Yemen wameiangusha ndege ya Marekani ya F-22?

Yemen wameiangusha ndege ya Marekani ya F-22?

Kama hizi habari zitathibitishwa itakua ni pigo kubwa mno kwa mabeberu nimequoute kutoka kwenye source muhimu za habari

URGENT: Initial reports indicate that the Yemeni Armed Forces have successfully downed an American F-22 fighter jet in the skies over Al Hudaydah

Update: Yemen Houthis forces in Yemen shot down an American F-22 fighter jet over the Red Sea!! More details coming!!

=========

Houthis down F22
Yemeni anti-aircraft missile provided by Iran shooting down an American F-22 fighter jet! They will deny of course until Houthis take a selfie with the F22. But seems like US is angry and is attacking Houthis full fledged!

Wanasema kwa west nk kuwa F-22 ndo ndege kali na ya ghali zaidi ya kivita duniani zikiwa na F-35..... Cha ajabu hapo Ukraine kwenyewe hawathubutu kupeleka ndege zao wanaleta mchezo wa kuziambia nchi zipeleke ndege za kirusi (MIG's) kwa ahadi ya kupewa F-16

Wakiambiwa wapeleke F-16 F-22 au F-35 wanapiga danadana mara ooh wanapaswa wapewe Training mara mafunzo mara zitakua zinafichwa poland mara wasipewe kwanza sasa kwanini wanaogopa?

Yemen walitungua drone ghali za US tukaambiwa ni uwongo baadae wakakiri, wakapiga aircraft carrier wakapinga ilipoanza kuzama wakakiri, hili la F-22 soon litakua comfirmed kama ambavyo Hezbollah anaziangusha drone ghali na ya kisasa zaidi kwa Israel aina ya Hermes 900.

View attachment 3019924
Kwahiyo umetuletea tujadili umbea? Hizo tabia waachie wanawake hakukuwa na ulazima wa kuleta habar ambayo haijadhibitishwa humu.
 
Kama hizi habari zitathibitishwa itakua ni pigo kubwa mno kwa mabeberu nimequoute kutoka kwenye source muhimu za habari

URGENT: Initial reports indicate that the Yemeni Armed Forces have successfully downed an American F-22 fighter jet in the skies over Al Hudaydah

Update: Yemen Houthis forces in Yemen shot down an American F-22 fighter jet over the Red Sea!! More details coming!!

=========

Houthis down F22
Yemeni anti-aircraft missile provided by Iran shooting down an American F-22 fighter jet! They will deny of course until Houthis take a selfie with the F22. But seems like US is angry and is attacking Houthis full fledged!

Wanasema kwa west nk kuwa F-22 ndo ndege kali na ya ghali zaidi ya kivita duniani zikiwa na F-35..... Cha ajabu hapo Ukraine kwenyewe hawathubutu kupeleka ndege zao wanaleta mchezo wa kuziambia nchi zipeleke ndege za kirusi (MIG's) kwa ahadi ya kupewa F-16

Wakiambiwa wapeleke F-16 F-22 au F-35 wanapiga danadana mara ooh wanapaswa wapewe Training mara mafunzo mara zitakua zinafichwa poland mara wasipewe kwanza sasa kwanini wanaogopa?

Yemen walitungua drone ghali za US tukaambiwa ni uwongo baadae wakakiri, wakapiga aircraft carrier wakapinga ilipoanza kuzama wakakiri, hili la F-22 soon litakua comfirmed kama ambavyo Hezbollah anaziangusha drone ghali na ya kisasa zaidi kwa Israel aina ya Hermes 900.

View attachment 3019924
Source?
 
Mimi nimenukuu Allah alichosema wewe unasema ni ujinga mean unathibitisha hiyo kauli ni ya mjinga so Allah umetuthibitishia ni Mjinga na hama akili thank you very much...

If am wrong Allah akijisifu yeye ndie kubwa la waongo.

Soma Quran 3:53 -55 na tafsiri za kweli
Yohana 12:49
Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe,ila Baba aliyenituma,ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini,

Hivi Mungu anaweza kupewa amri kweli? Toka usingizini,soma Bible mwenyewe usiwe unasomewa na wewe unameza tu,Yesu sio Mungu.
 
Vihabari vya kuokoteza hivi
Kama hizi habari zitathibitishwa itakua ni pigo kubwa mno kwa mabeberu nimequoute kutoka kwenye source muhimu za habari

URGENT: Initial reports indicate that the Yemeni Armed Forces have successfully downed an American F-22 fighter jet in the skies over Al Hudaydah

Update: Yemen Houthis forces in Yemen shot down an American F-22 fighter jet over the Red Sea!! More details coming!!

=========

Houthis down F22
Yemeni anti-aircraft missile provided by Iran shooting down an American F-22 fighter jet! They will deny of course until Houthis take a selfie with the F22. But seems like US is angry and is attacking Houthis full fledged!

Wanasema kwa west nk kuwa F-22 ndo ndege kali na ya ghali zaidi ya kivita duniani zikiwa na F-35..... Cha ajabu hapo Ukraine kwenyewe hawathubutu kupeleka ndege zao wanaleta mchezo wa kuziambia nchi zipeleke ndege za kirusi (MIG's) kwa ahadi ya kupewa F-16

Wakiambiwa wapeleke F-16 F-22 au F-35 wanapiga danadana mara ooh wanapaswa wapewe Training mara mafunzo mara zitakua zinafichwa poland mara wasipewe kwanza sasa kwanini wanaogopa?

Yemen walitungua drone ghali za US tukaambiwa ni uwongo baadae wakakiri, wakapiga aircraft carrier wakapinga ilipoanza kuzama wakakiri, hili la F-22 soon litakua comfirmed kama ambavyo Hezbollah anaziangusha drone ghali na ya kisasa zaidi kwa Israel aina ya Hermes 900.

View attachment 3019924
 
Msamehe huyo maana hata alichoonge Sheikh hajakielewa.
Sheikh kazungumzia kuwa waislam tuko nyuma kwenye kuilea dini yetu.
Ndio maana akatolea mfano wa padre na sheikh,huwezi muona padre anatembea kwa mguu kwasababu makanisa yanawalea vyema,ila masheikh hawalelewi vyema wao kutembea kwa mguu sunnah.

Tukija upande wa kimaisha nadhani yeye anafahamu kuwa TANZANIA WATU MATAJIRI NI WAISLAM NA HILO WALA HABISHI.
SIO TANZANIA TU DUNIANI WATU MATAJIRI WAISLAM.
Ila hakuelewa sheikh anazungumzia nini MSAMEHE KAKA.
Labda utajiri wa kufuga majini
 
Unaleta list waliyoiandaa wenyewe hao wazungu!?
List yenye kubagua!?
Nenda Qatar kuna matajiri wenye utajiri mara tano mpaka kumi ya ELON MUSK.
Ila Forbes wamekataa kuwaweka eti wakidai utajiri wao sio wa kuhamasisha ni wa kupeana.
Kuna waarabu wana utajiri wa dinar bilion mia naa.
We unasemea utajiri wa billion dollars!?
Haya tuwekee list ya hao matajiri wa kiarabu wenye dinar bill mia
 
Mkuu unataka nikutajie shule za maana za matajiri wa kiislam Tanzania!?
Check the list;
1)Yemeni English medium Chang'ombe.
2)Alhikma schools.
3)Kirinjiko.
4)Forest hill/imaan schools Morogoro.
5)Almuntazir.
6)Daarul Arqam.
7)Al ihsan.
8)Chalinze Islamic.
Hizo zinakutosha.
Kuna vituo vya afya vingi tu waislam wamefungua japo ni vituo vya afya vya kati.
Kwa upande wa vyuo bado tuko nyuma nakubali.

Ila KIBIASHARA tumeteka hii nchi na hilo haubishi,wafanyabiashara wakubwa wengi waislam.
Tukitizama mchango wa Azam tu katika kukuza sekta mbali mbali za kiuchumi hapa nchini huwezi pimia.
Azam kainua sekta ya viwanda,michezo,habari,burudani na usafiri.
Je hivyo havina tija katika uchumi wa nchi!?
Una lingine la kuuliza mkuu!?
Huu ni ujinga kujitambulisha na maswala ya kidini, watanzania tunatakiwa kujitambulisha kama watanzania na wala sio kwa misingi ya imani za watu.

Wanaochangia utajiri wa mtu yeyote ni watanzania wote bila kujali itikadi zao za kisiasa, mirengo yao ya kikabila wala imani zao za kidini hivyo utajiri wa mtu huchangiwa na mambo mengi.

Watu wanaoongelea mambo ya kidini kila saa ni watu wa kuwakwepa kabisa kwa sababu ya ufinyu wao wa kifikra. Tanzania haiwezi kujengwa na fikra finyu za kidini bali itajengwa na watanzania wote wenye imani za kidini na wasio na imani hizo.
 
Huu ni ujinga kujitambulisha na maswala ya kidini, watanzania tunatakiwa kujitambulisha kama watanzania na wala sio kwa misingi ya imani za watu.

Wanaochangia utajiri wa mtu yeyote ni watanzania wote bila kujali itikadi zao za kisiasa, mirengo yao ya kikabila wala imani zao za kidini hivyo utajiri wa mtu huchangiwa na mambo mengi.

Watu wanaoongelea mambo ya kidini kila saa ni watu wa kuwakwepa kabisa kwa sababu ya ufinyu wao wa kifikra. Tanzania haiwezi kujengwa na fikra finyu za kidini bali itajengwa na watanzania wote wenye imani za kidini na wasio na imani hizo.

Nyani kaingia, kalisahau. boga lake
 
Kama hizi habari zitathibitishwa itakua ni pigo kubwa mno kwa mabeberu nimequoute kutoka kwenye source muhimu za habari

URGENT: Initial reports indicate that the Yemeni Armed Forces have successfully downed an American F-22 fighter jet in the skies over Al Hudaydah

Update: Yemen Houthis forces in Yemen shot down an American F-22 fighter jet over the Red Sea!! More details coming!!

=========

Houthis down F22
Yemeni anti-aircraft missile provided by Iran shooting down an American F-22 fighter jet! They will deny of course until Houthis take a selfie with the F22. But seems like US is angry and is attacking Houthis full fledged!

Wanasema kwa west nk kuwa F-22 ndo ndege kali na ya ghali zaidi ya kivita duniani zikiwa na F-35..... Cha ajabu hapo Ukraine kwenyewe hawathubutu kupeleka ndege zao wanaleta mchezo wa kuziambia nchi zipeleke ndege za kirusi (MIG's) kwa ahadi ya kupewa F-16

Wakiambiwa wapeleke F-16 F-22 au F-35 wanapiga danadana mara ooh wanapaswa wapewe Training mara mafunzo mara zitakua zinafichwa poland mara wasipewe kwanza sasa kwanini wanaogopa?

Yemen walitungua drone ghali za US tukaambiwa ni uwongo baadae wakakiri, wakapiga aircraft carrier wakapinga ilipoanza kuzama wakakiri, hili la F-22 soon litakua comfirmed kama ambavyo Hezbollah anaziangusha drone ghali na ya kisasa zaidi kwa Israel aina ya Hermes 900.

View attachment 3019924
Marekani mbona jicho tu sema mainstream za kiyahudi zinambeba
 
Back
Top Bottom