GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Marehemu Idi Amin Dada....
1. Alichukia Upuuzi (Upumbavu)
2. Alichukia Uonevu na Dharau
3. Aliwapenda sana Wananchi wake
4. Hakuwa Mnafiki na wa Kujipendekeza
5. Hakuwa Muoga kuipigania nchi yake
6. Hakuwa Fisadi (Mwizi) hata kidogo
7. Alikuwa Mbabe ili Kulinda nchi yake
Sasa wakati umefika kwa Waafrika Kukiri kuwa tulikosea au tulilazimishwa tu na 'Mabeberu' katika Kumchukia Idi Amin Dada hivyo tuombe Radhi kwa Familia yake na hata kwa Mwenyezi Mungu ikiwezekana.
Kwa mtazamo mfupi tu ni kwamba kama nikisema niyapime Madhambi ya Marehemu Idi Amin Dada kipndi chake na hawa Viongozi wa sasa wa Afrika tulionao Mzani wangu utalalia hasa kwa Viongozi wa sasa kwani 90% yao wanafanya (wanatenda) maradufu ya aliyokuwa akiyafanya Idi Amin Dada ila Waafrika wengi ama kwa Unafiki wetu au kuwa Kwetu Mapopoma (Majuha) au kwa Kushikiwa kwa muda Akili zetu na Mabeberu (Wazungu) tunaogopa Kukemea, Kukosoa na hata Kusema Ukweli juu ya Masuala Mtambuka katika nchi zetu nyingi (kama si zote) za Kiafrika.
R.I.P sana tu Marehemu Idi Amin Dada.
1. Alichukia Upuuzi (Upumbavu)
2. Alichukia Uonevu na Dharau
3. Aliwapenda sana Wananchi wake
4. Hakuwa Mnafiki na wa Kujipendekeza
5. Hakuwa Muoga kuipigania nchi yake
6. Hakuwa Fisadi (Mwizi) hata kidogo
7. Alikuwa Mbabe ili Kulinda nchi yake
Sasa wakati umefika kwa Waafrika Kukiri kuwa tulikosea au tulilazimishwa tu na 'Mabeberu' katika Kumchukia Idi Amin Dada hivyo tuombe Radhi kwa Familia yake na hata kwa Mwenyezi Mungu ikiwezekana.
Kwa mtazamo mfupi tu ni kwamba kama nikisema niyapime Madhambi ya Marehemu Idi Amin Dada kipndi chake na hawa Viongozi wa sasa wa Afrika tulionao Mzani wangu utalalia hasa kwa Viongozi wa sasa kwani 90% yao wanafanya (wanatenda) maradufu ya aliyokuwa akiyafanya Idi Amin Dada ila Waafrika wengi ama kwa Unafiki wetu au kuwa Kwetu Mapopoma (Majuha) au kwa Kushikiwa kwa muda Akili zetu na Mabeberu (Wazungu) tunaogopa Kukemea, Kukosoa na hata Kusema Ukweli juu ya Masuala Mtambuka katika nchi zetu nyingi (kama si zote) za Kiafrika.
R.I.P sana tu Marehemu Idi Amin Dada.