sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Ungeambatanisha na video fupi ili na sisi tujiridhishe kama yaliyomo yamo
Una roho mbaya sanaπ³π³π³π³π³
Wewe unabishana na yemi alade?Acha uongo, Davido ended the concert na electrifying performance.
Una roho mbaya sanaπππππππ
Siku hizi watu wameshazoea mambo ya kiki watu wanataka kuona unakua sio insta stories kila asubuhi. Zuchu ni big thingNimeiyona hiyo performance aisee bidada katisha katuwakilisha vizuri hivyo ndio mnatakiwa mfanye sio masuala yakuangaika na makiki
Wewe unabishana na yemi alade?
Huyo yemi alade ni Mungu? Akisema jambo ndio inakua hitimisho?Wewe unabishana na yemi alade?
Sawa mtazamo wake ndio huo Zuchu kamfunika DavidoHuyo yemi alade ni Mungu? Akisema jambo ndio inakua hitimisho?
Yeye katoa mtazamo wake kama yeye,kila mtu ana mtazamo wake na uhuru wake wakuelezea jinsi alivyo vutiwa na jambo fulani,hatufanani,
Juma Lokole unakwama wapi?
Hamna maajabu bali kupeana muda na kuwekeza. WCB msanii wanamtizama kama bidhaa na ndio maana wanaipa thamani na wana ipromoti.ila zuchu kawa star kiajabu sana hapo ndio utaijua nguvu ya Diamond