avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Si walisema Rangi nyekundu na NYEUPE ni haramu? Huu weupe umetokea wapi,? Nimeamini timu imeporwa Mzee MAGOMA ana hoja asikilizweHii pundamilia kabisaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si walisema Rangi nyekundu na NYEUPE ni haramu? Huu weupe umetokea wapi,? Nimeamini timu imeporwa Mzee MAGOMA ana hoja asikilizweHii pundamilia kabisaaaa
Batiki la maanaHii Jezi Au Batiki?
Uzi.mzuri ila inakuwa mbaya na zile 5 5 nyingi
Jiandaeni kwenda kuzikwa tuu maana mshanunua sanda rasmiSasa na nyie hilo tenge kama mnaenda kwenye jumuiya jumamosi
Hiyo nyeusi kidogo nimeielewa...Hatimae baada ya Simba kuzindua jezi zake, leo Yanga wameachia jezi zao. Je unaonaje ubora na ubunifu uliotumika msimu huu? Home, Away and 3rd kit.
View attachment 3053874View attachment 3053879View attachment 3053883View attachment 3053884View attachment 3053908View attachment 3053909
Akifa utamzika maana tayar sanda unayoUtakufa wewe
ila tatizo ina rangi nyeupe ambazo katiba ya Yanga imeipiga marufukuHiyo nyeusi kidogo nimeielewa...
Zungumzia hizi basi. Kuna kitenge, halafu kuna moja ina rangi nyeupe za Simba zilizopigwa marufuku kwenye katiba ya YangaWazee wa sanda
Hivi mliwaza nn jez mkaandika sanda?
Ubaya ubwela
Rasmi mnaenda kuzikwa maana tayar sanda mnayoWanasimba wenzangu Tunajifariji kuuita uzi wa Yanga ni kitenge/Khanga/Batiki lakini tukikumbuka jezi yetu inaitwa SANDA nachoka kabisa...
Vip zile sanda zenu mnazika nnJezi mbovu, ukivaa ni kama sale za kuendea kwenye vikoba