Tetesi: Yawezekana hiki ndio kilichopelekea Kinana alalamikie Traffic

Uko sahihi jamaa.
 
Niliwea kutoka na lorry scania kutoka dar had Arusha bila bima wala taeri za uhakika ila niliweza kufika Arusha kwa kulipa shilingi 15 tu naikasepa zangu japo like lorry lilionekana Kama jipaya coz nilitoka kulipiga rangi
 

ukishavuka mpaka wa Tanzania kuelezea nchi za Kusini moyo unapumua kwa kero.
mbaya zaidi police wa Tanzania wana take chansi kinoma. hupaswi kuhoji unapokuwa unajadiliana nae...nchi ngumu sana hii.
 
Tulisafiri kwa gari Dubai to Abudhabi...km 138.7...saa 1:14
Hatukuona traffic barabarani wala kusimamishwa,kwenda na kurudi.

Sasa Umbali huo ni karibu sawa na distance ya Dar es salaam to Bwawani morogoro....km 138.00....saa 2:46
Tukisema tuanze kuwahesabu hapa askari barabarani ni kama tutakesha...

La kujiuliza
Kwanini kule traffic hawakai barabarani?

Kwa kms hizo hizo kwa UAE unatumia muda kidogo ukilinganisha na bongo.why?

Unaweza kuona factor ya time inawafanya wale kule wapige hatua kubwa ya maendeleo.kwani hakuna kupotezeana muda na hakuna rushwa huko.

Wenzetu barabara ni pana highway na zimesimikwa street lights njia yote kutoka mji hadi mji na taa zote zinawaka.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Ila pia matrafic wanavyozidi ndo probability kubwa ya kunasa nyara
 
Very risk Road ndio maana ina huu wingi wa Askari
Tatizo ni kua agenda yao ni kujikusanyia sio usalama wa watumia barabara.

Arusha pamezidi wingi wa traffic police, yaani nnaweza kuendesha mwaka mzima bila kusimamishwa mikoa mingine lkn ukiingia tu Ars lazima usimamishwe na kubambikizwa speed ya 56.

Maaskari wa Arusha ni genge la wahalifu kabisa, utawakuta wana mpk marungu na mapanga kwenye magari yao, maana yake wamejiandaa kwa namna zote na wapo tayari kushirikiana kutimiza azma zao za kijangiri kwa ubabe.

Nlikuja kuskia kuna watu huacha magari yao nyumbani na kupanda bodaboda wakitaka kwenda mjini ili kuepuka kero za hawa maaskari.

Ni wazi kua IGP na kamanda wa polisi Arusha wanapaswa kuliangalia hili tena. Mtu unajibana zako huko umeweka petroli ya 10K unaishia kuandikiwa faini 30K tena kwa makosa ya kuunga unga tu na kubambikiziwa.
 
Hii ni katika umbali wa Kilometa 76 tu!
Mwafa.
 
Uko sahihi
 
Ndio maana wanasema Tanzania ni mojawapo ya nchi ngumu sana kufanya biashara. Ni mambo kama haya.
 
Aiseee
 
Niliwea kutoka na lorry scania kutoka dar had Arusha bila bima wala taeri za uhakika ila niliweza kufika Arusha kwa kulipa shilingi 15 tu naikasepa zangu japo like lorry lilionekana Kama jipaya coz nilitoka kulipiga rangi
Na namba ukazipiga rangi! Wewe ni genius.
 

kweli moshi arusha trafic kero sana yani kero mnooooo kila mahali halafu hataka kama huna kosa wanaomba hela ya chai[emoji23]
 
Very risk Road ndio maana ina huu wingi wa Askari

alafu kinginr moshi arusha madereva yani wanaendesha rafu sana tofauti na dar, yani hata ile unaingia barabara kuu hawakuruhusu ile ya kupunguza mwendo na kukuwashia taa hamnaaa, ni wanapita tu vuu vuuu wapembeni hupewi nafasi ni hadi uvizie mwenyewe ni salama ndio uingie lkn ukisubiri uruhusiwe utalala hapo
 
Kwani Hao traffic wakiondolewa au kupunguzwa road kuna kazi gani nyingine wanaweza kufanya ukiondoa ile ya ukaguzi wa mabasi alfajiri wakati yanaondoka stand?
 
Kati barabara moja wapo ambayo nimeitumia Mara nyingi lakin Ina trafiki wachache Sana ni hii kutoka Songea, Tunduru, Msasai had Mnazi mmoja nafikil Zaid ya kilometers 500 trafiki hawazid sehem tatu ukitoa Hawa wa stand
Hiyo barabara tamu sanna.
 
Ni moja ya pyramid scheme ya uhakika wa kupata
Hivi mmoja akiugua si anampa ndugu yake gwanda aendelea na uchangiaji [emoji2957]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…