Karia ata force kubadilisha kanuni, ziruhusu idadi ya wachezaji wa kigeni iwe nyingi zaidi.Piga hesabu ya wachezaji wa kigeni Simba halafu sema nani aondoke ili Bangala aingie
Hapo vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karia ata force kubadilisha kanuni, ziruhusu idadi ya wachezaji wa kigeni iwe nyingi zaidi.Piga hesabu ya wachezaji wa kigeni Simba halafu sema nani aondoke ili Bangala aingie
Bangala ni bingwa wa kuendesha maandamano ya chini kwa chini,yeye na djuma ..waende tu huko hukoHii habari Haina ukweli.
VIONGOZI wengi wa mpira HAWAJUI mpira.
Nimewashauri sana Baadhi ya VIONGOZI kuhusu.
Hatari ya kuwa na Mabeki wawili tu wenye UWEZO,
Nimewaomba sana wamuongeze Bangala kama kiungo mkabaji na Beki.
SIMBA INGEMPATA BANGALA INGECHEZA FAINALI CAFCL.
Mpeni hela zake za usajili acheni wizi,mtu akida hela zake mnasema hana nidhamu,??unadhani kina azizi ki wakija kukiamsha patatosha pale??shauri yenuSi maslahi wala kushuka kwa kiwango,bangala anaachwa Yanga sababu zake ni sawa sawa na chama kwa makolo,alichokua anafanya bangala ndicho anachofanya chama na viongozi wa simba wanajua ila wanaogopa kuchukua maamuzi sbb huko koloni mchezaji yuko juu zaidi ya klabu Yanga kama iliweza kufukuza timu nzima ndio ishindwe kwa mchezaji snitch m1
Kwenye hako kapesa ulipata ngapi shehe?Tujifunze nini, kama tusingekomaa kwa Fei tusingepata mil 270,so nyie si mna hela leteni hela.
Kagoma sasa mnamlazimisha??vunjeni mkataba naye aende zake akafanye kazi zake nyingine.Yanga tumpeleke hata kwa mkopo.hatuna matumizi nae
Sizitaki mbichi hizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]lipeni watu hela zao,wale wana familia mjueNi kweli mkuu, Yanga iliamua kumuweka jamaa pembeni, na hata alishajua kabisa anakoenda hatoweza kuwa sambamba na Yanga.
Ataendelea kulipwa mshahara bila kucheza ajinenepee Hadi mashavu Kama Luise wa al ahiy(konde boy)Kagoma sasa mnamlazimisha??vunjeni mkataba naye aende zake akafanye kazi zake nyingine.
Hata nikikwambia nimepata itakusaidia nini.Kwenye hako kapesa ulipata ngapi shehe?
Sasa ulitaka tuamini habari kutoka wapi kwako?Ml 270?? Ya magazetini... Yanga hawajalipwa pesa hoy...iyo ilikuwa media manipulation ndo maana wakakubaliana kutozungumzia Hasa Kwa feisal..
Wewe ni Mama yake Feisal?Ml 270?? Ya magazetini... Yanga hawajalipwa pesa hoy...iyo ilikuwa media manipulation ndo maana wakakubaliana kutozungumzia Hasa Kwa feisal..
Soka la Bongo lina mvuto wake, unaambiwa kuwa wakati Timu ya Yanga ikitarajia kufunga usajili wake kwa kumleta Straika la magoli upande wa pili Timu ya Simba wanajiandaa kupeleka simanzi Jangwani kwa kumleta Mkongo aliyefanya vizuri na Wananchi hao ikiwa ni jibu la kubebwa kwa Mkude kuwafuta machozi mashabiki.
Tetesi zinasema Mwamba kagoma kupelekwa kwa mkopo Singida Fountaingate anachotaka yeye ni kuvunjwa kwa Mkataba tu.
View attachment 2697395
Hapo waangalie kati ya Kramo na Onana kama wata click na kama ni zaidi ya Phiri. Hapo mmoja wapo acheze kimataifa tu then ongeza Bangala hapo.Wachezaji wa kigeni.
1. Jefferson Luis goal keeper.
2. Ngoma
3. Kramo
4. Malone
5. Onana.
6. MIQUESSON.
7. Inonga
8. Kanute
9. Saido.
10. Baleke.
11 Chama.
( 12. Phili. )
...............................................
13. SACKHO.
14 . Banda .
WANGEKUWA NA AKILI WANGEMTOA KAFALA PHILI AJE BANGALA.
au phili ashiriki mashindano ya kimataifa tu.
Ndio maana itabidi mmoja asajiliwe for international game ili Bangala aingie then Manula akipona Kipa mzungu aondoke.Nafasi ya Goli keeper inaniuma sana ,hiyo ndio nafasi ilipaswa akae Bangala.
Phiri huwez kumtoa hapo Simba na Chama ndie anambeba phiri maana inasemekana chama kwanza hatak phiri akae benchi ndio maana Kuna game anachoma waz waz .
Ila wakicheza chama na phiri ndan yaan chama atapambana Kila namna amrishe home boy ma assist ya kutosha.
Hapo nafas ya golikeeper imeenda Bure bure
Same moses phiri, different dates of birth.Dah,
Brother uelewa wako una walakini. Number 10 anaweza kua vyote viwili, kiswahili ni kiungo mshambuliaji ambae wazungu wanamuita "Attacking Midfielder" au "Inside 10".
Ila vyovyote utakavyotafsiri lakini Moses Phiri hatajwi kama kiungo, ni mshambuliaji. Awe anacheza 9 au 10 bado ni mshambuliaji. Wewe umeona wapi kua Phiri sio mshambuliaji?
Au unamzungumzia Moses Phiri yupi? Usikute hata tunazungumzia watu tofauti.
View attachment 2697613View attachment 2697615View attachment 2697616View attachment 2697614
Huwa hakuna asilimia inayozidi 100% isipokuwa kama unafanya comparisonwakilipwa hela za usajili watakuwa mali ya yanga 1000%
Kama hili linawezekana, maanake kumbe timu inaweza kusajili wachezaji hata 20 wa kigeni. Wachezaji 8 watacheza kwenye ligi kuu na wachezaji 12 watakuwa wamesajiliwa kwa mashindano ya kimataifa tu. Najaribu kuwaza kwa upana juu ya hiliNdio maana itabidi mmoja asajiliwe for international game ili Bangala aingie then Manula akipona Kipa mzungu aondoke.
Nafasi ya Bangala kuja Simba ni finyu. Yanga hawawezi kumuachia aje Simba. Kuliko hivyo basi heri abaki tu Yanga asugue Benchi mpaka Mkataba wake utakapoisha.Hapo waangalie kati ya Kramo na Onana kama wata click na kama ni zaidi ya Phiri. Hapo mmoja wapo acheze kimataifa tu then ongeza Bangala hapo.
Kuwafuta machozi ya Mkude kivipi wakati Mkude aliachwa!?Soka la Bongo lina mvuto wake, unaambiwa kuwa wakati Timu ya Yanga ikitarajia kufunga usajili wake kwa kumleta Straika la magoli upande wa pili Timu ya Simba wanajiandaa kupeleka simanzi Jangwani kwa kumleta Mkongo aliyefanya vizuri na Wananchi hao ikiwa ni jibu la kubebwa kwa Mkude kuwafuta machozi mashabiki.
Tetesi zinasema Mwamba kagoma kupelekwa kwa mkopo Singida Fountaingate anachotaka yeye ni kuvunjwa kwa Mkataba tu.
View attachment 2697395
Kama alivyofungashiwa vilago Mkude then mkamuokota!Ndo maana tumemtoa kwa mkopo, kama angekuwa na thaman ai angebaki au