Yemen: Tutageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo wutaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen

Yemen: Tutageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo wutaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen

Yemen anajua fika kuwa hawezi kupigana US hata kijografiq hawezi kumfikia yeye anaweza kupigana na nchi za Mashariki ya Kati ikiwemo Israel na pamoja na umasikini wake wanamuogopa mfano huu…

🛑 According to Politico, 19 countries joined the US-led coalition in the Red Sea, but 9 of them refuse to have their names published, including Arab countries.

Yemen anajihamini ana silaha ambazo nchi za magharibi hawazijui zimetokq Iran na Urusi.
Kama hana nuclear, bado wanamstahi tu, wakiamua kumfuta wanamfuta.

Japan alijifanya kuwa anapigania upande wa Mfalme Mungu-Mtu Hirohito.

Kapigwa nuclear mbili tu, kafyata mkia mpaka leo.

Watu wanaheshimu sheria za kimataifa tu na kutaka ku preserve amani, kwa vita ya mbwai mbwai Yemen atalia tu.
 
Kama hana nuclear, bado wanamstahi tu, wakiamua kumfuta wanamfuta.

Japan alijifanya kuwa anapigania upande wa Mfalme Mungu-Mtu Hirohito.

Kapigwa nuclear mbili tu, kafyata mkia mpaka leo.

Watu wanaheshimu sheria za kimataifa tu na kutaka ku preserve amani, kwa vita ya mbwai mbwai Yemen atalia tu.
The Yemenis are so badass man… The US Eisenhower Aircraft Carrier is at 70miles distance from Djibouti and Yemeni speedboats continue their patrol & warning off ships in the same area.

Yemen fought against American military equipment for 9 years, they aren’t scared of anything.
 

Attachments

  • IMG_8336.jpeg
    IMG_8336.jpeg
    47.9 KB · Views: 3
Kama hana nuclear, bado wanamstahi tu, wakiamua kumfuta wanamfuta.

Japan alijifanya kuwa anapigania upande wa Mfalme Mungu-Mtu Hirohito.

Kapigwa nuclear mbili tu, kafyata mkia mpaka leo.

Watu wanaheshimu sheria za kimataifa tu na kutaka ku preserve amani, kwa vita ya mbwai mbwai Yemen atalia tu.
Kitu kingine kigumu kwa Yemen kuna makundi mawili moja lipo na US na Saudia, UK, hao waasi wapo na Iran na Urusi. Sasa hilo bomu watalipiga wapi?
 
Wanaukumbi.

Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.

======

🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:

The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.

======

Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.

Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.

Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.

Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
Yahya Saree, msemaji wa Jeshi la Yemen:


View: https://x.com/me_observer_/status/1737102785848512969?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWO

View:
Allahu%20Akbar%20Kabeer%20!
 
Kwa hiyo hizo sheria za kimataifa mpalestina hazimusu? Na kwa nini kila penye mgogoro duniani marekani ana mkono wake,, soon mzani utakaa sawa duniani mrusi kawafungua watu macho kule Ukraine
Biden amawambia MuIsrael aheshimu sheria za kimataifa. Ila Wamarekani na Waisraeli wana ushkaji wa historia ndefu kwa hiyo hawezi kumgeuka mazima.



The White House
The White House
MENU
TO SEARCH THIS SITE, ENTER A SEARCH OCTOBER 29 2023

Readout of President Biden’s Call with Prime Minister Netanyahu of Israel​

  1. HOME
  2. BRIEFING ROOM
  3. STATEMENTS AND RELEASES
President Joseph R. Biden, Jr. spoke this morning with Prime Minister Benjamin Netanyahu of Israel.

The leaders discussed developments in Gaza. The President reiterated that Israel has every right and responsibility to defend its citizens from terrorism and underscored the need to do so in a manner consistent with international humanitarian law that prioritizes the protection of civilians. The President and Prime Minister discussed ongoing efforts to locate and secure the release of hostages, to include American citizens who remain unaccounted for and may be held by Hamas.

The President underscored the need to immediately and significantly increase the flow of humanitarian assistance to meet the needs of civilians in Gaza. The President and the Prime Minister agreed to remain in regular consultation both directly and through their respective national security teams.
 
The Yemenis are so badass man… The US Eisenhower Aircraft Carrier is at 70miles distance from Djibouti and Yemeni speedboats continue their patrol & warning off ships in the same area.

Yemen fought against American military equipment for 9 years, they aren’t scared of anything.
Hao Waarabu labda kwenye vita za kuviziana kigaidi tu, kwenye vita ya conventional nchi na nchi hawawezi kupigana hata na jimbo la California tu.
 
Kitu kingine kigumu kwa Yemen kuna makundi mawili moja lipo na US na Saudia, UK, hao waasi wapo na Iran na Urusi. Sasa hilo bomu watalipiga wapi?
Kwani Yemen iko wapi?
 
Kuna kitu tukiangalie kwa jicho la Mbali sana hii vita athari zake hazita ishia kwao tu tusubiri tutaona gharama ya vitu kupanda na kukosekana hasa malighafi tunazo zitegemea kutoka nnje, maana usitishwaji wa hiyo njia ya meli utatuathiri kwa namna moja au ingine.
Hio njia kwetu inakwepeka, inawaathiri North Africa na Mataifa kama Israel ama Ulaya.


Kuwakwepa Houth ndio wana pitia huku kwetu wanazungukia south Africa.
 
Kwa mujibu wa waziri mkuu wa UK ni kwamba hao wa Yemeni nyuma yake kuna mrusi na muirani ambao wanataka kupandisha bei ya mafuta na bidhaa ili uchumi wa nchi za magharibi uvurugike.
 
Wanaukumbi.

Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.

======

🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:

The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.

======

Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.

Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.

Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.

Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
Yahya Saree, msemaji wa Jeshi la Yemen:


View: https://x.com/me_observer_/status/1737102785848512969?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Waarabu vita wanapigana kwa mdomo0
 
Huyu nzi kazi ya kwanza ni kutunguliwa yeye,kabla ya hao kobaz wengine wapewe kipigo cha mbwa mwizi
 
First statement from Yemen after the announcement of coalition led by USA:

‎"With this foolishness, you will learn who Yemen is."
Yemen failed state anatishia viranja wa dunia🤣😅😂
 
Kiukweli waarabu hawawezi vita na USA pamoja na washirika weka ndio maana ni rahisi kuwagawa
Waarabu hamna kitu kamwe hawawez vita hata na nchi kama India maana US ni mbali sanaaaaaaa. Na washukuru Mungu kawapa baraka ya mafuta na gesi vinginevyo wangekuwa nchi za mavumbini.
 
Back
Top Bottom