Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,824
- 2,264
- Thread starter
- #41
Kina nani?Mh!!
Hizi jezi hapana. Watavaa wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina nani?Mh!!
Hizi jezi hapana. Watavaa wenyewe
View attachment 3053880
Huu wa juu nimeukubali (kuna watu wamekasirika........huu uzi unawakumbusha maumivu.......ila huo ndio ubunifu........) na huu tarehe nane tunaingia nao huu huu.
Halafu huu hapa, hata material yapo vizuri.
View attachment 3053881
Inatakiwa kesho na Kaizer tuzitumie jezi hizi.
zwazwa kweli wewe🤣Jezi kama za mbwa,jezi mbayaaaaaa
Utakufa wewezwazwa kweli wewe🤣
Sanda.Jersey imekaa kama vile vitenge vya Kigoma...
Sanda😁😁Hii Jezi Au Batiki?
sisi si mnasema tunabatiki sawa nyinyi hiyo sanda nani atakufa sasa ikiwa mshono wenu wa 7 kwa 2 bado haujashika vizuri!,na mnasema ubaya ubwela vipi mnataka kufa na tai shingoni au..?Utakufa wewe
Pita hivi Dada🤣🤣🤣Sanda.
WaliozitengenezaKina nani?
Tuwe wakweli tu, hapa hakuna jezi, ni upuuzi mtupuHatimae baada ya Simba kuzindua jezi zake, leo Yanga wameachia jezi zao. Je unaonaje ubora na ubunifu uliotumika msimu huu? Home, Away and 3rd kit.
View attachment 3053874View attachment 3053879View attachment 3053883View attachment 3053884View attachment 3053908View attachment 3053909