Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Umeandika ujinga.Aondoke yule mchezaji wa kung fu na kinara wa yellow card-sadio kanute. Mwingine wa kupewa Thank you ni mcheza mayenu-Henock Inonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika ujinga.Aondoke yule mchezaji wa kung fu na kinara wa yellow card-sadio kanute. Mwingine wa kupewa Thank you ni mcheza mayenu-Henock Inonga
Umeitoa kwangu... Kwani vitu vingapi unavijulia humu jukwaaniSasa ulitaka tuamini habari kutoka wapi kwako?
Haya katolewa bure....(Je hii habari nitakuwa nimeitoa wapi?).
Swali fikirishi, je wachezaji wakiwa na utovu wa nidhamu nini kifanyikeChukueni wote, Bangala, Juma Shabani, Doumbia na Kisinda. No problem Yanga inasonga mbele.
Nitajie kitu kimoja nilicho wahi kukiandika ambacho nimekitoa humu jukwaani au kwako?Umeitoa kwangu... Kwani vitu vingapi unavijulia humu jukwaani
Ulaya huko wanapewa adhabu nyingi tu, kusimamishwa kucheza mechi, kukatwa mishahara n.k. sisi huku tunawalea kama mayai. Lazima timu zijue wachezaji ni watumishi tu kama wengine na wanatakiwa wafanye kazi inavyotakiwa.Swali fikirishi, je wachezaji wakiwa na utovu wa nidhamu nini kifanyike
Aje asugulishwe benchi na KapombeNa djuma shabani mchukueni tu
Nisaidie bas ka buku ka bando[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata nikikwambia nimepata itakusaidia nini.
Okay ninepata mil 100.......... ww unataka nikupe kiasi.
NB:Tatizo la kuujulia mpira ukubwani au hujui shabiki kama sehemu ya club. Unavyotamba humu TUMEMTOA Alhly vp ww ulicheza namba ngapi?
Ile mashine ya kibu haina hongo.Isije ikawa anahusika na kipigo Cha 2-0
Hahahaaaaa.... Hujui km alitemwa na mbao ndefu alishazoea. MakomboMkude mtu na nusu, tunamwachaje
Naona muda WOWOTE Bado haujafikaSoka la Bongo lina mvuto wake, unaambiwa kuwa wakati Timu ya Yanga ikitarajia kufunga usajili wake kwa kumleta Straika la magoli upande wa pili Timu ya Simba wanajiandaa kupeleka simanzi Jangwani kwa kumleta Mkongo aliyefanya vizuri na Wananchi hao ikiwa ni jibu la kubebwa kwa Mkude kuwafuta machozi mashabiki.
Tetesi zinasema Mwamba kagoma kupelekwa kwa mkopo Singida Fountaingate anachotaka yeye ni kuvunjwa kwa Mkataba tu.
View attachment 2697395