Yani mtu uko freemason, halafu unaendesha Passo?

Yani mtu uko freemason, halafu unaendesha Passo?

Freemason sio dini wala sio dini ya kishetani.ni chama kama unavyoona fifa,rotary club,gymkhana club
bado ni chama cha kishetani, hapa Tanzania hatutaki upuuzi na ushetani, waende huo sio Tz, wanatuletea mabalaa tu.
 
Tunaye Mungu mmoja tu ambaye yeye ndiye asili ya kila kitu ulimwenguni! Hivyo dunia haina budi kuwa chini ya himaya ya huyo Mungu mmoja/serikali moja!
Bila shaka huyo ndiye Mungu aliyeumba dunia na vyote vilivyomo l, yaani Jehova!
 
kwahiyo hizo buggati na ferari watapitisha, barabara gani kule goba?
 
Juzi kati nkipita mitaa ya posta, huku dar, maeneo karibu na benki kuu nikaona jengo jeupe limeandikwa freemasons hall, nkajisemea akilini, mitandaoni watu wanasema Freemason wanaabudu shetani na ukijiunga huko unapata utajiri, dooh nikaangalia vizuri ndani ya fensi ya ile jengo nkaona Passo, statlet, escudo na magari yanayofanana na hayo yamepaki nje..nkasema wenye haya magari lazma watakua ni member wa freemason coz wamepaki ndani ya fens ya jengo

Nkaona huu upumbavu, bora ukope au u-hustle mwenyewe ununue paso, sasa unamwabudu shetani, unatoa kafara za damu ya watu, hlf unaendesha Passo, Sasa si bora uwe raia wa kawaida
#bora uwe raia wa kawaida#
 
Back
Top Bottom