Tetesi: Yanick Bangala muda wowote anatua Msimbazi

Tetesi: Yanick Bangala muda wowote anatua Msimbazi

Soka la Bongo lina mvuto wake, unaambiwa kuwa wakati Timu ya Yanga ikitarajia kufunga usajili wake kwa kumleta Straika la magoli upande wa pili Timu ya Simba wanajiandaa kupeleka simanzi Jangwani kwa kumleta Mkongo aliyefanya vizuri na Wananchi hao ikiwa ni jibu la kubebwa kwa Mkude kuwafuta machozi mashabiki.

Tetesi zinasema Mwamba kagoma kupelekwa kwa mkopo Singida Fountaingate anachotaka yeye ni kuvunjwa kwa Mkataba tu.

View attachment 2697395
Yanga wakikomaa wasivunje mkataba atafanya nini? Ni kweli msimbazi wana uhaba wa mabeki wa kati lakini Yanga hawawezi kumuachia aende Simba.

Ni either wamuuze, mkopo au abaki kumalizia mkataba wake aje aondoke freely.
 
Wachezaji wa kigeni.

1. Jefferson Luis goal keeper.
2. Ngoma
3. Kramo
4. Malone
5. Onana.
6. MIQUESSON.

7. Inonga
8. Kanute
9. Saido.
10. Baleke.
11 Chama
12. Phili.

13. SACKO.
14 . Banda .

WANGEKUWA NA AKILI WANGEMTOA KAFALA PHILI AJE BANGALA.
au phili ashiriki mashindano ya kimataifa tu.
Phiri ni majeruhi tu yanamsumbua, but ni bonge la striker. Yaan combination ya Phiri na Baleke ikija kukaa sawa kuna timu zitagoma kuingiza timu uwanjani.

Kuliko uingie upigwe goli 10+ bora hata ugome usingizie hata Umekwama usafiri njiani uje ukatwe goli 3 tu.
 
Hii habari Haina ukweli.

VIONGOZI wengi wa mpira HAWAJUI mpira.

Nimewashauri sana Baadhi ya VIONGOZI kuhusu.
Hatari ya kuwa na Mabeki wawili tu wenye UWEZO,

Nimewaomba sana wamuongeze Bangala kama kiungo mkabaji na Beki.

SIMBA INGEMPATA BANGALA INGECHEZA FAINALI CAFCL.
Una taaluma ya ukocha hadi kushauri? Kazi ya shabiki ni kushangilia na kuzomea baki kwenye nafasi yako..!

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Phiri ni majeruhi tu yanamsumbua, but ni bonge la striker. Yaan combination ya Phiri na Baleke ikija kukaa sawa kuna timu zitagoma kuingiza timu uwanjani.

Kuliko uingie upigwe goli 10+ bora hata ugome usingizie hata Umekwama usafiri njiani uje ukatwe goli 3 tu.

Bora UULIZE.
phili sio STRAIKER.
Ni goal Getter.

Anampenda kucheza No 10
nafasi
Saido +chama.

Mala nyingi namba 10 anakuwa play maker sio mfungaji
Phili si no 9.
 
Soka la Bongo lina mvuto wake, unaambiwa kuwa wakati Timu ya Yanga ikitarajia kufunga usajili wake kwa kumleta Straika la magoli upande wa pili Timu ya Simba wanajiandaa kupeleka simanzi Jangwani kwa kumleta Mkongo aliyefanya vizuri na Wananchi hao ikiwa ni jibu la kubebwa kwa Mkude kuwafuta machozi mashabiki.

Tetesi zinasema Mwamba kagoma kupelekwa kwa mkopo Singida Fountaingate anachotaka yeye ni kuvunjwa kwa Mkataba tu.

View attachment 2697395
Makolo mnamchukua Bandala alafu anaondoka nani? Maana idadi yenunimefika mwisho
 
Wachezaji wa kigeni.

1. Jefferson Luis goal keeper.
2. Ngoma
3. Kramo
4. Malone
5. Onana.
6. MIQUESSON.

7. Inonga
8. Kanute
9. Saido.
10. Baleke.
11 Chama
12. Phili.

13. SACKO.
14 . Banda .

WANGEKUWA NA AKILI WANGEMTOA KAFALA PHILI AJE BANGALA.
au phili ashiriki mashindano ya kimataifa tu.

Namba 13 anaondoka huyo, destination France...
 
Hii habari Haina ukweli.

VIONGOZI wengi wa mpira HAWAJUI mpira.

Nimewashauri sana Baadhi ya VIONGOZI kuhusu.
Hatari ya kuwa na Mabeki wawili tu wenye UWEZO,

Nimewaomba sana wamuongeze Bangala kama kiungo mkabaji na Beki.

SIMBA INGEMPATA BANGALA INGECHEZA FAINALI CAFCL.
Acha mzaha kiongozi
 
Bora UULIZE.
phili sio STRAIKER.
Ni goal Getter.

Anampenda kucheza No 10
nafasi
Saido +chama.

Mala nyingi namba 10 anakuwa play maker sio mfungaji
Phili si no 9.
Dah,
Striker sikumaanisha number 9 (Centre forward) kama ulivyowaza wewe, bali mshambuliaji. Au Phiri sio mshambuliaji? Yaani number 10 kwako sio mshambuliaji?

Wewe ndio bora uulize aisee, maandishi haya yanaishi na yanasomwa na wengi.
 
Aondoke yule mchezaji wa kung fu na kinara wa yellow card-sadio kanute. Mwingine wa kupewa Thank you ni mcheza mayenu-Henock Inonga
Ulishawahi kushuhudia Roy Keane au Patrick Vieira wakicheza enzi zao? Huyo ndio Sadio Kanute sasa.
 
Sioni tatizo kama Simba watampa hela ndefu anayotaka ambayo Yanga waliona haikustahili!

Mashindano ya usajiri kama haya husababisha pia wachezaji kujituma zaidi na kutupa burudani tunayotaka. Akitemwa na na timu moja basi anapoenda timu nyingine anajitahidi kuonyesha timu aliyoachwa kuwa bado yeye ni zaidi. Ntibazonkiza ni mfano mmoja ingawa sasa amefikia saa 12 jioni.
Saa kumi na mbili jioni.
 
Dah,
Striker sikumaanisha number 9 (Centre forward) kama ulivyowaza wewe, bali mshambuliaji. Au Phiri sio mshambuliaji? Yaani number 10 kwako sio mshambuliaji?

Wewe ndio bora uulize aisee, maandishi haya yanaishi na yanasomwa na wengi.

Kwa mpira wa KISASA no 10 si mshambuliaji ni kiungo.
Playmaker.
11, 7 zamani walikuwa mawinga.
Lakini Leo Kuna version karibu 10 za mawinga.

Mfano.

Winga. (Banda)

Kiungo WA pembeni (sakho)

Winga mshambuliaji. (Onana)

Mshambuliaji WA pembeni. (KIBU)
 
Yanga wakikomaa wasivunje mkataba atafanya nini? Ni kweli msimbazi wana uhaba wa mabeki wa kati lakini Yanga hawawezi kumuachia aende Simba.

Ni either wamuuze, mkopo au abaki kumalizia mkataba wake aje aondoke freely.
Yanga hawamtaki bangala,hilo lishakua duka la try again na ndio maana Yanga iliposhtuka tu iliacha kumtumia match,Yanga ilishajiandaa kutokua na bangala toka mwishoni mwa last season na ndio maana kuna match hadi job alikua anacheza namba 6
 
Back
Top Bottom