SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Yaleyale ya Feisal. Bado hamjifunzi tuYy ndiye anaye vunja mkataba, so Yanga wanachotaka ni hela yao ya kuvunja mkataba, kama mnayo njooni tuongee biashara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaleyale ya Feisal. Bado hamjifunzi tuYy ndiye anaye vunja mkataba, so Yanga wanachotaka ni hela yao ya kuvunja mkataba, kama mnayo njooni tuongee biashara.
Bado uwezekano upo ila sitakwambia kwa jinsi gani anaweza ingiaPiga hesabu ya wachezaji wa kigeni Simba halafu sema nani aondoke ili Bangala aingie
Tujifunze nini, kama tusingekomaa kwa Fei tusingepata mil 270,so nyie si mna hela leteni hela.Yaleyale ya Feisal. Bado hamjifunzi tu
Yanga wakikomaa wasivunje mkataba atafanya nini? Ni kweli msimbazi wana uhaba wa mabeki wa kati lakini Yanga hawawezi kumuachia aende Simba.Soka la Bongo lina mvuto wake, unaambiwa kuwa wakati Timu ya Yanga ikitarajia kufunga usajili wake kwa kumleta Straika la magoli upande wa pili Timu ya Simba wanajiandaa kupeleka simanzi Jangwani kwa kumleta Mkongo aliyefanya vizuri na Wananchi hao ikiwa ni jibu la kubebwa kwa Mkude kuwafuta machozi mashabiki.
Tetesi zinasema Mwamba kagoma kupelekwa kwa mkopo Singida Fountaingate anachotaka yeye ni kuvunjwa kwa Mkataba tu.
View attachment 2697395
Phiri ni majeruhi tu yanamsumbua, but ni bonge la striker. Yaan combination ya Phiri na Baleke ikija kukaa sawa kuna timu zitagoma kuingiza timu uwanjani.Wachezaji wa kigeni.
1. Jefferson Luis goal keeper.
2. Ngoma
3. Kramo
4. Malone
5. Onana.
6. MIQUESSON.
7. Inonga
8. Kanute
9. Saido.
10. Baleke.
11 Chama
12. Phili.
13. SACKO.
14 . Banda .
WANGEKUWA NA AKILI WANGEMTOA KAFALA PHILI AJE BANGALA.
au phili ashiriki mashindano ya kimataifa tu.
Una taaluma ya ukocha hadi kushauri? Kazi ya shabiki ni kushangilia na kuzomea baki kwenye nafasi yako..!Hii habari Haina ukweli.
VIONGOZI wengi wa mpira HAWAJUI mpira.
Nimewashauri sana Baadhi ya VIONGOZI kuhusu.
Hatari ya kuwa na Mabeki wawili tu wenye UWEZO,
Nimewaomba sana wamuongeze Bangala kama kiungo mkabaji na Beki.
SIMBA INGEMPATA BANGALA INGECHEZA FAINALI CAFCL.
Phiri ni majeruhi tu yanamsumbua, but ni bonge la striker. Yaan combination ya Phiri na Baleke ikija kukaa sawa kuna timu zitagoma kuingiza timu uwanjani.
Kuliko uingie upigwe goli 10+ bora hata ugome usingizie hata Umekwama usafiri njiani uje ukatwe goli 3 tu.
Una taaluma ya ukocha hadi kushauri? Kazi ya shabiki ni kushangilia na kuzomea baki kwenye nafasi yako..!
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Makolo mnamchukua Bandala alafu anaondoka nani? Maana idadi yenunimefika mwishoSoka la Bongo lina mvuto wake, unaambiwa kuwa wakati Timu ya Yanga ikitarajia kufunga usajili wake kwa kumleta Straika la magoli upande wa pili Timu ya Simba wanajiandaa kupeleka simanzi Jangwani kwa kumleta Mkongo aliyefanya vizuri na Wananchi hao ikiwa ni jibu la kubebwa kwa Mkude kuwafuta machozi mashabiki.
Tetesi zinasema Mwamba kagoma kupelekwa kwa mkopo Singida Fountaingate anachotaka yeye ni kuvunjwa kwa Mkataba tu.
View attachment 2697395
Wachezaji wa kigeni.
1. Jefferson Luis goal keeper.
2. Ngoma
3. Kramo
4. Malone
5. Onana.
6. MIQUESSON.
7. Inonga
8. Kanute
9. Saido.
10. Baleke.
11 Chama
12. Phili.
13. SACKO.
14 . Banda .
WANGEKUWA NA AKILI WANGEMTOA KAFALA PHILI AJE BANGALA.
au phili ashiriki mashindano ya kimataifa tu.
Acha mzaha kiongoziHii habari Haina ukweli.
VIONGOZI wengi wa mpira HAWAJUI mpira.
Nimewashauri sana Baadhi ya VIONGOZI kuhusu.
Hatari ya kuwa na Mabeki wawili tu wenye UWEZO,
Nimewaomba sana wamuongeze Bangala kama kiungo mkabaji na Beki.
SIMBA INGEMPATA BANGALA INGECHEZA FAINALI CAFCL.
Acha mzaha kiongozi
Dah,Bora UULIZE.
phili sio STRAIKER.
Ni goal Getter.
Anampenda kucheza No 10
nafasi
Saido +chama.
Mala nyingi namba 10 anakuwa play maker sio mfungaji
Phili si no 9.
Ulishawahi kushuhudia Roy Keane au Patrick Vieira wakicheza enzi zao? Huyo ndio Sadio Kanute sasa.Aondoke yule mchezaji wa kung fu na kinara wa yellow card-sadio kanute. Mwingine wa kupewa Thank you ni mcheza mayenu-Henock Inonga
usingezunguka ungesema namna mlivyomsajili MkudeKwani mlimchukua mezani? Mnamchukulia huko nje ambako hatuna matumizi naye, ni sasa na sisi tumchukue Onyango, itakuwa kupoteza mda wetu.
Saa kumi na mbili jioni.Sioni tatizo kama Simba watampa hela ndefu anayotaka ambayo Yanga waliona haikustahili!
Mashindano ya usajiri kama haya husababisha pia wachezaji kujituma zaidi na kutupa burudani tunayotaka. Akitemwa na na timu moja basi anapoenda timu nyingine anajitahidi kuonyesha timu aliyoachwa kuwa bado yeye ni zaidi. Ntibazonkiza ni mfano mmoja ingawa sasa amefikia saa 12 jioni.
Dah,
Striker sikumaanisha number 9 (Centre forward) kama ulivyowaza wewe, bali mshambuliaji. Au Phiri sio mshambuliaji? Yaani number 10 kwako sio mshambuliaji?
Wewe ndio bora uulize aisee, maandishi haya yanaishi na yanasomwa na wengi.
Yanga hawamtaki bangala,hilo lishakua duka la try again na ndio maana Yanga iliposhtuka tu iliacha kumtumia match,Yanga ilishajiandaa kutokua na bangala toka mwishoni mwa last season na ndio maana kuna match hadi job alikua anacheza namba 6Yanga wakikomaa wasivunje mkataba atafanya nini? Ni kweli msimbazi wana uhaba wa mabeki wa kati lakini Yanga hawawezi kumuachia aende Simba.
Ni either wamuuze, mkopo au abaki kumalizia mkataba wake aje aondoke freely.
Unaweza ukawa na leseni nzuri na kubwa lakini usiwe mzuri kwenye kufundisha mpira...Gary nevile alipewa valencia ikamshimda ila kuchambua na kuponda wenzie yupo vizuri...kwaio naheshimu pia mawazo yakoNina pro license ila sitaki na siwezi KUFUNDISHA mpira.