Yapi ni Mavazi sahihi kwa Mwanaume kwaajili ya Mtoko wa kukutana na Mwanamke kwa mra ya kwanza?

Tatzo mnakuw location unaanz kuagz chips yai mishikaj bro kula hv ndio uend hukooo then fk agiza ndizi na mbuz choma
 
Thread kama hii typically ni ya wanaume wa Dar probably watoto wa chuo
 
Ahsante sana mwamba
 
Mavazi inategemea na maeneo uendako pia hali ya hewa ikoje hapo cha kwanza wewe ndiye wa kwanza kusoma location ipoje uvae vipi pia demu wa kiswazi ni tofauti na uzunguni au familia ya kati usije vaa koti na demu wa mama kiponge atajua wewe comedian kumbe wewe umetoka Chugga vaa simple tu ila mchawi pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…