Tetesi: Yanick Bangala muda wowote anatua Msimbazi

Tetesi: Yanick Bangala muda wowote anatua Msimbazi

Hii habari Haina ukweli.

VIONGOZI wengi wa mpira HAWAJUI mpira.

Nimewashauri sana Baadhi ya VIONGOZI kuhusu.
Hatari ya kuwa na Mabeki wawili tu wenye UWEZO,

Nimewaomba sana wamuongeze Bangala kama kiungo mkabaji na Beki.

SIMBA INGEMPATA BANGALA INGECHEZA FAINALI CAFCL.
Bangala ni bingwa wa kuendesha maandamano ya chini kwa chini,yeye na djuma ..waende tu huko huko
 
Si maslahi wala kushuka kwa kiwango,bangala anaachwa Yanga sababu zake ni sawa sawa na chama kwa makolo,alichokua anafanya bangala ndicho anachofanya chama na viongozi wa simba wanajua ila wanaogopa kuchukua maamuzi sbb huko koloni mchezaji yuko juu zaidi ya klabu Yanga kama iliweza kufukuza timu nzima ndio ishindwe kwa mchezaji snitch m1
Mpeni hela zake za usajili acheni wizi,mtu akida hela zake mnasema hana nidhamu,??unadhani kina azizi ki wakija kukiamsha patatosha pale??shauri yenu
 
Ni kweli mkuu, Yanga iliamua kumuweka jamaa pembeni, na hata alishajua kabisa anakoenda hatoweza kuwa sambamba na Yanga.
Sizitaki mbichi hizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]lipeni watu hela zao,wale wana familia mjue
 
Kagoma sasa mnamlazimisha??vunjeni mkataba naye aende zake akafanye kazi zake nyingine.
Ataendelea kulipwa mshahara bila kucheza ajinenepee Hadi mashavu Kama Luise wa al ahiy(konde boy)
 
Kwenye hako kapesa ulipata ngapi shehe?
Hata nikikwambia nimepata itakusaidia nini.

Okay ninepata mil 100.......... ww unataka nikupe kiasi.

NB:Tatizo la kuujulia mpira ukubwani au hujui shabiki kama sehemu ya club. Unavyotamba humu TUMEMTOA Alhly vp ww ulicheza namba ngapi?
 
Soka la Bongo lina mvuto wake, unaambiwa kuwa wakati Timu ya Yanga ikitarajia kufunga usajili wake kwa kumleta Straika la magoli upande wa pili Timu ya Simba wanajiandaa kupeleka simanzi Jangwani kwa kumleta Mkongo aliyefanya vizuri na Wananchi hao ikiwa ni jibu la kubebwa kwa Mkude kuwafuta machozi mashabiki.

Tetesi zinasema Mwamba kagoma kupelekwa kwa mkopo Singida Fountaingate anachotaka yeye ni kuvunjwa kwa Mkataba tu.

View attachment 2697395

Simba wakimpata huyu mwamba akaungane na Inonga mambo itakuwa bien!
 
Wachezaji wa kigeni.

1. Jefferson Luis goal keeper.
2. Ngoma
3. Kramo
4. Malone
5. Onana.
6. MIQUESSON.

7. Inonga
8. Kanute
9. Saido.
10. Baleke.
11 Chama.

( 12. Phili. )

...............................................
13. SACKHO.
14 . Banda .

WANGEKUWA NA AKILI WANGEMTOA KAFALA PHILI AJE BANGALA.
au phili ashiriki mashindano ya kimataifa tu.
Hapo waangalie kati ya Kramo na Onana kama wata click na kama ni zaidi ya Phiri. Hapo mmoja wapo acheze kimataifa tu then ongeza Bangala hapo.
 
Nafasi ya Goli keeper inaniuma sana ,hiyo ndio nafasi ilipaswa akae Bangala.
Phiri huwez kumtoa hapo Simba na Chama ndie anambeba phiri maana inasemekana chama kwanza hatak phiri akae benchi ndio maana Kuna game anachoma waz waz .
Ila wakicheza chama na phiri ndan yaan chama atapambana Kila namna amrishe home boy ma assist ya kutosha.
Hapo nafas ya golikeeper imeenda Bure bure
Ndio maana itabidi mmoja asajiliwe for international game ili Bangala aingie then Manula akipona Kipa mzungu aondoke.
 
Dah,
Brother uelewa wako una walakini. Number 10 anaweza kua vyote viwili, kiswahili ni kiungo mshambuliaji ambae wazungu wanamuita "Attacking Midfielder" au "Inside 10".

Ila vyovyote utakavyotafsiri lakini Moses Phiri hatajwi kama kiungo, ni mshambuliaji. Awe anacheza 9 au 10 bado ni mshambuliaji. Wewe umeona wapi kua Phiri sio mshambuliaji?

Au unamzungumzia Moses Phiri yupi? Usikute hata tunazungumzia watu tofauti.
View attachment 2697613View attachment 2697615View attachment 2697616View attachment 2697614
Same moses phiri, different dates of birth.
 
Ndio maana itabidi mmoja asajiliwe for international game ili Bangala aingie then Manula akipona Kipa mzungu aondoke.
Kama hili linawezekana, maanake kumbe timu inaweza kusajili wachezaji hata 20 wa kigeni. Wachezaji 8 watacheza kwenye ligi kuu na wachezaji 12 watakuwa wamesajiliwa kwa mashindano ya kimataifa tu. Najaribu kuwaza kwa upana juu ya hili
 
Hapo waangalie kati ya Kramo na Onana kama wata click na kama ni zaidi ya Phiri. Hapo mmoja wapo acheze kimataifa tu then ongeza Bangala hapo.
Nafasi ya Bangala kuja Simba ni finyu. Yanga hawawezi kumuachia aje Simba. Kuliko hivyo basi heri abaki tu Yanga asugue Benchi mpaka Mkataba wake utakapoisha.
 
Soka la Bongo lina mvuto wake, unaambiwa kuwa wakati Timu ya Yanga ikitarajia kufunga usajili wake kwa kumleta Straika la magoli upande wa pili Timu ya Simba wanajiandaa kupeleka simanzi Jangwani kwa kumleta Mkongo aliyefanya vizuri na Wananchi hao ikiwa ni jibu la kubebwa kwa Mkude kuwafuta machozi mashabiki.

Tetesi zinasema Mwamba kagoma kupelekwa kwa mkopo Singida Fountaingate anachotaka yeye ni kuvunjwa kwa Mkataba tu.

View attachment 2697395
Kuwafuta machozi ya Mkude kivipi wakati Mkude aliachwa!?
 
Back
Top Bottom