sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Baada ya Zuchu kufanya show kwenye jukwaa la kimataifa kwenye African Day ambayo host alikuwa Idris Elba.
Zuchu alifanya show ya kukata na mundu kiasi crowd yote ikabaki na butwaa hapo mjini Lagos kwa wapopo.
Akaibuka yemi Alade akaongea na media za kimataifa akasema ameshangazwa na show ya Zuchu kwani ni ya kiwango cha kustaajabisha akasema ndio show bora kwenye usiku huo.
Zuchu alifanya show nzuri kushinda Davido na wasanii wengine wa Nigeria waliopanda kwenye stage hiyo.
Zuchu alifanya show ya kukata na mundu kiasi crowd yote ikabaki na butwaa hapo mjini Lagos kwa wapopo.
Akaibuka yemi Alade akaongea na media za kimataifa akasema ameshangazwa na show ya Zuchu kwani ni ya kiwango cha kustaajabisha akasema ndio show bora kwenye usiku huo.
Zuchu alifanya show nzuri kushinda Davido na wasanii wengine wa Nigeria waliopanda kwenye stage hiyo.