Yemen wameiangusha ndege ya Marekani ya F-22?

Sina cha maana, nime share tu alichokisema Shikhe, so kama una hoja au una pinga basi pingana na Sheikhe wako, siyo mimi mkuu. Mimi itakuwa unanionea tu
Tuletee na alivyosema Papa kua machoko wote waende vatican wakabarikiwe.
 
Habari yeyote ikiletwa na Muslims wa kindaki ndaki wa JF iwekeeni Coution Moderator naombeni ombi langu lizigatiwe... jamaa ni woaongo na humu jf wapo ibadani idara ya Taqiyya.
ILa habari ikiletwa na mgalatia kafiri ndio inakua ipo sawa? Nyie si ndio mlibisha kua Papa hajasema kua karuhusu machoko yenu yabarikiwe? Kuna uongo zaidi ya kuwaambia waumini wafunge bila kula mpaka wafe ili wakaonane na yesu?
 
Kwanini wewe hukua kwenye hizo nafasi zaa hao kina Mo na Bakhresa?
 
Ok
 
ILa habari ikiletwa na mgalatia kafiri ndio inakua ipo sawa? Nyie si ndio mlibisha kua Papa hajasema kua karuhusu machoko yenu yabarikiwe? Kuna uongo zaidi ya kuwaambia waumini wafunge bila kula mpaka wafe ili wakaonane na yesu?
Allah ndie amesema yeye ndio kubwa la waongo alimpachika mtu sura ya Yesu mtu asiye na hatia ili asurubiwe na Yesu asiguswe..

Mimi nimesema news zinazoletwa na Muslim vindakindaki maana ni waongo mno wanamzidi hadi Allah kwa Uongo
 
Kutoa taarifa za UONGO ndio kitu mna kiweza kwa usahihi hua nashangaa kuna majinga uko juu yame furahia hii taarifa na kusapot ilihali haina ukweli wowote aya majamaa ni takataka kwa kweli ptuuuh 🚮🚮
 
Uliza kwanza hizo radar houthi wanazo?
Dogo akishapasuliwa mayai mda wa mapumziko ndio analetaga uzushi huu.
Kwani ile drone ya MQ waliiangushaje hao Yemeni!?
Wanazo ADS kutoka Iran,japo katika suala la kuiangusha hiyo F-22 raptor mie mwenyewe sijalithibitisha na sijaliafiki.
Maana F-22 ni zaidi ya F-16 kiubora na maneuvering.
 
Uzuri wa Media za Marekani zinasema ukweli.
Ukiona hakuna kitu kwenye media zao jua ni uongo
 
Uzuri wa Media za Marekani zinasema ukweli.
Ukiona hakuna kitu kwenye media zao jua ni uongo
Unaishi ndani ya kaburi? Hujui kinachoendelea huku duniani?

Kuna media zinazopiga propaganda kama media za Marekani?
Hivi huu ushabiki hua unawatia upofu au mnakua hamna akili toka mwanzo tu?

Wakati media za Marekani zinareport kua Saddam Hussein ana silaha za WMD na Iraq ikavamiwa na kuua watoto na wanawake,hizo silaha walizodai Saddam anazo,hawakuzikuta mpaka leo,kuna uongo zaidi ya huo?
 
Tukija upande wa kimaisha nadhani yeye anafahamu kuwa TANZANIA WATU MATAJIRI NI WAISLAM NA HILO WALA HABISHI.
SIO TANZANIA TU DUNIANI WATU MATAJIRI WAISLAM.
Ila hakuelewa sheikh anazungumzia nini MSAMEHE KAKA.
Ndio ni matajiri lakini ni mafisadi papa, wakwepa kodi na ushuru na wanaongoza kwa kuuza ngada. Kwao dhambi tu ni kula kiti moto hadharani na kusema Yesu ni Mungu.

adriz Jagina
 
Suala la.ndege kudunhuliwa Sio ajabu katika Vita.
 
Uzuri wa Media za Marekani zinasema ukweli.
Ukiona hakuna kitu kwenye media zao jua ni uongo
😂😂😂
Media za Marekani zinasema ukweli, ila media za mataifa mengine zinadanganya!
Media kama media!?
Huu uzalendo wako ni kiboko, una Green Card mkongwe, eti!?
 
Mimi nashauri ungemsikiliza huyu Sheikhe kwa sekunde hizi 22 tu, kuna kitu kikubwa sana ungejifunza.
Amekiri keamba moo nyuma sana.
Hata hapa mimi nimesmini kwamba mpo nyuma sana kwa jinsi unavyoichukulia F-22.
View attachment 3019952
masheikh wa tu faivu faivu ndo unawafananisha na masheikh wa yemen?we kichaaa....
 
Utakua unawashwa trako wewe,hivyo unatafuta mtu akusugue sio bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…