Yawezekana kama Mwanadamu Idi Amin alikuwa na Mapungufu yake ila nimegundua Afrika ya leo iliwahitaji akina Amin wengi ili kupiga hatua

Yawezekana kama Mwanadamu Idi Amin alikuwa na Mapungufu yake ila nimegundua Afrika ya leo iliwahitaji akina Amin wengi ili kupiga hatua

Upo sahihi kabisa mkuu kuna clip moja niliiona maelezo yako yanafanana na ile ya kwenye video.
Hyo ndy sababu kuu iliyofanya Amini akimbizwe Uganda.

Amin alikuwa na mpango wa kujenga chuo kikuu cha kiislam kikubwa Africa nzima.
Kwa msaada wa Gadafi.

Hilo Jambo lilipingwa kwa nguvu zote na viongozi wa east Africa wakiongozwa na Nyerere na Kenyatta..

Amin bila kukimbizwa Uganda ingekuwa inchi ya kiislam Leo..


Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Si kweli, kama walishindwa kupiga hatua kipindi kile sasa wangewezaje
 
Hyo ndy sababu kuu iliyofanya Amini akimbizwe Uganda.

Amin alikuwa na mpango wa kujenga chuo kikuu cha kiislam kikubwa Africa nzima.
Kwa msaada wa Gadafi.

Hilo Jambo lilipingwa kwa nguvu zote na viongozi wa east Africa wakiongozwa na Nyerere na Kenyatta..

Amin bila kukimbizwa Uganda ingekuwa inchi ya kiislam Leo..


Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Gadaff ndie aliyeyafadhili makundi ya kigaidi ya tuareg yanayoisumbua nchi za niger, mali na ukanda ule.
 
Back
Top Bottom