Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Adabu ya nini?Vita ya ukraine haitakiwi kuisha wanatakiwa wapigwe kwanzia wao hadi wajukuu ili washike adabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adabu ya nini?Vita ya ukraine haitakiwi kuisha wanatakiwa wapigwe kwanzia wao hadi wajukuu ili washike adabu.
Kwani Urusi katika ile ardhi iliyotwaa hakuna sehemu ya ardhi ambayo Ukraine walifanikiwa kuirejesha katika milki yao?Operesheni ilikamilika tangu Octobar 2023, kwasasa kilichopo ni offensive ya Ukraine kujaribu kurejesha Ardhi iliyotwaliwa na wanashindwa hadi leo
VIDEO ZA MITANDAONI, MEDIA MBALIMBALI, HISIA NA MAHABA.Hiki kitabu maelezo yake ameyatoa kwa kupitia video za mtandaoni au kwa kupitia njia ipi?.
Unamaamisha huyu ndio pumba au wewe ndio pumba?huyo Jamaa ni pumba tupu, cha ajabu mwenyewe anjiona genius fulani hivi
Unamaamisha huyu ndio pumba au wewe ndio pumba?
View attachment 2956984
View attachment 2956985
View attachment 2956986
View attachment 2956987
Kwahiyo kumbe umeshakisoma hata kabla hakijatoka? Nchi hii ina viumbe vya ajabu sana!😂😂hicho kitabu pichani umeandika pumba nyingi sana
Umeingia mtegoni 😀Unamaamisha huyu ndio pumba au wewe ndio pumba?
View attachment 2956984
View attachment 2956985
View attachment 2956986
View attachment 2956987
Vitabu ni bidhaa adhimu mkuuSema mwamba bei zake sio za kizalendo kabisa 😂
Babu putin anakusanya wanajeshi laki3 wapya wale wa kwanza wote wamekwenda na maji zaidi ya laki5Vita ya ukraine haitakiwi kuisha wanatakiwa wapigwe kwanzia wao hadi wajukuu ili washike adabu.
Africa hata vichaa wanapewaga tuzo zao waandaaji nao wanakua vichaa wenzaoUnamaamisha huyu ndio pumba au wewe ndio pumba?
View attachment 2956984
View attachment 2956985
View attachment 2956986
View attachment 2956987
Umeridhika kucomment?Zamani yericco nilikua namwona kipaji anaaakili kweli na kuja vitu kazaa nilikua nafanya kama reference. Kumbe ni pumba mno hii vita ya urusi na ukraine imemvua nguo sana. Hakuna kitu kumbe zaidi ya ushabiki
Bado wewe tulikua tunakuona ni mtu haswa vijana wenzako wa chadema kumbe we ni mweupe sana zaidi ya ushabiki huna unalojuaUmeridhika kucomment?
Mlikuwa mnaniona wewe na nani? Badala ya kujisemea wewe lakini unawasingizia na wengine?Bado wewe tulikua tunakuona ni mtu haswa vijana wenzako wa chadema kumbe we ni mweupe sana zaidi ya ushabiki huna unalojua
Story tu za vijiweni kama unazoleta kila siku kuhusu urusi. Pumba tu zitajaa hadithi zako na kibabu kilichofeli siku tatu mpaka sasa mwaka wa tatu. Kifupi heshima yako imeshuka ona koment za watu hapa na twitter tumejua kua wewe ni mwepesi sanaMlikuwa mnaniona wewe na nani? Badala ya kujisemea wewe lakini unawasingizia na wengine?
Subiri kitabu kitoke usome utoke gizani kijana
Unaonekana una hasira sana, Ulimia sana Putin kuzuia ushoga?😂Story tu za vijiweni kama unazoleta kila siku kuhusu urusi. Pumba tu zitajaa hadithi zako na kibabu kilichofeli siku tatu mpaka sasa mwaka wa tatu. Kifupi heshima yako imeshuka ona koment za watu hapa na twitter tumejua kua wewe ni mwepesi sana
Shoga ni putin alieshindwa kupiga kainchi kadogo siku 3 mpaka sasa mwaka wa 3. Alikavizia usiku usiku angetangaza vita mapema angeona. Shoga putin msafara wake km60 uliteketezwa sijui kama huo uchafu wako umeandika jinsi mlivyoteketezwa pale kyivUnaonekana una hasira sana, Ulimia sana Putin kuzuia ushoga?😂