Yemen wameiangusha ndege ya Marekani ya F-22?

Yemen wameiangusha ndege ya Marekani ya F-22?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Kama hizi habari zitathibitishwa itakua ni pigo kubwa mno kwa mabeberu nimequoute kutoka kwenye source muhimu za habari

URGENT: Initial reports indicate that the Yemeni Armed Forces have successfully downed an American F-22 fighter jet in the skies over Al Hudaydah

Update: Yemen Houthis forces in Yemen shot down an American F-22 fighter jet over the Red Sea!! More details coming!!

=========

Houthis down F22
Yemeni anti-aircraft missile provided by Iran shooting down an American F-22 fighter jet! They will deny of course until Houthis take a selfie with the F22. But seems like US is angry and is attacking Houthis full fledged!

Wanasema kwa west nk kuwa F-22 ndo ndege kali na ya ghali zaidi ya kivita duniani zikiwa na F-35..... Cha ajabu hapo Ukraine kwenyewe hawathubutu kupeleka ndege zao wanaleta mchezo wa kuziambia nchi zipeleke ndege za kirusi (MIG's) kwa ahadi ya kupewa F-16

Wakiambiwa wapeleke F-16 F-22 au F-35 wanapiga danadana mara ooh wanapaswa wapewe Training mara mafunzo mara zitakua zinafichwa poland mara wasipewe kwanza sasa kwanini wanaogopa?

Yemen walitungua drone ghali za US tukaambiwa ni uwongo baadae wakakiri, wakapiga aircraft carrier wakapinga ilipoanza kuzama wakakiri, hili la F-22 soon litakua comfirmed kama ambavyo Hezbollah anaziangusha drone ghali na ya kisasa zaidi kwa Israel aina ya Hermes 900.

20240618_130714.jpg
 
Kama hizi habari zitathibitishwa itakua ni pigo kubwa mno kwa mabeberu nimequoute kutoka kwenye source muhimu za habari[emoji1313][emoji1313]

[emoji298]️URGENT: Initial reports indicate that the Yemeni Armed Forces have successfully downed an American F-22 fighter jet in the skies over Al Hudaydah

[emoji599][emoji599][emoji599]Update: Yemen Houthis forces in Yemen shot down an American F-22 fighter jet over the Red Sea!! More details coming!![emoji91][emoji91][emoji91]

=========

Houthis down F22
Yemeni anti-aircraft missile provided by Iran shooting down an American F-22 fighter jet! They will deny of course until Houthis take a selfie with the F22. But seems like US is angry and is attacking Houthis full fledged!

Wanasema kwa west nk kuwa F-22 ndo ndege kali na ya ghali zaidi ya kivita duniani zikiwa na F-35..... Cha ajabu hapo Ukraine kwenyewe hawathubutu kupeleka ndege zao wanaleta mchezo wa kuziambia nchi zipeleke ndege za kirusi (MIG's) kwa ahadi ya kupewa F-16

Wakiambiwa wapeleke F-16 F-22 au F-35 wanapiga danadana mara ooh wanapaswa wapewe Training mara mafunzo mara zitakua zinafichwa poland mara wasipewe kwanza sasa kwanini wanaogopa?

Yemen walitungua drone ghali za US tukaambiwa ni uwongo baadae wakakiri, wakapiga aircraft carrier wakapinga ilipoanza kuzama wakakiri, hili la F-22 soon litakua comfirmed kama ambavyo Hezbollah anaziangusha drone ghali na ya kisasa zaidi kwa Israel aina ya Hermes 900.

View attachment 3019924

Mimi nashauri ungemsikiliza huyu Sheikhe kwa sekunde hizi 22 tu, kuna kitu kikubwa sana ungejifunza.
Amekiri kwamba mko nyuma sana.
Hata hapa mimi nimeamini kwamba mpo nyuma sana kwa jinsi unavyoichukulia F-22.
 
Kama hizi habari zitathibitishwa itakua ni pigo kubwa mno kwa mabeberu nimequoute kutoka kwenye source muhimu za habari

URGENT: Initial reports indicate that the Yemeni Armed Forces have successfully downed an American F-22 fighter jet in the skies over Al Hudaydah

Update: Yemen Houthis forces in Yemen shot down an American F-22 fighter jet over the Red Sea!! More details coming!!

=========

Houthis down F22
Yemeni anti-aircraft missile provided by Iran shooting down an American F-22 fighter jet! They will deny of course until Houthis take a selfie with the F22. But seems like US is angry and is attacking Houthis full fledged!

Wanasema kwa west nk kuwa F-22 ndo ndege kali na ya ghali zaidi ya kivita duniani zikiwa na F-35..... Cha ajabu hapo Ukraine kwenyewe hawathubutu kupeleka ndege zao wanaleta mchezo wa kuziambia nchi zipeleke ndege za kirusi (MIG's) kwa ahadi ya kupewa F-16

Wakiambiwa wapeleke F-16 F-22 au F-35 wanapiga danadana mara ooh wanapaswa wapewe Training mara mafunzo mara zitakua zinafichwa poland mara wasipewe kwanza sasa kwanini wanaogopa?

Yemen walitungua drone ghali za US tukaambiwa ni uwongo baadae wakakiri, wakapiga aircraft carrier wakapinga ilipoanza kuzama wakakiri, hili la F-22 soon litakua comfirmed kama ambavyo Hezbollah anaziangusha drone ghali na ya kisasa zaidi kwa Israel aina ya Hermes 900.

View attachment 3019924
Serikali iweke wazi kabisa hii biashara ya madawa inayoharibu vijana wetu nchini inamilikiwa na "waarabu watarajiwa".
 
Ww uliyoko mbele una kipi cha maana kuwazidi waisilam?
Pongezi za dhati na hongera kwa Allah na mudy kwa kufanikiwa kuiangusha F-22. Kweli kwa hili wamejitahidi wanahitaji kupongezwa na kuendelea kutiwa moyo.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpe.

Big up Allah na Mudi watu wangu wa nguvu never give up pamoja sana tu 🤟🏿👌🏿👊🏿🤜🏿🤛🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿

Jagina ielewemitaa Malaria 2
 
Kama hizi habari zitathibitishwa itakua ni pigo kubwa mno kwa mabeberu nimequoute kutoka kwenye source muhimu za habari

URGENT: Initial reports indicate that the Yemeni Armed Forces have successfully downed an American F-22 fighter jet in the skies over Al Hudaydah

Update: Yemen Houthis forces in Yemen shot down an American F-22 fighter jet over the Red Sea!! More details coming!!

=========

Houthis down F22
Yemeni anti-aircraft missile provided by Iran shooting down an American F-22 fighter jet! They will deny of course until Houthis take a selfie with the F22. But seems like US is angry and is attacking Houthis full fledged!

Wanasema kwa west nk kuwa F-22 ndo ndege kali na ya ghali zaidi ya kivita duniani zikiwa na F-35..... Cha ajabu hapo Ukraine kwenyewe hawathubutu kupeleka ndege zao wanaleta mchezo wa kuziambia nchi zipeleke ndege za kirusi (MIG's) kwa ahadi ya kupewa F-16

Wakiambiwa wapeleke F-16 F-22 au F-35 wanapiga danadana mara ooh wanapaswa wapewe Training mara mafunzo mara zitakua zinafichwa poland mara wasipewe kwanza sasa kwanini wanaogopa?

Yemen walitungua drone ghali za US tukaambiwa ni uwongo baadae wakakiri, wakapiga aircraft carrier wakapinga ilipoanza kuzama wakakiri, hili la F-22 soon litakua comfirmed kama ambavyo Hezbollah anaziangusha drone ghali na ya kisasa zaidi kwa Israel aina ya Hermes 900.

View attachment 3019924
Itakuwa vyema.
 
Itakuwa vyema.
Pongezi za dhati na hongera kwa Allah na mudy kwa kufanikiwa kuiangusha F-22. Kweli kwa hili wamejitahidi wanahitaji kupongezwa na kuendelea kutiwa moyo.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpe.

Big up Allah na Mudi watu wangu wa nguvu never give up pamoja sana tu 🤟🏿👌🏿👊🏿🤜🏿🤛🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
 
Sina cha malana, nime share tu alichokisema Shikhe, so kama una hoja au una pinga basi pingana nah Sheikhe wako, siyo mimi mkuu. Mimi itakuwa unanionea tu
Kwa hiyo siku hizi shekhe ndo amekuwa mungu wako ya kwamba atakacho kisema ni sahihi?
Hao unao wasema wako nyuma si ndo wameshikilia zaidi ya %80 ya uchumi wa nchi yako?
 
Kwa hiyo siku hizi shekhe ndo amekuwa mungu wako ya kwamba atakacho kisema ni sahihi?
Hao unao wasema wako nyuma si ndo wameshikilia zaidi ya %80 ya uchumi wa nchi yako?
Oyaa mbona hunijibu sasa unapita tu 😡😡😡😡😡
 
Kwa hiyo siku hizi shekhe ndo amekuwa mungu wako ya kwamba atakacho kisema ni sahihi?
Hao unao wasema wako nyuma si ndo wameshikilia zaidi ya %80 ya uchumi wa nchi yako?
Mimi hayo siyajui sheikhe wangu, wewe jibizana na huyo sheikhe wako.
 
Kwa hiyo siku hizi shekhe ndo amekuwa mungu wako ya kwamba atakacho kisema ni sahihi?
Hao unao wasema wako nyuma si ndo wameshikilia zaidi ya %80 ya uchumi wa nchi yako?
Msamehe huyo maana hata alichoonge Sheikh hajakielewa.
Sheikh kazungumzia kuwa waislam tuko nyuma kwenye kuilea dini yetu.
Ndio maana akatolea mfano wa padre na sheikh,huwezi muona padre anatembea kwa mguu kwasababu makanisa yanawalea vyema,ila masheikh hawalelewi vyema wao kutembea kwa mguu sunnah.

Tukija upande wa kimaisha nadhani yeye anafahamu kuwa TANZANIA WATU MATAJIRI NI WAISLAM NA HILO WALA HABISHI.
SIO TANZANIA TU DUNIANI WATU MATAJIRI WAISLAM.
Ila hakuelewa sheikh anazungumzia nini MSAMEHE KAKA.
 
Back
Top Bottom