What is the quality of ur products tika hiz shule? Sizisikii hata top 20 kitaifa...
Hiv unaamin ule utajir wa akina bakhresa ni wa kwao????
My friend, take this , kama ulikua hujui bas leo ndio nakujuza kwamba katika nchi za kiafrika, hakuna matajiri kuwazid wanasiasa. Hao akina Mo sijui taka taka ganu hizo ni front faces tu. Utajiri wa watu huo ambao hata huwajui.
Nilijua utaongea haya.
Katika shule za primary Alhikma ilishatoa wanafunzi bora mara nyingi sana haswa kipindi cha Kikwete.
Japo sikuifuatilia sasa hivi.
Nenda kafuatilie matokeo ya hizo shule zikifaulisha wanafunzi vizuri.
Hata Yusuph Manji mlisema vivyo hivyo utajiri wa wanasiasa yeye front tu tena utajiri wa Kikwete,mwishowe ikatoka ripoti ya Yusuph Manji kampuni zake kongwe ambazo zilianzishwa kabla ya hizi za hapa Tanzania huko UINGEREZA ZA QUALITY GROUP zikipokea tuzo ya ulipaji bora wa kodi.Au Kikwete akamchukua Manji na kwenda kuwekeza nae UINGEREZA!?
Hata ile QC ya pale Pugu road ni Kikwete kaingia ubia ila sio ya Kikwete.QC zipo takriban mataifa 29 na ina jumla ya makampuni sio chini ya 120.Mengine yameanzishwa hata Kikwete hajulikani kama atakua rais.
Hao wanasiasa hutumia matajiri kuongeza utajiri wao kupitia wao n humo ndimo wanaficha uwekezaji wao,ila sio kwamba huo utajiri ni wa wanasiasa.
Kuna mwanasiasa mjinga anamuokota tu mwarabu eti kisa mwarabu ndio ampe utajiri na aufiche kwake!??
Aya vipi kuhusu wamiliki wa Yemeni schools?
Maana ile shule ni ya waAbri kutoka Yemeni,je nao wanasiasa ndio imewapa utajiri!!??
We mzee GULAM DEWJI kapambana toka enzi kuukuza utajiri wa kizazi chake kina Mo dewji leo useme utajiri wa wanasiasa!?
Bro mmeishiwa vya kuongea kiasi hiki!?