Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
We shetan humjui.Shetani hajawahi kumiliki kitu zaidi ya hirizi yenye nywele za kwapani.
Hata unaona wana vitu wame hustle tu. Kule ni ulaghai na baadae vifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We shetan humjui.Shetani hajawahi kumiliki kitu zaidi ya hirizi yenye nywele za kwapani.
Hata unaona wana vitu wame hustle tu. Kule ni ulaghai na baadae vifo
bado ni chama cha kishetani, hapa Tanzania hatutaki upuuzi na ushetani, waende huo sio Tz, wanatuletea mabalaa tu.Freemason sio dini wala sio dini ya kishetani.ni chama kama unavyoona fifa,rotary club,gymkhana club
We umejuaje ni chama cha kishetani,umesema hapa Tanzania hamtaki huo upuuzi,wewe na nani mwingine?bado ni chama cha kishetani, hapa Tanzania hatutaki upuuzi na ushetani, waende huo sio Tz, wanatuletea mabalaa tu.
Bila shaka huyo ndiye Mungu aliyeumba dunia na vyote vilivyomo l, yaani Jehova!Tunaye Mungu mmoja tu ambaye yeye ndiye asili ya kila kitu ulimwenguni! Hivyo dunia haina budi kuwa chini ya himaya ya huyo Mungu mmoja/serikali moja!
Chukia pasuka, ila ni JPM ni jeshi la mtu mmoja.!Mzilankende Mnyago!
Kuna watu wanadanganya wenzao kuhusu freemasonbado ni chama cha kishetani, hapa Tanzania hatutaki upuuzi na ushetani, waende huo sio Tz, wanatuletea mabalaa tu.
Kweli namjua Mungu zaidi yakeWe shetan humjui.
Ununio ipi mzee ? mana boko kijiji ishawah kuwa mitaa yanguMagari ya wafagizi na walinzi hayo
Ofisi hasa za freemason ziko ununio hapo posta ni registerd office tu
Sasa kwann uandike kitu ambacho hukijui!?Kweli namjua Mungu zaidi yake
#bora uwe raia wa kawaida#Juzi kati nkipita mitaa ya posta, huku dar, maeneo karibu na benki kuu nikaona jengo jeupe limeandikwa freemasons hall, nkajisemea akilini, mitandaoni watu wanasema Freemason wanaabudu shetani na ukijiunga huko unapata utajiri, dooh nikaangalia vizuri ndani ya fensi ya ile jengo nkaona Passo, statlet, escudo na magari yanayofanana na hayo yamepaki nje..nkasema wenye haya magari lazma watakua ni member wa freemason coz wamepaki ndani ya fens ya jengo
Nkaona huu upumbavu, bora ukope au u-hustle mwenyewe ununue paso, sasa unamwabudu shetani, unatoa kafara za damu ya watu, hlf unaendesha Passo, Sasa si bora uwe raia wa kawaida
Watu wengi hawajui,elimu bado ni tatizo nchi hiiSijui lini mtajua kwamba Freemasonry hawahusiki na utajiri. Ni watu peace sana na wala hawaabudu shetani.