utambulisho angeufanya Mrisho Mpoto ungependeza.Zile sanda zilitambulishwa na mademu badala ya wachezaji, sijui ndo mgomo!
Unajua namna hii hadi naona kabisa kuwa mlibahatisha zile 5. Hadi mko hamwamini. Mnasheherekea sana, b... huoni hiyo?Mdakuzi Mi nachagua kabisa, nataka hii ya kono la nyani b…View attachment 3054311View attachment 3054311
Check uzi huu, unatibu mpaka migogoro ya kifamiliaMdakuzi Mi nachagua kabisa, nataka hii ya kono la nyani b…View attachment 3054311View attachment 3054311
Kwani 5 tuliwafunga nyie pekee b…? Mbona kama nyie ndio mnajishtukia?Unajua namna hii hadi naona kabisa kuwa mlibahatisha zile 5. Hadi mko hamwamini. Mnasheherekea sana, b... huoni hiyo?
Ova