Yemi Alade afunguka; Zuchu kamfunika Davido na Wanaija wengine

Yemi Alade afunguka; Zuchu kamfunika Davido na Wanaija wengine

Hata Beyonce the best performer in the world anafanya lip syncing.


Ndio maana, umewekewa compilation maana wanaona si kitu kizuri kwa hadhi yake japo kwa dances zake inaeleweka

Show ya zuchu vocally haikuwa nzuri ndio maana mwisho wa siku aliishia kucheza Tu na ku hype kiasi.

Nilichopenda ni kimoja Tu, wimbo wa kwanza aliimba kiingereza na wenye swagaa za kinaija ila nyimbo iliyoamsha ni ya singeli. I hope wasanii wamechukua notes
 
Huyo yemi alade ni Mungu? Akisema jambo ndio inakua hitimisho?

Yeye katoa mtazamo wake kama yeye,kila mtu ana mtazamo wake na uhuru wake wakuelezea jinsi alivyo vutiwa na jambo fulani,hatufanani,

Juma Lokole unakwama wapi?
Kunywa maji kupunguza hasira
 
Back
Top Bottom